-->

Author Archives: editor

Niachieni Mume Wangu, Sie Twazidi Kupendana...

Post Image

Staa kutoka tasnia ya filamu Bongo, Riyama Ally, amewatolea povu wanaomfuatilia na kupenda kuchokonoa ndoa yake, kuhusu tofauti ya umri baina yak na mumewe, kwa kusema yeye na mume wake hawaachani ng’oo. Riyama amesema amechoshwa na baadhi ya watu wanaomsakama kila siku kuwa ameolewa na mwanamume mwenye umri mdogo . “Huu ni uamuzi wangu kuolewa na […]

Read More..

Rayvanny Ameshinda Tuzo ya BET 2017

Post Image

Staa wa Bongo Flava, Rayvanny kutoka WCB ameshinda tuzo ya BET kipengele cha Viewers Choice Best New International Act Artist. Alichokiandika Diamond Platnumz baada ya Rayvanny kushinda tuzo ya BET 2017 kama ‘Hatimaye leo Unakuja nayo Tanzania Dah! ?….Zaidi ya miaka mi 3 tunaenda na kurudi Patupu….Hakika Maisha Uvumilivu na kutokata tamaa…. BRING IT HOME […]

Read More..

Diamond Akana Kumuandikia Wema Sepetu Wimbo...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amesema si kweli wimbo wake mpya ‘I Miss You’ aliuandika maalumu kwa ajili ya aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu. Akizungumza na kipindi cha The Playlist cha Times FM, Diamond ameeleza yeye kuandika nyimbo kutokana na hisia alizonazo kwa wakati huo na huangali soko lipo vipi. “Hapana, sio […]

Read More..

Victor Wanyama Apewa Mtaa Ubungo – Dar

Post Image

Meya wa Manispaa ya Ubongo Boniface Jacob, amemtunuku mtaa, Kiungo wa Tottenham ya England Victor Wanyama raia wa Kenya. Jacob ambaye ni Meya akitokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameonekana kufurahishwa na mchezaji huyo kufika katika eneo lake na kuunga mkono michezo. Hivyo kwa kufurahishwa na namna alichofanya kiungo huyo Mkenya ambaye ni nahodha […]

Read More..

Young Killer Amjibu Nay wa Mitego

Post Image

Baada ya rapa Nay wa Mitego kumchana Young Killer kwenye ngoma yake mpya ‘Moto’ kuwa dogo sasa chali na safari yake kurudi Mwanza inanukia kutokana na msanii huyo kuonekana kupotea kwenye muziki kwa kile anachodai kuwa aliwadharau waliomtoa. Kufuatia diss hiyo Young Killer ameamua kujibu mapigo kwa Nay wa Mitego na kusema kuwa mara kadhaa […]

Read More..

Wastara Amelazwa Hospital Huko Kenya

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma amelezwa hospital huko inchini Kenya akisumbuliwa na mumivu ya mgongo taarifa iliyotolewa na uongozi wake kupitia mtandao wa instagram imeeleza. “Habari za Asubuhi Wapendwa Naomba Tumuweke kwenye Sala Zetu Dada Yetu mpendwa Wastara, kutokana na hali yake Anasumbuliwa na maumivu ya mgongo ambayo yanampelekeaga kupoteza Fahamu, Jana usiku yamemkuta […]

Read More..

Nilifanya muziki nipate mademu – Dull...

Post Image

Msanii Dully Skyes ambaye sasa anafanya vyema na ngoma yake ‘Yono’ amefunguka na kusema kuwa yeye alianza kufanya muziki wa bongo fleva ili awe mtu maarufu na kuanza kupata wanawake. Dully Skyes alisema hayo leo alipokuwa akihojiwa kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio kwenye Heshima ya bongo fleva na kusema miaka kumi […]

Read More..

Ben Pol Avunja Ukimya kwa Ebitoke

Post Image

Msanii Ben Pol amefunguka ya moyoni baada ya kukutana kwa mara ya kwanza na mchekeshaji Ebitoke kwa kusema anaamini watu wengi wameoa ama kuolewa na watu wasiowapenda kwa sababu ya kushindwa kuelezea hisia zao. Ben amebainisha hayo kupitia ukurasa wake wa instagram baada ya mchekeshaji Ebitoke kuonesha hisia za mapenzi katika mitandao ya kijamii kwa […]

Read More..

Mkishindana na Mimi Nitawaacha – Alikiba

Post Image

Msanii Alikiba amefunguka na kusema kuwa yeye katika muziki wake hakuna mtu anayeshindana naye na kudai ila kama kuna watu wanataka kushindana na yeye basi atawaacha na kuendelea na mambo yake. Alikiba anasema katika maisha yake ya muziki hataki kuona mtu yoyote anamtoa katika njia yake, ndiyo maana watu ambao wanakuwa wakiongea ongea sana juu […]

Read More..

