-->

Author Archives: editor

Chuchu Afunguka Kuhusu Weupe wa Mpenzi Wake...

Post Image

Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni mpenzi wa Ray Kigosi amefunguka na kusema hapendi watu wanapokuwa wana msema mchumba wake Ray Kigosi kuwa amejichubua na kudai anaamua kupuuza ila huwa hapendezwi na suala hilo.   Chuchu Hans alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWZ jana na kudai kuwa mpenzi wake huyo kwa sasa amependeza kutokana […]

Read More..

Idris Ajipoza kwa Lulu

Post Image

Siku chache baada ya taarifa za kutoka kwa mimba ya mwandani wake, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’, Mshindi wa Shindano la Big Brother Africa ‘Hotshot’ 2014, Idris Sultan amebambwa kiwanja akijipoza machungu na staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Amani limenasa tukio. Tukio hilo lililopigwa chabo na paparazi wetu lilijiri wikiendi iliyopita ndani ya […]

Read More..

Sijapenda ujauzito wa Wema Sepetu uharibike...

Post Image

Msanii wa muziki wa Hip Hop Nay wa Mitego amesema hakupenda ujauzito wa Wema Sepetu uharibike kama baadhi ya mashabiki wa Wema Sepetu wanavyodai katika mitandao ya kijamii. Rapa huyo kupitia wimbo wake “Shika Adabu Yako’ alimchana Wema ‘una mimba kweli, au ndio kiki za msimu?. Miezi tisa sio mingi, isije ikakugharimu” kauli ambayo ilitafsiriwa […]

Read More..

Mwakifwamba : Sitowaangusha Wazee Wangu, Ag...

Post Image

MGOMBEA wa nafasi ya Urais wa shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba amefunguka kwa kusema kuwa hatawaangusha wazee waliomwamini na kumuomba agombee tena uongozi TAFF baada ya kuwa na imani naye hivyo hata waangusha bali atafanya kazi kwa nguvu. “Ikumbukwe nilipanga mwaka huu kupumzika na kuangalia mambo ya kifamilia zaidi lakini wazee wangu ambo […]

Read More..

Hii ya Ray Kigosi kwangu ni mpya -Baraka Da...

Post Image

Msanii Baraka da Prince amejibu kauli ya Ray aliyoitoa hapo jana na kutoa siri ya yeye kubadilika rangi yake, na kusema kuwa anakunywa maji mengi na kufanya mazoezi sana. Akiongea na East Africa Television/ Radio, Baraka amesema kuwa kitu hicho ni mara ya kwanza kusikia maishani mwake, kwani hajawahi kusikia popote duniani. Ameanza kwa kucheka…..”hahahahahaaa, […]

Read More..

Wema Sepetu Alitamani Ajifungua Mtoto wa Ki...

Post Image

Usiku wa kuamkia leo, Idris Sultan ameandika waraka mrefu kuhusiana na ujauzito wa mpenzi wake, Wema Sepetu ambao kwa post ile amemaanisha haupo tena (umetoka), lakini siku chache zilizopita wakati akiwa na mimba alitamani sana ajifungue mtoto wa kiume kwa kuwa kwenye familia yao wamezaliwa wote wanawake. ”Yaani huwezi amini kabla sijashika mimba nilikuwa na […]

Read More..

Weupe Wangu ni Kwakuwa Nakunywa Maji Mengi ...

Post Image

Mwigizaji maarufu wa Bongo Movie hapa nchini Ray Kigosi amesema kwamba yeye hajawahi kujichubua bali huwa anakunywa maji mengi pamoja na kufanya mazoezi . Ray ameyasema hayo wakati akifanya mahojiano katika kipindi cha ENews kinachorushwa na EATV na kusema kwamba hua anakwenda salon mara moja kwa wiki kwa ajili ya kusafisha uso wake (Scrub) ili […]

Read More..

Niva Supermarioo Alamba Dili Nono

Post Image

Mwigizaji Niva Zubery wanamwita Niva  supermarioo Niva ameingia mkataba mpya na kampuni ya  Steps entertainment wa kuangusha filamu kali kwa mwaka huu. Huku akianza na filamu kali ya Kasanga nae Mwana akiwa na Gabo. Wakati huo kazi nyingine hiyooo ya KIZA akiwa na Riyama Ally na Grace Mapunda.

Read More..

Nipo Vizuri Kila Idara Mwanaher

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa kike Mwanaher Afcely anayefanishwa na mwigizaji wa kike Swahilihood Riyama ametamba kwa kusema kuwa hajivunii kufanana na Riyama bali ni uwezo wake katika uigizaji kwani anafanya vizuri na hata wengine wanashindwa kumtofautisha na Riyama kwa kuigiza kwa ufasaha. “Nipo kikazi zaidi na unajua kama unafananishwa na msanii mwenye uwezo mkubwa ni […]

Read More..

Idris Awachanganya Team Wema

Post Image

Hali imeanza kuwa tofauti na ya huzuni kwa mashabiki wa Wema Sepetu baada ya Idris kupost ujumbe ambao unaonesha kuwa alikuwa anategemea kupata watoto mapacha lakini haijaweza kuwa hivyo kutokana na ujauzito huo kuharibika. Zikiwa zimepita wiki kadhaa toka taarifa rasmi za watu hao kutoka kimapenzi na kuonesha walikuwa wanategemea kupata mtoto baada ya Wema […]

Read More..

