AT Amtaka Tundaman Kuhamia Kwenye ‘Mauno’
Mfalme wa miduara nchini Tanzania AT ambaye kwa sasa anatamba na ngoma mpya yenye mahadhi tofauti na mduara inayokwenda kwa jina la ‘Sili feel’, amemtaka msanii Tundaman kuanza kucheza ‘mauno’(dansi) ili aweze kupata ‘kiki’ mjini. Hayo yameibuka baada ya Tundaman kulalamikia vyombo vya habari pamoja na blog kuwapa ‘promo’ nyingi wasanii ambao hawana sifa stahiki huku […]
Read More..





