Tanzanite: Diamond Bado Ananichukia Hadi Le...
Kukumbusha tu Tanzanite alipata jina miaka kadhaa iliyopita baada ya kuurudia wimbo wa Diamond, Mbagala na kudai ulikuwa wake huku pia baadaye akimtuhumu kumroga. Shutuma hizo zilimkera sana Diamond. Tanzanite amedai kuwa hadi leo Diamond Platnumz anamchukia. “Nakutanaga naye [Diamond] lakini si mtu ambaye labda ananipa ushirikiano,” Tanzanite ameiambia Bongo5. Muimbaji huyo amedai kuwa ugomvi […]
Read More..