Mzimu wa Kanumba wamsumbua Ray Kigosi

Post Image

Ikiwa ni zaidi ya miaka minee toka alipofariki dunia msanii wa filamu nchini Kanumba The Great lakini bado wapenzi wa filamu nchini na mashabiki wanaonesha kukubali zaidi kazi zake. Hali hiyo imepelekea wapenzi kusema kuwa aliyekuwa mpinzani wake katika tasnia hiyo Ray Kigosi ameshindwa kufikia kiwango ambacho alikiacha Kanumba miaka minne nyuma. Leo kupitia ukurasa […]

Read More..

Picha: Shilole na Nuh Mziwanda ‘Waringish...

Post Image

Kama ulikuwa ni msiba wa ‘penzi’ basi arobaini imeisha na sasa maisha yanaendelea kwa wasanii wa Bongo fleva, Shilole na Nuh Mziwanda ambao uhusiano wao umekufa na kuzikwa kabisa. Wiki chache baada ya couple ya ‘shiwanda’ kuvunjika, na juhudi za wadau mbalimbali kutaka kuwapatanisha kugonga mwamba (soma hapa), inavyoonekana Nuh na Shishi kila mmoja ameamua […]

Read More..

Chuchu Azungumzia ‘Usaliti’

Post Image

Mmoja wa waandaaji wa tamthilia mpya ya Usaliti Chuchu Hansi ameeleza kuwa tamthilia hiyo itaanza kuruka Jumanne ya leo saa 09:30 usiku kupitia EATV. chuchu amesema tamthilia hiyo itahusu migogoro ya kimapenzi na usaliti. Chuchu amesema tamthilia hiyo itahusisha wakali kibao wa zamani na wa sasa akiwemo yeye mwenyewe na wengine kama Nyamayao, Thea, Senga […]

Read More..

Idris Sultan Aomboleza Watoto Wake na Wema ...

Post Image

Idris Sultan ambaye ni mwenzi wa mwanadada Wema Sepetu, ambao hivi karibuni walitoa taarifa kuwa wanatarajia kupata mtoto, ameibua hisia za mashabiki wake baada ya kuandika ujumbe unaoashiria kuharibika kwa ujauzito huo wa mwenzi wake. Kwenye ukurasa wake wa Instagram Idris ameandika ujumbe ukionyesha kuhuzunishwa kwa kuharibika kwa ujauzito huo, kwani walikuwa wenye furaha huku […]

Read More..

Nay wa Mitego: Kuongea Kwangu Ukweli Kunani...

Post Image

Nay Wa Mitego amesema ngoma zake zenye mashairi yanayowahusu baadhi ya wasanii zimemfanya akose marafiki na baadhi yao ambao alikuwa nao karibu kumtenga. ‘’Ilishawahi kutokea nilipotoa ngoma yangu ya ‘Salamu Zao’ kuna baadhi ya washikaji zangu ambao nilikuwa nao karibu walinikimbia wakajua chochote kinaweza kutokea,nilipotoa nyimbo zingine haikuwa hivyo,ila nilipoa ngoma yangu mpya baadhi yao […]

Read More..

Mimba ya Wema Yayeyuka Ghafla

Post Image

Mimba ya staa wa filamu  Bongo, Wema Sepetu iliyokuwa gumzo kila kona, ni kama puto kwani baada ya kupulizwa, kujaa na kuvuma sana, hatimaye limepasuka na kuacha vilio kwa familia na watu wake wa karibu, Risasi Mchanganyiko linaweza kuripoti.  JIUNGE NA CHANZO Chanzo chetu makini kilichoomba hifadhi ya jina lake ili kulinda ‘ushosti’ wake na […]

Read More..

Mimi Ndiye Msanii Nianyefanya Vizuri Sokoni...

Post Image

MWIGIZAJI anayefanya vizuri zaidi sokoni katika soko la filamu nchini, Vicent Kigosi anasema kushuka kwa soko la filamu nchini na kukosa ushindani ambao ulikuwepo hapo awali. Akifafanua zaidi  alisema tofauti na zamani filamu zilikuwa zikizungumziwa zaidi sababu ya ushindani wake mkubwa na marehemu Steven Kanumba. Kigosi anasema kipindi hicho ya filamu kutoka kulikuwa na mambo […]

Read More..

Masanja Azidi Kupaa Kibiashara Azindua Masa...

Post Image

MCHEKESHAJI wa Komedi kutoka Orijino Komedi Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji amezidi kujikita katika mkasuala ya biashara baada ya kufanikiwa kufungua mgahawa wa kisasa kabisa kwa ajili ya maakuli na kuwa kivutio kwa maeneo hayo.   Masanja Mkandamizaji amezindua Mgahawa wake wa Kisasa kwa kuandaa sherehe za uzinduzi kwa kuwakaribisha wadau mbalimbali Mgahawa huo unaoitwa […]

Read More..