-->

Category Archives: BongoFleva

Magazeti ya Leo August 31

Post Image

  Chanzo:millardayo.com

Read More..

Dogo Janja Amfungukia Irene Uwoya, ‘Nampe...

Post Image

Msanii wa Bongo Flava, Dogo Janja amezungumzia taarifa zilizokuwa zikidai kuwa anatoka kimapenzi na Muigizaji wa filamu Irene Uwoya. Rapper huyo ambaye ameachia ngoma mpya leo ‘Ngarenaro’ amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds Fm kuwa ukaribu wao ulikuwa wa kawaida tu na hakuna kilichokuwa kinaendelea kati yao ingawa watu waliwachukulia vinginevyo. “Nampenda sana yule dada […]

Read More..

Amini Afungukia Kutompongeza Linah

Post Image

Msanii wa Bongo Flava, Amini amefunguka mambo kadhaa kuhusu aliyekuwa mpenzi wake Linah tangu alipojifungua. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake ‘Yamoyoni’, ameiambia XXL ya Clouds Fm aliposikia Linah amejifungua alimuombea tu ila hakuweza kumpatia zawadi yoyote. “Sikuwahi kumpongeza wala kumpelekea zawadi kwa sababu sifahamu anapokaa, vile vile sina mawasiliano naye. […]

Read More..

Chid Benz: Tupac yupo Cuba na Ninawasiliana...

Post Image

Chidi Benz azua jipya mjini, adai 2Pac yuko hai na anaishi nchini Cuba, na wanaongea kila siku na tayari ameshafanya naye ngoma itakayotoka hivi karibuni. Chidi Benz ambaye kwa sasa anazungumzwa sana kwa skendo za utumiaji wa madawa ya kulevya, akiongea na  eNewz alisema kuwa  “Maneno yanayoongelewa kwamba 2Pac amefariki siyo kweli, Kila siku ninaongea na […]

Read More..

Alikiba Atoboa sababu ya Baraka The Prince ...

Post Image

Baada ya muda mrefu wa maswali juu ya sababu iliyomfanya msanii Baraka The Prince kutoka kwenye lebo kubwa ya muziki ambayo ilimsaini ya Rockstar4000, hatimaye mmoja wa mabosi wa lebo hiyo msanii Alikiba aweka wazi kila kitu. Akizungumza kwenye Planet bongo ya East Africa Radio alipokwenda kutambulisha wimbo wake mpya wa ‘seduce me’, Alikiba amesema […]

Read More..

Alikiba, Diamond, Lulu, Millard Ayo Watajwa...

Post Image

Mastaa wa Bongo Fleva kutoka Tanzania, Alikiba na Diamond Platnumz wametajwa kwenye orodha ya vijana 100 waliochini ya miaka 40 wenye ushawishi zaidi barani Africa kwa mwaka 2017. Kwenye orodha hiyo iliyotolewa leo na mtandao wa African Youth Awards imemtaja pia muigizaji wa filamu nchini Tanzania mrembo Elizabeth ‘Lulu’ Michael na mwanamitindo Flaviana Matata na mwana habari […]

Read More..

Young Dee Aomba Radhi Kuhusu Picha ya Utupu

Post Image

Rapper Young Dee amewaomba radhi mashabiki wake kutokana na picha ya utupu iliyosambaa leo mitandaoni , akiwa na Amber Lulu ambaye ndiye aliyekaa utupu. Kwenye ukurasa wake wa Instagram Young Dee ameandika kwamba picha hiyo imevujishwa na watu wasiojulikana, ambayo ilikuwa na lengo la tangazo la nguo. “Nasikitishwa kwa picha inayosambaa mitandaoni.. imevuja bila ridhaa […]

Read More..

Jux Aendelea Kumng’ang’ania V Money

Post Image

LICHA ya ‘couple’ ya mastaa Vanessa Mdee ‘V Money’ na Juma Mussa ‘Juma Jux’ kufikia mwisho, Jux ameibuka na kusisitiza kuwa, atendelea kuwa karibu na mwanadada huyo kwa kuwa bado anampenda. Jux alisema ni kweli wameachana, baada ya kushindwa kufikia mwafaka wa tatizo lao, lakini wataendelea kuwa karibu kutokana na ustaa wao na urafiki. Akizungumza […]

Read More..

Simuogopi Simba- Alikiba

Post Image

Msanii Alikiba ambaye ni shabiki  wa klabu ya Yanga, amesema haiogopi wala kuihofia timu ya Simba hata kama wameanza vizuri kwa kugawa kichapo katika mechi za awali Ligi Kuu huku akidai mpira unadunda na muda wowote Simba itapotea. Alikiba ameeleza hayo muda mchache alipomaliza mahojiano kwenye kipindi cha Planet Bongo kutoka East Africa Radio akiwa ameongozana na mtayarishaji wake […]

Read More..