Nataka Nirudi Shule – Jackline Wolper

Post Image

Muigiza wa Filamu Bongo, Jackline Wolper amedai anataka kurudi shule mara baada ya kuona picha za Jux alizopiga katika mahafali yake ya kumaliza elimu ya juu nchini China. Wolper kupitia instagram ameandika, “nimekumbuka mbali kweli nilivyoiona hii picha, nakumbuka siku hizo mwenyewe ndo nakupeleka airport unaenda kuanza kusoma mpaka na mimi nilitamani kuwa mwanafunzi ili […]

Read More..

Nikki : Wasomi Acheni Kulia Kulia

Post Image

Rapa msomi kutoka Weusi Kampuni, Nikki wa Pili amewataka wahitimu waache kulia na kulalamikia serikali kwa kukosa ajira na badala yake wanapaswa watumie uthubutu wao katika yale waliyojifunza darasani. Nikki amefunguka hayo leo kupitia kipindi cha Supamix cha East Africa Radio baada ya wanafunzi wengi kutoka maeneno mbalimbali ya nchi wakionekena kukata tamaa ya maisha […]

Read More..

Watanzania tunafundishwa michezo ambayo hat...

Post Image

Pwani. Rais John Magufuli ameziponda vikali taasisi za kiraia zinazohalalisha mapenzi ya jinsia moja na kuhimiza wanafunzi wanaopata mimba shuleni, kurudi shule baada ya kujifungua. Ameyasema hayo leo (Alhamisi) katika ziara yake ya siku tatu, mkoani Pwani ambako amezindua viwanda saba na kutembelea kiwanda cha kuzalisha dawa za kuua vimelea vya mbu. “Hawa wageni wanaleta […]

Read More..

Nay wa Mitego Aachia Dude ‘Moto’, Wamo ...

Post Image

Msanii wa muziki wa hip hop, Nay wa Mitego ameachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la ‘Moto’. Rapa huyo ameendelea na nyimbo zake za kuwachana baadhi ya wasanii ambapo ndani ya wimbo huu uliotayarishwa na producer Awasome ametajwa, Alikiba, Baraka The Prince, Nandy, Ruby pamoja na wengine.

Read More..

Joketi Mwegelo Anavyotamani Watoto Mapacha

Post Image

MWANAMITINDO na msanii maarufu nchini, Joketi Mwegelo, ameweka wazi kuwa anatamani kuwa na watoto mapacha katika maisha yake. Joketi aliweka wazi hayo alipotembelea Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, inayochapisha magazeti ya MTANZANIA, BINGWA, DIMBA na Rai, zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam. Joketi ameweka wazi kwamba mwanamume atakayekuwa mume wake atamuweka wazi hivi […]

Read More..

Chriss Mhenga Chimbuko Bongo Movie (Sehemu ...

Post Image

Inaendelea ilipoishia ….. Na bado anaamini kuwa makundi ndio kila kitu kuliko kumchukua msanii moja huku mwingine kule kwani kila mtu anavyokuja anakuja kwa ajiili ya kazi hiyo tu hana muda wa kumsikiliza mtayarishaji au muongozaji vitu vingine vya ziada, watarekodi na kusambaratika hadi kazi nyingine. Sanaa ni taaluma ni lazima wasanii kila siku wawe […]

Read More..

Watoto wa JK, Juma Nkamia Washinda Medali z...

Post Image

Dar es Salaam. Mtoto wa Rais mstaafu, Rashid Kikwete na mtoto wa mbunge wa Kondoa, Abdulrazak Nkamia wamelipa sifa Taifa baada ya kushinda medali za dhahabu katika mashindano ya Genius Olympiad, Marekani. Genius Olympiad ni shindano la kimataifa la mazingira linalofanyika kila mwaka katika Chuo Kikuu cha Oswego kilichopo nchini Marekani. Rashid ambaye ni mtoto […]

Read More..

Sitti Mtemvu: Nilivuliwa Taji La Miss Tanza...

Post Image

SHINDANO la Miss Tanzania Mwaka 2014, liliingia kwenye dosari baada ya mshindi wa taji hilo, Sitti Mtemvu kuzua sintofahamu kwa kudaiwa kwamba alishiriki akiwa juu ya umri stahiki wa mashindano hayo. Skendo nyingine iliyomtafuna Sitti ni kudaiwa kuwa alishiriki u-miss huku akiwa na mtoto. Kutokana na fi gisufi gisu za hapa na pale, hatimaye Sitti […]

Read More..

Dogo Janja Aruka kwa Muna Love

Post Image

Msanii wa hip hop Dogo Janja amekanusha tetesi za kujihusisha kimapenzi na muigizaji wa zamani na mfanyabiashara Muna Love kwa kusema hajawahi kuwa na mahusiano na habari hizo zinamuweka sehemu mbaya katika mahusiano lakini pia kifamilia. Janjaro amelazimika kufunguka hayo baada ya tetesi kuenea muda mrefu kujihusisha na Mwanadada huyo huku wengine wakienda mbali zaidi […]

Read More..