-->

Author Archives: editor

Sijamvisha Mtu Pete- Harmonize

Post Image

Msanii kutoka katika label WCB Wasafi Harmonize ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya wa ‘Bado’ amefunguka na kusema kuwa katika maisha yake ya hajawahi kuvalishwa pete ya uchumba na wala yeye hajawahi kumvalisha mtu pete ya uchumba na kudai mpenzi wake mpya Jackline Wolper amemkuta akiwa hana mtu na ndiyo maana wakaweza kuanzisha […]

Read More..

Amanda Abanwa Kuhusu Ukimwi, Afunguka

Post Image

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Amanda Poshi amefungukia taarifa zinazomhusisha yeye kuugua maradhi ya Ukimwi. Amanda amefunguka hayo baada ya kuvuja kwa picha zake zinazomuonesha akiwa amepungua mwili na kusababisha gumzo litawale kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii watu wakihusisha kukonda kwake na ugonjwa huo ndipo mwanahabari wetu alipombana, akafunguka: “Nina desturi ya kupima kila wakati, […]

Read More..

Nay wa Mitego ni Mtoto Mdogo Kwangu Kisanaa...

Post Image

ZUBERY Mohamed ndio jina lake alilopewa na wazazi wake lakini katika filamu anajulikana kama Niva super Mario msanii huyu ambaye ni mwigizaji na mwanamuziki wa kizazi kipya anaibua malumbano na msanii wa muziki wa Bongo Fleva Ney wa Mitego na kusema kuwa ni mdogo katika sanaa. “Unajua kwa wale wasiomjua Ney wa Mitego ndio wanamhofia […]

Read More..

Ommy Dimpoz Afunguka Kuhusu Uchawi Kwenye M...

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz amesema yeye haamini kama kuna ushirikina, hususani kwa wanamuziki wa bongo fleva. Ommy Dimpoz ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye stori 3 za Planet Bongo East Africa Radio, na kusema kuwa hawezi kumtuhumu mtu mshirikina kwani hajawahi kumuona mtu akifanya ushirikina. “Kwenye bongo fleva siwezi kusema kuna ushirikina, au hakuna, mi siamini mambo […]

Read More..

Gardner Agoma Kumuomba Radhi Lady JayDee

Post Image

Mtangazaji wa Clouds FM, Gardner G. Habash kupitia wakili wake, amemjibu aliyekuwa mkewe, Lady Jay Dee, aliyemtaka aombe radhi ndani ya siku saba kwa kauli aliyoitoa iliyodaiwa kuwa imelenga kumdhalilisha. Katika majibu yake amekana madai hayo. Siku chache zilizopita, Gardner alionekana katika kipande cha Video akisherehesha tukio la kumsaka mrimbwende wa chuo cha Tanzania Institute […]

Read More..

Sumaku: Sijamuona wa Kuvaa Viatu vya Kinyam...

Post Image

KIONGOZI wa Wasanii wa Vichekesho Tanzania, Habib Mkamba ‘Sumaku’ amesema kwamba kifo cha msanii mwenzao, James Peter ‘Kinyambe’ kilichotokea hivi karibuni, hakuna wa kuliziba pengo lake. Akipiga stori na Ijumaa, Sumaku alisema Kinyambe alikuwa na staili yake ya kipekee katika uchekeshaji hivyo hakuna msanii anayeweza kuvaa viatu vyake. “Mimi sijaona wa kuvaa viatu vya Kinyambe, […]

Read More..

Fid Q Afunguka Haya Kuhusu Kuchanwa na Rad...

Post Image

Baada ya lile bifu la siku nyingi kati ya rapa kutoka mwanza Fareed kubanda a.k.a Fid Q na msanii mwenzake kutoka lebel ya Kiraka Rado,hatimaye Fid Q amekiri kuwa Rado ni msanii pekee aliyemdiss kwa mistari mikali kuliko wasanii wote waliowahi kumdis. Akizungumza na Enewz Fid Q alisema kuwa Rado ni rafiki aliyemfunza kitu katika […]

Read More..

Diamond Platnumz Atajwa Kuwania Tuzo za BET

Post Image

Mwananmuziki Diamond Platnumz ametajwa kwa mara ya pili kuwania tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act: Africa, mwaka huu 2016. Wakali wengine wanaowania tuzo hiyo ni pamoja na Wizkid, Yemi, AKA na wengineo.Tuzo hizo zitatolewa mwishoni mwa mwezi Juni nchini Marekani.

Read More..

Wema Sepetu Afunguka Haya Huhusu Alikiba

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu amefunguka na kusema kuwa msanii Alikiba ni mtu wa kumuacha kutokana na uwezo wake wa kuimba na namna ambavyo anaweza kuipangilia sauti yake kwenye muziki.     Wema Sepetu amezidi kuonyesha mapenzi aliyonayo kwenye kazi za msanii Alikiba na kusema huwa zinamkosha sana na kudai hajawahi kumuangusha siku zote […]

Read More..