Ali Kiba Atupa Jiwe Gizani Kisa Watoto Wake

Post Image

STAA anayekimbiza na Wimbo wa Seduce Me, Ali Kiba Saleh ‘King Kiba’ ametupa jiwe gizani kwa kusema, hana tabia ya kutelekeza watoto kama mmoja wa wasanii wa Bongo Fleva anavyofanya. Kiba ambaye wiki iliyopita alikuwa nchini Marekani kikazi, alifungukahayo alipokuwa akipiga stori mbili tatu na Ijumaa Wikienda kuhusiana na maisha yake ya kimuziki. Kiba alisema […]

Read More..

Latifa Ilimtuliza Mwenye Kichaa – Mb Dog

Post Image

Msanii Mb Dog amesema kwamba wimbo wake wa Latifa ulimpa historia kubwa kwenye maisha yake, ikiwemo kumtuliza mwanamke ambaye alikuwa na kichaa cha mimba. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Mb Dog amesema wakati ametoa wimbo huo na kufanikiwa kufanya vizuri, alienda Mwanza kwenye show na kukutana na mzee mmoja ambaye alimfuata akimuomba […]

Read More..

Snura, Ngassa Mnazuga?

Post Image

WAHENGA wanasema, lisemwalo lipo na kama halipo basi laja. Si mnakumbuka kipindi fulani hivi, staa wa filamu na muziki wa mduara, Snura Mushi na winga nyota wa zamani wa Yanga aliyepo Mbeya City, Mrisho Ngassa picha zao za kiutu uzima ziliwahi kuvuja na kuvumishwa kuwa ni mtu na mtuwe? Hata hivyo jamaa hao walituzuga hakuna […]

Read More..

Country Boy Afunguka Kulelewa na Kajala (VI...

Post Image

Rapa Country Boy ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Turn Up’ akiwa na mkongwe Mwana FA amefunguka na kusema kuwa msanii wa filamu nchini Kajala Masanja anamlea vizuri na kusema kwake ni kama mama. Country Boy anasema yeye na Kajala wanafahamiana muda mrefu na kudai kuwa hata wimbo wake wa kwanza kufanya Kajala ndiye […]

Read More..

Afande Aibuka Baada ya Kutajwa kwenye ̵...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki wa hop hop, Afande Sele baada ya kujwa kwenye wimbo Zilipendwa wa WCB, amedai amependezwa na kitendo hicho kwa mpongeza Diamond Platnumz. Wimbo ‘Zilipendwa’ uliowahusisha wasanii wote wa WCB, umeibua maswali mengi kwa baadhi ya mashabiki kutokana na maudhui ya wimbo huo kwa kuwataja baadhi ya mastaa wa zamani akiwemo Afande […]

Read More..

Harmorapa Ampa Makavu P-Funk Majani

Post Image

Msanii wa hip hop bongo Harmorapa, amefunguka juu ya kitendo cha kumchana mtayarishaji wa muziki ambaye iliaminika anamkubali zaidi, na kukiri kuwa kwa sasa hayuko vizuri na P Funk. Akizingumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Harmorapa amesema kwa sasa hawana mawasiliano mazuri na P Funk, kwani kuna mambo ambayo yalitokea, yaliyosababisha kutoelewana kwao, […]

Read More..

Itazame Hapa Video Mpya ya Alikiba

Post Image

Msanii Alikiba amevunja ukimya wake leo 25 Agosti 2017 kwa kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Seduce me’ ambayo imekuja moja kwa moja na video zake. Wimbo huu wa Alikiba umetengenezwa na mtayarishaji wa muziki kutoka Tanzania Man Water Itazame hapa video hii mpya  ya Alikiba

Read More..

Madee Amchana Roma Mkatoliki

Post Image

Rais wa Manzese, Madee amefunguka kwa kumchana rapa Roma Mkatoliki aache tabia yake ya kupenda kuichunguza simu ya mke wake na kuitumia kila mara kwani ipo siku yatakuja kumkuta makubwa asipoangalia. Madee amebainisha hayo baada ya msanii Roma kudai hamiliki simu ya kiganjani tokea alipopatwa na matatizo ya kutekwa na watu hivyo sasa anatumia simu ya mke wake […]

Read More..

Kuna Wasanii Wanabebwa na Media – Roma

Post Image

Msanii wa hip hop Bongo, Roma amekiri kuwa kuna baadhi ya wasanii wanapata upendeleo wa ngoma zao kupata airtime katika media. Rapper huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Zimbabwe’ ameiambia The Playlist ya Times Fm kuwa mara nyingi siyo kitu kizuri kwani pale msaada huo unapofika kikomo msanii hupotea kwenye muziki. “Yeah, off […]

Read More..