-->

Author Archives: editor

Iyobo Ametusitiri kwa Aunt-Steve Nyerere

Post Image

Staa wa filamu na vichekesho Bongo, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’, amewavunja mbavu watu baada ya kusema kuwa anamshukuru sana Moses Iyobo kwa kukubali kuzaa na Aunt Ezekiel, kwani kwa kufanya hivyo amewasitiri wasanii wote wa Bongo Muvi. Akizungumza wakati alipoalikwa kwenye bethidei ya mtoto wa mastaa hao iliyofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Serena jijini […]

Read More..

Mau Anatembelea Nyota za Wasanii

Post Image

Msanii wa komedi kutoka Bongo Maulid Ali a.k.a Maufundi anatumia mitandao ya kijamii kujiingizia pesa kwa kufanya video kava Akizungumza na Enewz Mau alisema kuwa kwa sasa amepata staili mpya ya kumuingizia pesa ambayo mara ya kwanza alikuwa anafanya kama burudani lakini amegundua kuwa kupitia hivyo pia anaweza kuvuta mkwanja. Mpaka sasa Mau ameshafanya video […]

Read More..

Diamond Achukua Taji la Lip Sync Africa ya ...

Post Image

Diamond Platnumz amechukua taji la kipindi cha Lip Sync Africa kinachorushwa na kituo cha MTV SA. Alikuwa akichuana na mshkaji wake, Theo wa kundi la Mafikizolo. Kwenye kipindi hicho, wasanii wawili hushindana kuziimba nyimbo za wasanii wengine kwa kugandamizia na kupatikana mshindi mmoja. Baada ya kuchukua ushindi huo na kupewa mkanda wake, Diamond aliandika kwenye […]

Read More..

Chid Benz Akanusha Kutoroka ‘Rehab...

Post Image

Msanii Chid Benz amekanusha taarifa zilizopo kwenye baadhi ya vyombo vya habari na mitandao kuwa ametoroka rehab Bagamoyo, alikokuwa akipata tiba ya kuacha madawa ya kulevya. Akiongea na East Africa Radio Chid Benz amesema si kweli kwamba ametoroka, isipokuwa ameruhusiwa kutoka rehab. “Wameongea uongo hao wajinga, nimeachana nao kwa sababu hatuwezi kubishana nao, mi nimetoka […]

Read More..

Davina Alia Filamu za Mapenzi Kuua Soko

Post Image

Muigiza wa long time Bongo, Halima Yahya ‘Davina’ ameibuka na kueleza kwamba filamu za mapenzi wanazocheza wasanii wengi zimeua soko ndiyo maana kwa sasa ni kama sanaa hiyo haipo. Akichonga na paparazi wetu hivi karibuni, Davina alisema kutokana na soko la filamu kuwa gumu wasanii wengi wameamua kugeukia biashara kwani wakikaa na kusubiria sanaa hiyo […]

Read More..

Koko Byanko Afunguka Kumkamata Wema Sepetu

Post Image

MWIGIZAJI wa Filamu Swahilihood anakuja juu katika uigizaji Koko Byanko ametamba kufanikiwa kuigiza na msanii nyota katika tasnia ya filamu Bongo Wema Sepetu ‘Madame Wema’ Koko amemshirikisha Wema katika sinema yake aliyoitengeneza hivi karibuni. “Nilipo posti picha nikiwa na Wema wengi walinituhumu kama natoka naye lakini ukweli sitoki naye bali zilikuwa ni picha tu za […]

Read More..

Ali Kiba Kuwatambulisha Wasanii Ambao Wako ...

Post Image

Hivi unajua kama Ali Kiba aliwahi kuwasimamia wasanii kadhaa chini ya ‘label’ yake kama tunavyoona kwa baadhi ya wasanii wa hapa nchini kwa sasa,iliishia wapi ana mpango wa kurudi tena kusimamia wasanii. ’Hivi vitu nilikuwa navyo muda mrefu ila havikuwa ‘promoted’unajua vitu vyangu vingi huwa vinakuwa kimyakimya nilikuwa na wasanii wengi lakini nilivyopumzika kufanya muziki […]

Read More..

Bob Junior Afunguka Kuwatoa Kina Diamond Ki...

Post Image

Msanii Bob Junior amefunguka juu ya kitendo chake cha kuwatoa kimuziki wasanii Diamond Platnumz na Nyauloso, ambao kwa sasa wanafanya vizuri kwenye muziki. Akiongea kwenye PlanetBongo ya East Africa Radio, Bob Junior amesema aliamua kuwasaidia kwa kuwa aliona ni wasanii wenye vipaji, na yeye alikuwa na vifaa na studio, na ujuzi wa kutengeneza beats. “Kina […]

Read More..

Aunt: Sasa Natafuta Mapacha

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa baada ya mtoto wake, Cookie kutimiza mwaka, sasa anafanya mpango kutafuta njia ya kupata watoto mapacha ili atulie. Akizungumza na Amani Aunt ambaye amezaa na dansa wa staa wa Bongo Fleva, Diamond, Moze Iyobo alisema kuwa, anamshukuru Mungu kumpa mtoto ambaye amemfungulia njia lakini kwa sasa anatamani […]

Read More..