Rose Ndauka Atoboa Siri ya Mambo Yake Kumny...

Post Image

MKALI wa filamu Bongo, Rose Ndauka ametoa siri ya mambo yake kumnyookea kuwa imetokana na kumuhusisha Mungu kwa kila anachokifanya na wala si vinginevyo kama watu wanavyodhania. Akizungumza na Amani, Rose ambaye kwa sasa anamiliki kampuni inayojishughulisha na kutengeneza Jarida la Rozzie, alisema kuwa Mungu ndiye aliyemtendea miujiza hiyo kwani asingemshirikisha asingekuwa hapo alipo. “Siri […]

Read More..

Pasha Amuumbua Snura, Afunguka Haya

Post Image

Baada ya msanii wa Bongo fleva Snura Mushi kufunguka kuwa hajawahi na hafikirii kutoka na msanii wa Bongo Fleva Pasha amuumbua. Akizungumza na Enewz Pasha alisema kuwa yeye alishawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Snura ila kipindi hiko Snura alikuwa hajaanza kufahamika na yeye alikuwa akitamba na nyimbo ya ni soo. “Kusema hajawahi kutoka […]

Read More..

Sitaki Tena Kuitwa Binti Machozi – La...

Post Image

Queen wa bongo fleva Lady Jay Dee Baada ya kuamka tena na Ndi Ndi Ndi, ameendela kulikataa wazi jina lake alilokuwa akilitumia hapo awali la binti machozi. Akizungumza na Enewz Jay Dee alisema kuwa kwasasa hataki tena kusikia watu wakilitumia jina hilo kwake wala kwa bendi yake kwani bendi hiyo sasa inajina jipya la ”The […]

Read More..

Zari, Mama Diamond Watifuana Mbele ya Wazun...

Post Image

Inadaiwa ilitokea lakini haikuandikwa! Kuna habari kuwa, ile safari ya familia ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kula bata kwenye nchi za Ulaya, ilikuwa na mambo mengi lakini kubwa ni madai ya kuwepo kwa mtifuano kati ya mama Diamond, Sanura Kasim na Zarinah Hassan ‘Zari’ ambaye ni mzazi mwenzake, Diamond. Kwa mujibu […]

Read More..

Ali Kiba Asaini Mkataba na Sony Music, Sout...

Post Image

Staa wa Bongo Fleva, Ali kiba amesaini mkataba leo na kampuni ya Sony Music jijini Johannesburg,South Africa, moja ya vitu vilivyomo kwenye mkataba huu ni kampuni hii kubwa ya muziki duniani kusimamia pia video zake na audio kwa kuzilipia na kuzifikisha kwenye masoko makubwa ya muziki duniani. Ali Kiba ameungana na mastaa wengine duniani waliosign […]

Read More..

Feza na Lulu Wajitosa Kwenye Bifu la Vaness...

Post Image

Msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Feza Kessy wamejitosa kwenye bifu la Shilole na Vanessa Mdee ambalo linaendelea katika mitandao ya kijamii. Chanzo cha bifu ya Shilole na Vanessa hakijatambulika, lakini wawili hao toka jana wamekuwa wakirushiana maneno makali na vitisho katika mitandao ya kijamii hali ambayo imewafanya baadhi ya wasanii kuingilia kati sakata […]

Read More..

Matonya Atua kwa Gigy

Post Image

Baada ya fununu kuzagaa kuwa kwa sasa Giggy Money ameiparamia ndoa ya Matonya na imekua ni mwendo wa kunyweshana supu tu, wawili hao wamefunguka juu ya ishu hiyo. Akizungumza na eNewz Matonya hakutaka kufunguka wazi kuwa ameshaonja supu ya Gigy,na huku Gigy akisema wazi kuwa mpaka sasa msanii huyo kashakunywa kabisa supu yake ingawa inafahamika […]

Read More..

Bifu la Shilole na Vanessa, Shilole Atangaz...

Post Image

Msanii Shilole ametangaza vita na msanii mwenzake Vanessa mdee, na kusema kuwa asiombe kukutana naye popote. Akiongea na East Africa TV baada ya kupigiwa smu kujibu tuhuma hizo, Shilole amesema amechukizwa na kitendo cha Vanessa kuandika mambo mabaya juu yake na kupost istagram, hivyo ajiandae kwa lolote. “Ukiona hivyo ujue kimenuka, kaniongelea shit mi sijapenda, […]

Read More..

Shilole: Wanaume Suruali Sasa Basi

Post Image

MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka kuwa kuanzia sasa hataki tena kuwa na mwanaume suruali, bali anahitaji mtu mwenye nazo, ndiyo maana ameamua kufanya kazi kwa bidii. Akilonga na Risasi Vibes, Shilole alisema kuwa kwa sasa ameamua kukaa singo kwa sababu ameona hakuna faida ya kuwa na mwanaume asiye na kitu. […]

Read More..