-->

Author Archives: editor

Rose Muhando Ang’atwa na Nyoka

Post Image

DAR ES SALAAM! MAJARIBU! Staa anayefanya vizuri kwenye Muziki wa Injili Bongo, Rose Muhando yupo hoi kitandani baada ya kung’atwa na nyoka. Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba Rose akiwa anaingia getini usiku wa kuamkia Jumatano iliyopita, nyumbani kwake mkoani Dodoma aling’atwa na nyoka mguuni na kukimbizwa hospitali iliyopo Area C mkoani humo. “Maskini Rose […]

Read More..

Baada ya Kusugua Benchi Miaka Mitano, Nora...

Post Image

STAA aliyekuwa akitingisha kwa wasanii Bongo kutoka Kundi la Kaole, Nuru Nassoro ‘Nora’ amefunguka kuwa Mungu amemuona baada ya kukaa benchi kwa takriban miaka mitano bila kurekodi sinema. Akizungumza na Ubuyu wa Town, Nora alisema alikuwa ameshakata tamaa lakini anaishukuru Kampuni ya Didas Entertainment ambayo imemthamini na kumrudisha tena kwenye gemu. “Watu waliniona mimi sifai […]

Read More..

Aunt Ezekiel: Tunajenga Kwanza Ndani Ndio T...

Post Image

Kutokana na kusuasua kwa hatua za tasnia ya filamu Bongo kuingia katika soko la kimataifa, nyota wa filamu Aunt Ezekiel amesema kuwa zipo jitihada zinafanyika sasa kuweka mambo sawa katika soko la ndani ambalo limeshuka, kama msingi wa safari hiyo. Aunt ambaye hakufafanua mikakati yenyewe, ameeleza kuwa itakuwa ni uongo pale kufanya jitihada za kwenda […]

Read More..

Ndege Wanaofanana Huruka Pamoja-Lulu

Post Image

Kupitia ukurasa wake mtandaoni,staa mrembo wa Bongo Movies ‘Lulu’ amefunguka haya; Kuna Msemo Unasema “NDEGE WANAOFANANA HURUKA PAMOJA” hii misemo huwa inamaana sana Kwa akili yangu ndogo nilijaribu kuuweka huu Msemo katika Maisha ya kawaida Na nikagundua Una asilimia kubwa ya ukweliKatika Maisha yetu ya mahusiano,urafiki,undugu,ujamaa Na hata ushabiki sio kwamba mambo yanatokeaga Kama miujiza […]

Read More..

‘Kiboko Kabisa’ ya Nisha Inahesabu Siku

Post Image

ILE Filamu ya Kiboko Kabisa kutoka kwa gwiji la Uchekeshaji Swahilihood Salma Jabu ‘Nishabebee’ ipo tayari na inehesabu siku kadhaa ili iruke mtaani na kufanya fujo za hatari huko kunako soko ni kazi safi si ya kuikosa kwani imejaa mastaa kibao. Akiongea na FC Production meneja wa Nisha’s Film Productions Othuman Ochu amesema kuwa kila […]

Read More..

Nunua Kifurushi cha “Get Started Uond...

Post Image

Ishi kwa kuchukulia magumu kama changamoto na sio matatizo. Badala ya kuwaza kuwa utatoa,nini? Waza kuwa utapata nini? Ulishawahi kuwaza kuwa kwa kuondoa uzito uliokuzidi utapata pesa kuliko ulivyowahi kuwaza maishani mwako? Na unajua kwamba huhitaji elimu ya chuo wala mkopo kutembea ukiwa umekaa? Sio wote huamini, lakini wewe kwa kusoma habari hii kupitia mimi […]

Read More..

Steve Nyerere Ahenyeshwa Polisi

Post Image

DAR ES SALAAM: Msala! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amedaiwa kuhenyeshwa polisi kutoka na msala wa rafiki yake kuaminiwa fedha za matengenezo ya gari na kuanza ‘kupiga karenda’ matengenezo hayo bila sababu za msingi. Chanzo makini kimeeleza kuwa, miezi kadhaa iliyopita, Steve alimpeleka rafiki yake aitwaye Mohamed maarufu kwa jina la […]

Read More..

Nay wa Mitego auelezea mkasa wa mwanae Curt...

Post Image

Rapa Nay wa Mitego amedai alimnyang’anya ex wake Siwema mtoto wao Curtis baada ya kile alichodai mwanadada huyo kuendekeza starehe za club pamoja na kusafiri nje ya mkoa kwa zaidi ya wiki mbili huku akiwa amemuacha mtoto nyumbani. Akizungumza katika kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM Ijumaa hii, Nay alisema aliamua kumhifadhi lakini huu […]

Read More..

Shilole Amtesa Nuh kwa Tatuu

Post Image

Kama huna taarifa basi kaa ukijua kuwa, lile penzi lililokuwa na sarakasi nyingi, mara wafumaniane, mara wapigane, mara waachane sasa limefikia mwisho kama siyo kikomo. Nawazungumzia mastaa wawili, Nuh Mziwanda na Shilole ambao wametangaza rasmi kwamba kila mmoja kuwa na hamsini zake. Shilole amesema kuwa, haoni sababu ya kuendelea na Nuh kwa kuwa anahisi anambana […]

Read More..

