-->

Category Archives: BongoFleva

Nilipigwa Sana Mawe – Mr. Blue

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Mr. Blue ametoa siri inayomfanya afanikiwe kufanya vizuri kwenye ‘game’ ya bongo fleva tangu aanze akiwa mdogo na kusema kuwa haikuwa rahisi kwake wakati anaanza kwani wengi walimtupia maneno yenye madongo ndani yake. Akizungumza na mwandishi wa East Africa Radio, Mr. Blue amesema kipindi anaanza kutengeneza ‘brand’ yake kama […]

Read More..

SHILOLE: Kufanya bonge la harusi!

Post Image

SHILOLE msimchukulie poa kabisa. Alichopanga kufanya kama kikikaa sawa, itakuwa gumzo kwelikweli hapa jijini. Msanii huyo wa muziki wa Bongo Flava na mwigizaji wa Bongo Muvi amewaambia mashabiki na marafiki zake kwamba, wasiwe na haraka watulie kwanza kwani anaamini ndoa yake ambayo amedai iko njiani, itaacha historia. Amesema kuwa harusi yake itakuwa ya maana na […]

Read More..

Vanessa Penzini Tena?

Post Image

Msanii wa kike bongo kwenye game ya bongo fleva anayekimbiza kimataifa Vanessa Mdee, ameonekana kupata mbadala wa aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu Juma Jux, kwa kuanza kumposti mwanaume mwingine huku kukiwa na ‘caption’ zenye ujumbe wa mahaba. Kwenye ukurasa wake wa Instagram siku chache zilizopita Vanessa Mdee alimposti msanii wa Nigeria Run Town na […]

Read More..

Nuh Mziwanda Awalilia Mashabiki Wake

Post Image

‘STRESS’ za kumwagana na aliyekuwa mke wake ambaye pia ni mzazi mwenziye, zinaendelea kuutesa ubongo wa mwanamuziki wa Bongo fleva, Nuh Mziwanda, ambapo hivi karibuni ameamua kuomba ushauri kwa mashabiki wake, juu ya mwanamke gani atamfaa katika maisha yake. Nuh ambaye ni baba wa mtoto mmoja aliyezaa na aliyekuwa mkewe, Nawal, akiwa kwa sasa ni […]

Read More..

Alikiba Ajibu Mashairi ya Diamond?

Post Image

Baada ya verse ya Diamomd Platnumz kusikika katika remix ya ngoma ya Fid Q ‘Fresh’, kumekuwa na tweets kutoka kwa Alikiba ambazo bado hazijaeleweka iwapo zinajibu kile alichoimba Diamond katika ngoma hiyo. Katika ngoma hiyo ya rapper huyo mkongwe kuna mIstari Diamond anasema, “Viuno vidogo wanataka pensi ya Pepe Kalle, siwalitaka kiti nimewapa hadi kitanda wakalale”. […]

Read More..

Shilole: Skendo Kwangu Sasa Basi

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amesema sasa ameamua kutulia kuepukana na skendo, kwa kuwa tayari yupo kwenye hatua za mwisho kuingia kwenye maisha ya ndoa. Kauli ya Shilole kudai anatarajia kuolewa hivi karibuni ilizua gumzo, huku baadhi ya watu wakidai si kweli, lakini mwenyewe amekiri kwa kusema mashabiki wake watarajie kumuona akivalishwa shela […]

Read More..

Roma Aikana CHADEMA

Post Image

Msanii Roma Mkatoliki ambaye anaimba muziki wa Hip hop kwenye game ya bongo, amekikana chama cha CHADEMA na kusema kuwa hajawahi kuwa mwanachama wa chama hicho kama ambavyo wengi wanaamini, na hajawahi kuwa mwanachama wa chama chochote. Roma ambaye hivi karibuni alikutwa na sakata la kutekwa na kuibua sintofahamu nyingi, amesema kwamba hajawahi kuwa mwanasiana […]

Read More..

Roma Atoboa Siri ya Zimbabwe

Post Image

Rapa Roma amedai sababu za kusema anakwenda Zimbabwe  ni kutokana na ukweli kwamba nchi hiyo  ni moja kati ya nchi ambazo ziliguswa na matatizo aliyopata ikiwepo kutekwa na kuteswa kwa siku tatu mfululizo. Akizungumza leo kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Roma amesema ingawa tayari idea ya wimbo huo ilikuwepo lakini alitamani kuonyesha mama wa Afrika […]

Read More..

Msami Aufungukia ‘Step by Step’

Post Image

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Msami Giovan ‘Msami’, amesema katika kazi zake zote alizowahi kufanya hadi sasa, wimbo unaomvutia na kumpa hisia kubwa ni ‘Step by Step’. Akizungumza hivi karibuni jijini Dar es Salaam, Msami alisema wimbo huo umekuwa ukimvutia kila anapousikia, hasa upande wa sauti za vinanda zilizotumiwa. Alisema kazi hiyo imekuwa ikimburudisha […]

Read More..

