-->

Author Archives: editor

Nyuma ya Pazia Diamond Kumfunika Kiba kwa ...

Post Image

MWISHONI mwa wiki iliyopita, gumzo kubwa kunako tasnia ya burudani Bongo ilikuwa juu ya hafla ya utoaji Tuzo za MTV Afrika (MAMA) ambapo wawakilishi kutoka Bongo, Vanessa Mdee ‘Vee Money’, Navy Kenzo, Yamoto Band, Diamond, Raymond na Ali Kiba ‘King Kiba’ walitoka kapa. Mengi yameongelewa kuhusiana na tuzo hizo kuonekana kama zilitolewa kwa upendeleo (Sauz […]

Read More..

Wasanii Bongo Umoja Wetu ni wa Misibani Tu:...

Post Image

Muigizaji wa kundi la Zecomedy la EATV, Mtanga amesema wasanii nchini hawana umoja kama watu wanavyodhani ila umoja huonekana pindi kukiwa na tatizo la msiba ndipo wasanii hukutana kwa umoja. Mtanga ameyasema hayo kupitia kipindi cha SUPAMIX ‘Kamatia Kitaa’ ambacho kimefanyika katika stendi ya Morocco Jijini Dar es Salaam ambapo kundi la Zecomedy limejumuika na wananchi […]

Read More..

Shamsa Ford: Siwezi Kuficha Hisia Zangu

Post Image

Msanii wa filamu na mama wa mtoto mmoja Shamsa Ford amesema yeye ni mwanamke ambaye hawazi kufisha hisia zake za mapenzi. Malkia huyo wa filamu ambaye alifunga ndoa miezi mitatu iliyopita na mfanyabishara wa maduka ya nguo Chidi Mapenzi, amesema amekuwa akijiachia katika mitandao ya kijamii kueleza hisia zake juu mume wake kutokana na kudai […]

Read More..

Sijawahi Kupata Tuzo Tangu Nianze Muziki -M...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva nchini Mr. Blue ameweka bayana kwamba pamoj na kukubalika na mashabiki wengi na na kuwa kwenye tasnia ya muziki kwa muda mrefu hajawahi kupata tuzo hata moja ya kutambua mchango wake kwenye muziki. Akizungumza katika kipindi cha Friday Night Live (FNL) kinachorushwa na EATV kila siku ya Ijumaa, Mr. Blue amesema  […]

Read More..

Hii Ndilo Jina Jipya la Mr Blue Baada ya ...

Post Image

Mr Blue amelitaja jina lake jipya analolitumia baada ya lile la ‘Simba’ kuchukuliwa na Diamond Platnumz. Rapper huyo amesema kuwa kwa sasa anatumia jina la ‘Nyani Mzee’ kama jina lake jingine la utani. “Actually kwa sasa jina la Simba nimeliacha ila kwa sasa natumia jina la ‘Nyani Mzee’ nikimaanisha nimekwepa mshale mingi. Nasubiri na hilo […]

Read More..

Nimeamua Kuwa Nuru Yao- Da Zitta

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa filamu Bongo Zitta Matembo ‘Da Zitta’ aamegeukia walemavu baada ya kutengeneza filamu ijulikanayo kama Nuru huku mhusika mkuu wa filamu hiyo akiwa mlemavu kabisa na inaelezea changamoto wanazokutana nazo jamii hasa wale wenye ulemavu wa viungo mbalimbali Da Zitta anasema kuwa imekuwa ni vigumu sana wasanii ambao wana ulemavu kupiwa nafasi […]

Read More..

Tuzo Zitaongeza Thamani ya Mauzo ya Filamu-...

Post Image

Rais wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF) Simon Mwakifwamba amesema tuzo ambazo zimeandaliwa na EATV ambazo zipo kwenye mchakato sasa na wasanii mbalimbali wamejitokeza kujipendekeza katika tuzo hizo zitasaidia wasanii kupaa katika mauzo ya kazi zao. Mwakifwamba ameyasema hayo alipokuwa akiongea na EATV akitoa mtazamo wake kuhusu kuanzishwa tuzo hizo na faida ambazo msanii anaweza kuzipata kwa kushiriki kuwania tuzo […]

Read More..

Alikiba: Sipendi Kiki na Sitofanya Kamwe

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva Alikiba amesema Kiki ni kitu ambacho hakipo kwenye menu yake. Alikuwa akiongea kwenye kipindi cha Clouds 30 kupitia Clouds TV. Kwanza kwangu mimi hicho kitu hakipo, sijui kusema mimi nina hela. Na kuna watu wengine wanaongopa kwa kusema uongo tu kwasababu watanzania tumeshakubali kupelekwa na hiyo,” alisema. “Lakini kuna baadhi pia […]

Read More..

Msanii Akiri Kuwahi Kwenda kwa Mganga

Post Image

Msanii wa bongo fleva ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Samaki’ Galatone amefunguka na kusema kuwa yeye aliwahi kwenda kwa mganga wa kienyeji kufanya makeke ili aone jambo ambalo linamsumbua. Galatone alisema hayo kupitia kipindi cha ‘NgazKwaNgaz’ kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana EATV, msanii huyo anasema katika hali ya kawaida […]

Read More..