Matamasha ya Ngwair, Mama Yake Akumbukwe- T...

Post Image

Msanii TID ametoa baraka kwa mtu yeyote anayetaka kufanya kitu chochote ikiwemo matamasha ya kukumbuka kifo cha msanii Albert Mangwea na kuenzi kazi zake kufanya hivyo, ila ni lazima wahakikishe wanapata kibali kutoka kwa mama mzazi wa Mangwea. Akiongea na ENews ya EATV TID amesema hawezi kumzuia mtu kufanya hivyo kwani ni kitu kizuri, isipokuwa […]

Read More..

Ipo Siku Nitaitwa Mama- Wema Sepetu

Post Image

Kupitia Account yake ya Instagram staa wa Bongo Movie, Wema Sepetu alipost picha akiwa na mama yake mzazi na kuweka maneno yalisomeka kuwa iko siku na mimi nitaitwa Mama. Jambo ambalo liliibua hisia za mashabiki zake na wengine kuanza kumfariji kuwa Mungu yupo na anasikia kilio chake na wengine wakiendelea kumtia moyo kuwa asijali kweli […]

Read More..

Sakata la Chidi Benz Kutoraka ‘Sober Hous...

Post Image

Wakati wadau wa muziki wakifahamu kuwa msanii wa muziki wa Hip Hop Bongo, Rashid Makwilo ‘Chidi Benz’ yuko katika kituo cha kusaidia waathirika wa madawa ya kulevya ‘sober house’ kilichopo Bagamoyo mkoani Pwani, inadaiwa Chidi Benz alishatoroka kitambo na sasa yuko kitaa. Akizungumza na Global Publishers meneja wa kituo hicho, Tumaini Majura, amethibitisha kuondoka kwa […]

Read More..

Young Dee Afunguka Kuhusu Madawa ya Kulevya...

Post Image

Young Dee amekanusha tena uvumi ulioenea mtaani kuwa anajihusisha na matumizi ya dawa za kulevya. Akiongea kwenye kipindi cha Harakati cha Clouds FM kinachoendeshwa na Kalapina, rapper huyo amesema tokea akiwa mdogo amekutana na mambo mengi ya kuzushiwa. “Hata mimi nasikia sana,” alijibu alipoulizwa kuhusu tetesi za kutumia unga. “Unajua mimi nimekuwa kwenye muziki tokea […]

Read More..

Nay wa Mitego Awafungukia Wolper, Nisha na ...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva  ambae haishi kuwachana mastaa wenzake. Nay wa Mitego, amewatupia vijembe wasanii wa kike wa bongo movie wanaopenda wasanii wa Bongo Fleva wanaochipukia na kuhit redioni. Kupitia video aliyoipost kwenye account yake ya instagram amewataja warembo hao kuwa Jacqueline Wolper, Nisha pamoja na Shilole. Amesema wasanii hao ni kiboko kwa kukwapua wasanii […]

Read More..

Gabo Zigamba Adai Kunfunika Ray

Post Image

Msanii wa filamu nchini ambaye anafahamika kwa kuigiza kwa lafudhi ya Kimakonde Gambo Zigamba amefunguka na kusema kuwa yeye ni zaidi ya msanii Ray Kigosi kwenye kazi kwani yeye anafanya zaidi ya Ray. Akizungumza kwenye kipindi cha eNewz Gambo Zigamba aliweka wazi kuwa kipindi ambacho wakina Ray na wasanii wengine wakongwe wanafanya kazi zao hizo […]

Read More..

Wolper Afungukia Penzi Lake na Harmonize, A...

Post Image

Mwigizaji Jackline Wolper jana amefanya mahojiano na Zamaradi Mketema kwenye kipindi cha TakeOne na kuzungumzia mambo mengi kuhusu yeye na aliyekuwa mpenzi wake Putin ‘Mkongo’ aliyemvisha pete, na uhusiano wake na msanii Harmonize. ‘Ni kweli Raj (Harmonize) ni mpenzi wangu,ukweli nilimjua siku nyingi nilikuwa nikimchukulia kama mwanamuziki tu, tuna mwezi mmoja na wiki mbili sasa’’ […]

Read More..

Nay Amnasa Mchumba Mhabeshi

Post Image

Miezi michache tu baada ya staa wa Hip Hop Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’  kuripotiwa kutoka na msichana anayejulikana kama Chaga Baby, imedaiwa kuwa hivi sasa, yupo na mrembo raia wa Ethiopia (Mhabeshi) anayejulikana kwa jina la Addi na ameapa kufunga naye ndoa. Chanzo makini kililiambia gazeti hili kuwa, Nay na mwanadada huyo ambaye […]

Read More..

Mboto na Riyama Wamshushua Tunda Man

Post Image

Mchekeshaji maarufu hapa nchini, Mboto, pamoja na muigizaji wa filamu Bongo movies, Riyama Ally, wamekanusha kufanya filamu ya ‘Mama Kijacho’ kama alivyodai mwanamuziki Tunda Man ambaye ndiyo alijinadi kuwa muhusika mkuu. Mboto amekanusha hayo mbele za kamera ya eNewz na kusema kuwa “mimi sijawahi kushuti movie ya mama kijacho,” alisema Mboto alizidi kuongeza kuwa “Msema […]

Read More..