-->

Author Archives: editor

Gabo, Miaka 12 Kwenye Ndoa

Post Image

MASTAA wengi ulimwenguni wamekuwa wakishindwa kudumu kwa muda mrefu kwenye ndoa zao. Ni wachache walioweza kukaa na wenzi wao kwa zaidi ya miaka mitano kabla ya kuvunjika. Hapa Bongo, miongoni mwa mastaa walio kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka kumi ni Salim Ahmed ‘Gabo’ ambaye amefanya vizuri kwenye sinema nyingi zikiwemo Bado Natafuta, Safari ya […]

Read More..

Hakuna cha kurekebisha kwenye ‘Wapo’ – Nay

Post Image

Msanii Nay wa Mitego ambaye mwisho wa wiki amekutana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe amefunguka na kushukuru kukutana na Waziri mwenye dhamana na kusema kwa sasa hakuna anachoweza kubadilisha kwenye wimbo huo. Nay wa Mitego anasema kwa sasa hakuna kitu anachoweza kubadilisha kwenye wimbo huo kwani haukuwa na lengo […]

Read More..

Saida Karoli: Diamond na Belle 9 Waliniokoa...

Post Image

Licha ya kuwa mpambanaji kwa muda mrefu ili arudi tena kwenye muziki, kumbe Saida Karoli alishakata tamaa ya kutoboa tena Mama huyo mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni amedai kuwa baada ya Belle 9 na Diamond kuachia nyimbo zao walizotumia baadhi ya vitu kutoka kwenye wimbo wake wa ‘Maria ya Salome’ ndio zilimpa nguvu mpya […]

Read More..

Maoni:Darassa Kazimwa na Rais Magufuli…

Post Image

255 champion boy niite Mbwana Samatta haaa…” Ngoma linaanza kibabe. Linaisha kindava. Na ‘biti’ ya kikatili kama sound track ya movie la kimafia. Lazima ukae. Alikuwa yeye tu kwa kipindi kirefu. Aliwafunika wanamuziki wote mpaka mashabiki wao. Miaka mingi imepita bila wimbo wa kutikisa nchi hii kutoka. Darassa alipokuja na ngoma yake ya “Muziki” alishitua […]

Read More..

Ney Kafanikisha, Ujumbe Umefika

Post Image

Nimekuwa nikifuatilia taarifa za msanii Emmanuel Elibariki au kwa jina la kisanii, Ney wa Mitego katika magazeti ya kila siku, redio, televisheni na kwenye mtandao. Ney alifukuliwa kitandani saa nane usiku. Akadakwa na polisi. Ni Jumapili iliyopita katika nyumba ya kulala wageni iitwayo Premier Lodge mjini Turiani; mkoani Morogoro. Ney alimalizia zile saa chache kabla […]

Read More..

Kuna Diamond Halafu Harmonize

Post Image

SAFARI ya kutembelea makao makuu na studio za Wasafi Classic, inabakia kuwa yenye kumbukumbu ya kipekee kwa timu ya waandishi wa Mwanaspoti iliyotembelea ofisi hizo hivi karibuni. Tunakumbuka ilikuwa muda mfupi baada ya kumaliza kufanya mahojiano ya kina na kinara wa kundi hilo, Diamond Platinumz, tulianza kujiandaa kutimka baada ya kuridhika na kazi nzuri tuliyofanya […]

Read More..

Hiki Ndicho Shigongo Kamshauri Alikiba

Post Image

Mfanyabiashara Erick Shigongo amefunguka na kuamua kumshauri Alikiba kuhusiana na muziki wake na namna ambavyo anatakiwa kuishi kwa mipango ili hata siku asipokuwepo kwenye ramani ya muziki awe na maisha yenye tija kulingana na kazi alizofanya nyuma. Erick Shigongo ameamua kufanya jambo hili kama kuwakumbusha vijana pamoja na watanzania kiujumla kuwa siku zote unapopata mafanikio […]

Read More..

Jay Moe: Nilipata Aibu Kwa Bill Nas

Post Image

RAPA aliyewahi kutamba na wimbo wa ‘Mvua na Jua’, Juma Mchopanga (Jay Moe), amesema licha ya kutamani kufanyakazi na rapa wa wimbo wa ‘Sitaki Mazoea’, William Lyimo (Bill Nas), hatasahau alivyomdharau kabla ya kusikiliza na kuona video zake. Jay Moe alisema kabla ya kumwona, kusikiliza na kutazama video zake hakuwa akijua uwezo mkubwa alionao rapa […]

Read More..

Ethiopia Kuleta Umeme wa Bei nafuu, Asema R...

Post Image

Dar es Salaam. Tanzania itapata umeme a megawatt 400 kutoka Ethiopia baada ya Rais John Magufuli na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Hailemariam Desagen kukubaliana kushirikiana katika mambo 13. Mbali na umeme, masuala mengine ni usafirishaji wa anga, bandari, matumizi ya Mto Nile, vibali vya kufanya kazi ndani ya nchi hizi mbili, utalii, kilimo, uboreshaji […]

Read More..

Wolper Amchana Harmorapa!