Sijakimbia Jiji Nimeokoa Kipaji Changu- Luc...

Post Image

LUCKEY LUCKAMO mwigizaji wa kiume kutoka Bongo Movie amefunguka kwa kusema kuwa aliamua kurudi kwao Tanga baada ya kubaini kuwa ukihamia Dar es Salaam kama mwigizaji mzuri unapoteza uhalisia kwa sababu kuna aina moja ya uigizaji hivyo ushindani unapotea ghafla baada ya kugundua hilo kwa sababu yeye ana malengo makubwa aliamua kurudi zake sehemu ambayo […]

Read More..

Mpenzi Mpya wa Wema Sepetu Afungukia Kwanin...

Post Image

Model Calisah ambaye anadaiwa kutoka kimapenzi na Wema Sepetu amekataa kuzungumzia mahusiano yake na Wema Sepetu pamoja na kueleza kwanini alisema hamjui aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Wema Sepetu na mshindi wa Big Brother 2014, Idris Sultan. Wiki moja iliyopita kupitia kipindi kimoja cha runinga, model huyo alisema hamjui Idris Sultan. Akiongea na Bongo5 Jumanne […]

Read More..

Leo ni Birthday ya Aunty Ezekiel, Wema ,Zar...

Post Image

Leo Oktoba 27 ndiyo tarehe aliyozaliwa staa wa Bongo Movies Aunty Ezekiel aka Mama Cookie. Mastaa mbalimbali wa Bongo kupitia akaunti zao za Instagram wamemtakia heri katika siku yake ya leo kwa jumbe mbalimbali; “Okay…. i think imetosha na mapicha picha na hapo bado ninazo nyingine kama Mia… Tusisahau kwenye simu ya Tiake pia zipo… […]

Read More..

Tigo Change Makers

Post Image

Kuna tatizo katika jamii yako ambalo umeanza kulitatua kwa kutumia TEHAMA? Unaweza kushinda dola 20,000/- za #TigoDigitalChangeMakers . Kwa maelezo zaidi bofya hii link: https://tigo.co.tz/sw/digitalchangemakers

Read More..

Wema Sepetu na Aunty Ezekiel Wapo Vizuri

Post Image

Tofauti na kile ambacho baadhi ya mashabiki wa mastaa hao kudhani kuwa Wema Sepetu na Aunt Ezekiel hawaelewani kwa sasa, Wema Sepetu  ameonyesha wazi kuwa yeye na Aunt wapo vizuri baada ya kubandika picha  hiyo hapo juu ya Aunt Ezekiel akiwa na mtoto wake Cookie kwenye ukurasa wake wa instagram ma kuandika. “My Picture of the […]

Read More..

Mimi Siyo Marioo – Abubakari Mzuri

Post Image

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Abukakari Mzuri ambaye aliwahi kutamba na wimbo kama ‘Samahani’ amefunguka na kusema kuwa yeye siyo Marioo kama ambavyo watu wamekuwa wakisema kuwa analelewa na mwanamke au ameolewa na mwanamke. Ababukari Mzuri alisema hayo alipokuwa akihojiwa kwenye kipindi cha eNewz cha EATV na kusema kuwa yeye hajaolewa wala halelewi na mwanamke […]

Read More..

Bifu: Filamu Aliyocheza Fid Q Ambayo Hataki...

Post Image

Kabla ya kupata tobo na kuwa mmoja wa wana hip hop wanaoheshimika zaidi Tanzania, Fid Q aliwahi kufanya mishe mishe mingi ikiwemo kuwa muigizaji wa ‘bongo movie.’ Yeye na Sugu waliigiza filamu ya maisha ya muziki iitwayo Bifu. Kutokana na kuwa na kiwango cha chini, Fid Q hataki uione filamu hiyo kwakuwa anahisi kwa alipofika […]

Read More..

Hizi Team Kiba, Diamond ni Sumu

Post Image

KAMA una simu inayoweza kufungua mitandao ya kijamii, basi ukizubaa utakuwa na bahati ya kushuhudia madudu tu na simu hiyo haitakuwa na faida kwako hata kidogo. Mitandaoni kuna mambo mengi sana yanaendelea na hayana maana hata kidogo ingawa wanayoyaendeleza huamini wana uwezo mkubwa wa kuzungumza mambo na wanachosema ni sahihi hasa. Kwenye Facebook, Instagram na […]

Read More..

Kingwendu Aomba ‘Promo’ Kama ya...

Post Image

Msanii wa vichekesho nchini Kingwendu amesema mambo ya siasa yalimsababisha kupunguza kazi zake za sanaa kwa kuwa alikuwa katika kujipigia kampeni za kugombea ubunge. Pia Kingwendu amesema kama angefanikiwa kupata ubunge angeweka mambo ya sanaa pembeni kidogo kwa kuwa siasa ina mambo mengi na inabidi ujipe muda wa kutosha ili kuweza kukamilisha majukumu yako vizuri. […]

Read More..