Punguza Uzito kwa Njia Iliyo Salama Zaidi

Post Image

Kupunguza uzito lazima  kuwe kwa afya kwa kuzingatia upunguaji salama kwa bidhaa zilizothibitishwa na zenye vibali. Wengi wamekuwa wakipumbazwa na urahisi wa bei matokeo yake wamejikuta wakiishia kupata madhara makubwa ya kudumu ikiwamo ugumba, kansa na hata kupoteza maisha. Mara nyingi bidhaa hizi za hatari huuzwa kwa kificho kificho na wauzaji wake hawajui hata mchanganyiko […]

Read More..

Davina: Nimezaa Sijazeeka na Bado Nalipa

Post Image

Staa wa Filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amedai kuwa kuzaa siyo kuzeeka kama wasanii wengine wanavyodhani bali ni kupata heshima na kupendeza kama alivyonawiri yeye. Akizungumza na Ijumaa, Davina alisema kuwa yeye ni mama wa watoto lakini kila kukicha anazidi kupendeza na kuonekana ‘kigori’ tofauti na watu wanavyodhani. “Unajua kuna baadhi ya watu wanadiriki […]

Read More..

Diamond: Hata Kama Tiffah Sio Mtoto Wangu, ...

Post Image

Diamond Platnumz amechukizwa na jinsi wasanii anaowaheshimu wanavyohaingaika kumchafua yeye na mwanae Tiffah mtandaoni na amesema tayari anawajua wasanii hao. Akizungumza kwa hasia na Ayo TV Alhamisi hii, Diamond alisema anawashangaa wasanii wanaotumia muda mwingi kumponda mtoto wake kuliko kutafuta pesa. “Watu wamekaa kwenye sanaa muda mrefu mimi nimewakuta, nawaona wameanza kuwa mastaa kabla ya […]

Read More..

Kumteka Mwanamke Mwenye Mapenzi ya Kweli ni...

Post Image

“Kumteka mwanamke mwenye mapenzi ya kweli ni rahisi sana kuliko wengi wanavyofikiri, ni vitu vidogo tu, muonyeshe mapenzi ya kweli, muweke wazi kwa kila kitu chako,jiamini hata km huna uwezo sana, mjali na umpende, ukifanya hayo umeishika roho yake, walimwengu wataongea yao, watapiga kelele hatoona wala kusikia, lkn ukimdnganya na ukamletea maisha feki, na ukadhani […]

Read More..

Wolper Akanusha Kuihama CHADEMA na Kukataa ...

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Jacqueline Woper ambaye alikuwa msatari wa mbele kumpigia kampeni aliekuwa mgombe urasi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenye uchaguzi wa mwaka jana, Mh. Edward Lowassa amekanusha habari iliyoripotiwa na moja ya magazeti ‘pendwa’ kuwa kwa sasa staa huyo ameshajitoa CHADEMA na hataki tena kuitwa mtoto wa Lowassa ‘Jacqueline […]

Read More..

Zari: Sina Haja ya Kupima DNA,Tiffah ni Mto...

Post Image

Kwa wiki kadhaa kwenye kwenye mtandao wa Instagram kumekuwa na majibishano ya vijembe kati na Wema Sepetu na Zari hasa kuhusiana na uhalali wa mtoto wa Tiffah kama ni wa Diamond. Zari amepiga stori na @cloudsfmtz moja kwa moja kutoka Sauz. ‘’Ngoja nikwambie kitu mimi ni mzazi ni muda mrefu Wema na timu yake wamekuwa […]

Read More..

Wema Adai Kuwa Kajala ni Mtu Mzima Fulani ...

Post Image

Wema Sepetu amesema hataki tena kuwa karibu na rafiki yake wa zamani Kajala Masanja kwa madai alishindwa kumtafuta na kumuomba msamaha kwa makosa aliyoyafanya.   Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV, Wema alisema Kajala kwa sasa anamchukulia kama mtu asiyemfahamu. “Mimi mtu ambaye sitaki kujiassociate naye namtoa kabisa ndio maana naweza nikakaa […]

Read More..

Chakula Bora cha Mifugo Yako Kinapatikana H...

Post Image

Tunauza Chakula cha mifugo (kuku,nguruwe,ng’ombe) chenye virutubisho mara tatu ya chakula cha kawaida na bei yake ni nafuu zaidi Kwawanaohitaji au maelezo zaidi Wasiliana nasi kuputia namba hizi 0655 691 951/ 0652715017 Karibuni sana.

Read More..

Nililipwa Elfu 50 Kwenye Filamu Yangu ya Kw...

Post Image

Msanii wa filamu na mjasiriamali, Salma Jabu aka Nisha amesema licha ya sasa hivi kumiliki kampuni yake ya filamu, pesa yake ya kwanza kulipwa katika filamu ilikuwa ni shilingi 50,000. Nisha ambaye kwa sasa ni miongoni mwa wasanii wenye mafanikio kwenye filamu, amekiambia kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa baada ya kuanza kupata mafanikio kidogo […]

Read More..