Ray C Mpya Afunguka Yote Hapa

Post Image

MSANII ambaye miaka kadhaa iliyopita alipotea kwenye anga la muziki baada ya kujitumbukiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, hivi karibuni alifanya mahojiano na MWANASPOTI baada ya kurudi kwenye ‘game’ la muziki na kusema haya yafuatayo: BADO WAMO Ray C ambaye kutokana na na kukatika, alipewa jina la ‘Kiuno Bila Mfupa’ […]

Read More..

Nimepata Pakufia- Shilole

Post Image

Msanii Shilole ‘Shishi Trump’ amefunguka kwa kudai yupo katika maandalizi yake ya mwisho ya kuolewa huku akiwasisitizia mashabiki zake kuwa safari hii hakuna maneno mengi kama zamani kwa kuwa amepata haja ya moyo wake. Shilole amebainisha hayo baada ya baadhi ya mashabiki zake kutomuamini kwa kauli zake kwa kuwa mara nyingi ameonekana kuwa mwenye ‘drama’ […]

Read More..

This is Too Much Chid Benz Ongea na Nafsi Y...

Post Image

Muziki ulimpa umaarufu kuliko matukio aliyoyafanya nje ya sanaa lakini Chid Benz yule wa mwaka 2009 siyo huyu wa 2017. Amekuwa binadamu anayesikitisha watu kuliko kuwaburudisha, bila shaka mama yake mzazi anasikia uchungu akiutazama mwenendo mbaya wa mama yake. Machi 22 mwaka jana,Babu Tale na Kalapina walifanikiwa kumfikisha, Chid Benz kwenye kituo cha Life and […]

Read More..

New Video: Rostam (Roma & Stamina) –...

Post Image

Roma na Stamina kupitia umoja wao ‘Rostam’ ameachia video ya ngoma yao mpya ‘Hivi Ama Vile’, video imeongozwa na Nicklass, audio ni Mr. T Touch.

Read More..

Mr Nice: Kenya Wananipenda, Tanzania Hawani...

Post Image

MWANAMUZIKI wa miondoko maarufu kwa jina la Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), ambaye alijizolea umaarufu miaka ya 2000 na baadaye kupotea kidogo kutokana na sababu za hapa na pale, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ amesema kuwa anaamini kuna baadhi ya Watanzania wenzake hawampendi. Mwanamuziki huyo ambaye kwa sasa amerejea upya katika gemu, amefunguka mambo mengi katika makala haya: […]

Read More..

Snura Atoa Neno kwa Kichuya wa Simba

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva, Snura Mushi ambaye ni shabiki wa Simba, ameutazama mchezo wa Ngao ya Jamii Agosti 23 na kumtaka straika wao, Shiza Kichuya, kupambana na kuhakikisha anaitungua Yanga dakika za mwanzo. Snura amekuwa akivutiwa na straika huyo tangu alipotua Simba na kuahidi kumsapoti kila wakati timu hizo zitakapokutana. Akizungumza na MTANZANIA, Snura amemtaka […]

Read More..

Nay wa Mitego Afungukia Bifu Lake na Roma

Post Image

HIT MAKER wa ngoma inayobamba kwa sasa Acheze, Emmanuel Elibariki ‘Nay Wa Mitego’, amesema aliumizwa sana na maneno ya rapa mwenziye, Roma Mkatoliki, aliyeongea maneno ya kumkashifu mara baada ya kuibuka baada ya kutekwa kwake, miezi michache iliyopita. NAY WA MITEGO AFUNGUKA… “Roma anatakiwa ajue kwamba mimi ni mmoja kati ya wasanii ambao walishinda kutwa […]

Read More..

Jina la Mtoto wa Hamisa Mobetto Lazua Utata...

Post Image

Mtoto wa mwanamitindo Hamisa Mobetto Jumatatu hii ametimiza siku saba toka azaliwe Agosti 8 mwaka huu ambapo amepewa jina la Abdul Naseeb. Jina ambalo limeanza kumaliza maswali mengi ya mashabiki ambao walitaka kumjua baba wa mtoto huyo. Awali mrembo huyo alifungua akaunti ya Instagram kwa jina ‘Tanzania Baby’ lakini Jumanne hii alibadilisha jina na kuandika […]

Read More..

Janjaro Aanika Maisha Yake, Kuonja Penzi la...

Post Image

MOJA kati ya headline zilizosumbua kwenye mitandao ya kijamii hivi karibuni ni uhusiano wa kimapenzi kati ya chalii wa Ngarenaro-Arusha, Abdulaziz Chende ‘Dongo Janja’ na staa wa sinema za Kibongo, Irene Uwoya. Umri wa Dogo Janja ambaye pia utakuwa hujakosea kama utamuita Janjaro umeshapita miaka 18. Ana uhuru wa kuingia kwenye masuala ya uhusiano, lakini […]

Read More..