Post Image

JACQUELINE Wolper amefunguka kuwa mwanamuziki chipukizi ambaye hivi sasa amekuwa gumzo mjini, Athuman Omary ‘Harmorapa’ anatia hasira kutokana na kauli zake. Wolper ambaye ana jina kubwa Bongo Muvi, alisema kinachomuudhi kwa Harmorapa ni kitendo cha mpenzi wake, memba wa Wasafi Classic Baby (WCB), Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ kumuongelea vizuri lakini yeye anapohojiwa na vyombo vya habari […]

Read More..

Shigongo:Diamond Mbele Kuna Shimo, Ukimya B...

Post Image

Mwandishi na mmiliki wa kampuni ya Global Publishers Eric Shigongo, amemfungukia staa wa Bongo Fleva, Diamond  Platinumz kwa kumtahadhalisha kuwa anaweza kwenye game kutokana na kitendo chake cha kutofufanya matamasha mengi ya hapa nyumbani  na hii ni kutokana na kitendo cha kuwatoza kiwango cha juu  mapromota wa nyumbani kiwango kile kile anachowatandika wale wa nje. […]

Read More..

Chemical: Sitasahau Mama Yangu Alivyoniacha

Post Image

MSANII wa hip hop, Chemical amesema kila anapokumbuka kifo cha mama yake anajikuta akilia sana kutokana na kutamani angeyaona mafanikio yake ya sasa kupitia muziki wake. “Sikulelewa na mama yangu kwa asilimia kubwa kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimsumbua, lakini nilipotimiza miaka mitatu nikaambiwa niende Dar es Salaam kumsalimia, nilifika na furaha kumbe ndiyo alikuwa amefariki, […]

Read More..

VIDEO: Msiniite Tena TID-Khalid

Post Image

Mkongwe wa bongo fleva Khalid Mohamed maarufu kwa jina la TID au Mzee Kigogo amelikataa rasmi jina la TID ambalo ndilo lililompatia umaarufu na kutaka kupendekeza aitwe jina lake alilopatiwa na wazazi wake au ‘Mnyama’. Akipiga story na eNewz ya EATV TID amesema halipendi tena jina hilo kwa kuwa limekuwa la kawaida sana na kudai watu […]

Read More..

Wolper: Aika na Nareel Ndiyo ‘Couple’ I...

Post Image

STAA wa Bongo Movie, Jackline Wolper, amesema uhusiano wa wasanii wenzake, Aika na Nahreel, wanaounda kundi la muziki la Navy Kenzo, ndiyo ‘couple’ imara zaidi kwa wasanii kwa sasa. Wolper alisema anafurahishwa na wanavyoweza kukabiliana na changamoto wanazokumbana nazo katika uhusiano wao na hawayumbishwi licha ya kuwa mastaa wakubwa kwa sasa katika muziki. “Wamejitahidi sana […]

Read More..

VIDEO: Wasanii ‘Bongo Movie’ Wa...

Post Image

Mkongwe wa filamu Jacob Stephen ‘JB’ amefunguka kwamba wasanii wa filamu wapo hatarini kupotea ikiwa hawataweza kwenda sawa na kipindi ambacho tasnia hiyo inapitia kwa sasa. JB ametoa tahadhari hiyo huku akikanusha hofu iliyopo kwamba tasnia ya movie imekufa ambapo amedai kuwa kuna wasanii wanaoweza kupotea kwenye ramani na kuja wasanii wapya lakini tasnia itaendelea kubaki palepale hivyo […]

Read More..

Rose Ndauka: Wanaume Wakware Bado Wananisum...

Post Image

STAA wa filamu nchini, Rose Ndauka, ameweka wazi kwamba licha ya kujibidisha kwenye ubunifu wa kazi mbalimbali za kumwingizia kipato anazozifanya, hujikuta akikutana na idadi kubwa ya wanaume wakware wanaomtaka kimapenzi badala ya kufanya naye biashara. Ndauka ambaye kwa sasa anajishughulisha na ujasiriamali, alisema amekua akibuni njia mbalimbali za kumwingizia kipato ili aendane na hali […]

Read More..

Shilole Apanga Makubwa Kwenye 40 ya Mtoto w...

Post Image

Shilole aka Shishi Trump ni mzungu. Amesema hana kinyongo na ex wake Nuh Mziwanda na ndio maana mwaliko wa 40 ya mtoto wa kike wa Nuh na mke wake Nawal ukihusika, ataenda kufanya makubwa. “Mimi sinaga shobo ujue,” muimbaji huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio hivi karibuni. “Mimi naenda kwa moyo wangu […]

Read More..

VIDEO: Nay wa Mitego Akutana na Waziri Mwak...

Post Image

Staa wa Bongofleva Nay wa Mitego alifika katika ofisi za Wizara ya Habari, utamaduni, sanaa na michezo zilizopo Dodoma kwa ajili ya kuonana na kufanya mazungumzo na Waziri Dr. Harrison Mwakyembe ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu msanii huyo kuachiwa huru. Nay wa Mitego alikuwa akishikiliwa na Jeshi la polisi Dar es slaam kwa tuhuma […]

Read More..