-->

Category Archives: BongoFleva

Siku ya Kucheza Muziki wa Nyumbani Yatafutw...

Post Image

Dar es Salaam. Serikali imesema itafanya mazungumzo na viongozi wa muziki kujadili kuwa na siku maalumu ya muziki wa nyumbani. Hayo yamesemwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Harrison Mwakyembe alipokuwa akizungumza na waimbaji wa muziki wa injili ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kukutana na vikundi mbalimbali vya sanaa. Amesema […]

Read More..

Alikiba ni wa Dhahabu – Mkubwa Fella

Post Image

Meneja wa wasanii ambaye pia ni kiongozi wa kituo cha Mkubwa na wanawe Mkubwa Fella, amesema yeye hana tofauti na msanii yeyote, na kudai anaweza kufanya kazi hata na Alikiba ambaye wengi wanadhani ana tofauti naye kubwa. Mkubwa Fella ameyasema hayo kwenye Planet Bongo ya East Afrika Radio, na kusema kuwa hajawahi kugombana na Alikiba […]

Read More..

Tazama Video Mpya ya Roma Mkatoliki-Zimbabw...

Post Image

Rapa Roma Mkatoliki ametusogezea video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la ‘Zimbambwe’ katika wimbo huu Roma Mkatoliki amezungumzia mambo mengi kuhusu sakata la utekaji wake na mambo ambayo amepitia kwa siku tatu ambazo alikuwa ametekwa. Katika wimbo huu Roma Mkatoliki amegusia juu ya kauli ya Mbunge wa Nkasi (CCM), Ally Kessy ambaye alisema […]

Read More..

Msami: Haikuwa Rahisi Kumbadili Chemical

Post Image

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Msami Giovani ameeleza jinsi alivyopata wakati mgumu kumbadilisha kimavazi Claudia Lubao ‘Chemical’ aliyezoeleka kwa mavazi yake ya kiume ili avae kikekike katika video ya wimbo wake wa So Fine. Akipiga stori na Risasi Vibes, Msami alisema aliona mtu anayefaa kufanya naye hiyo ngoma yake ni Chemical hivyo akambadili kimavazi ambapo kwenye video […]

Read More..

Sitaki tena wanawake- Nuh Mziwanda

Post Image

Msanii wa bongo fleva, Nuh Mziwanda amefunguka na kudai hataki kusikia tena habari za wanawake kwa sasa kwa kuwa yeye ni ‘single boy’. Mziwanda ameeleza hayo kupitia kipindi cha 5seleKt kutoka EATV baada ya kupita siku chache tokea aachane na mke wake waliofunga ndoa anayefahamika kwa jina la Nawal. “Sasa hivi nipo ‘single boy’ sitaki […]

Read More..

Witness ‘Kibonge Mwepesi’ Afung...

Post Image

Msanii wa Muziki Bongo, Witness amedai kuwa wasanii wengi wanaibiwa kazi nje ya nchi kutokana hamna mfumo wa kufutilia. Muimbaji huyo amedai kutokuwepo kwa utaratibu wa kuwalipa wasanii mirabaha hapa nchini kunawafanya wengi wao kushindwa kufuatilia kitu kama hicho nje ya nchi. “Uhakika upo wasanii wengi wanapigwa nje ya Tanzania hawajui namna gani ya mapato […]

Read More..

Ben Pol Hataki Kuulizwa Kuhusu Ebitoke

Post Image

Msanii wa RnB Bongo, Ben Pol ameweka wazi kuwa kwa sasa hapendi kuulizwa maswali kuhusu Ebitoke, mtoto na mahusiano. Muimbaji huyo amesema kutokana na kazi zake ambazo anataka kuzifanya kwa sasa inamlazimu kufanya hivyo. “Kwa series ya kazi zangu zinazokuja ningependa sana vitu binafsi nisiviongelee zaidi au hadi pale nitakapokuwa tayari kuzungumzia Ben Pol anafanya […]

Read More..

Video 5 Zilizowapa Mkwanja Wasanii Kwa Muda...

Post Image

VIDEO zimekuwa chanzo kipya cha mapato kwa wasanii wa Bongo Fleva na sasa hawategemei kuuza audio pekee kama ilivyokuwa hapo awali. Zamani msanii alitoa video ili kukamilisha utaratibu, lakini sasa imekuwa tofauti kwani msanii anapotoa wimbo analenga kuingiza fedha kwenye audio na video kwa pamoja. Mtandao wa Youtube ni soko kuu la wasanii kuuza video […]

Read More..

Msando Awafungukia Gigy Money na Amber Lulu

Post Image

Mwanasheria machachari na kipenzi cha wasanii wengi Albert Msando ambaye mara nyingi hujitokeza kuwatetea kwenye masuala ya kisheria, amefunguka kuhusu kuwa karibu na Gigy Money na Amber Lulu, ikiwa mmoja wao alishampa skendo chafu. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Afrika Radio, Albert Msando amesema anawakubali wasanii hao kwa sababu ni mabinti ambao […]

Read More..

Ruby Afungukia Picha ya ‘Ujauzito’

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ruby ambaye hivi karibuni aliibua hali ya sintofahamu mitandaoni baada ya kupost picha akionyesha tumbo lake na wengi kuhisi ni mjamzito, amesema aliamua kufanya upumbavu kuhusu tukio hilo. Akizungumza kwenye kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na East Africa Television na East Africa Radio, Ruby amesema hana ujauzito kabisa […]

Read More..

Ujumbe wa Diamond na Zari kwa Tiffah

Post Image

Familia ya Diamond na mpenzi wake Zari The Bosslady Jumapili ya leo wamepata furaha kubwa zaidi ambayo inawafanya wakumbuke miaka miwili iliyopita. Furaha ambayo wapo nayo familia hiyo kwa sasa ni kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa mtoto wao wa kwanza Princess Tiffah ambaye anatimiza maiaka miwili ya kuzaliwa kwake. Kupitia mtandao wa instagram, wazazi hao […]

Read More..

Lulu Diva: ‘Milele’ Ilinipa Wakati Mgum...

Post Image

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Lulu Abasi ‘Lulu Diva’, amesema wimbo wake unaoitwa ‘Milele’, ndio uliompa wakati mgumu tangu alipoanza kujihusisha na tasnia ya uimbaji. Akizungumza hivi karibuni na MTANZANIA, Lulu Diva, alisema ugumu ulianza wakati wa kuandaa wimbo huo, hadi kukamilisha. Alisema licha ya kuwa wimbo huo ulimtambulisha vema katika tasnia ya muziki […]

Read More..

Hivi Ndivyo Ndoa ya Nuh Mziwanda na Nawal I...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambaye hivi karibuni kumeibuka minong’ono kuwa ndoa yake na Nawal imesambaratika, amefunguka kuhusu hilo na kukiri kuwa kweli ndoa hiyo imekufa bila talaka, huku mke wake akiwa mbioni kuolewa na mtu mwingine. Nuh Mziwanda amefunguka kuwa mke wake huyo hajampa talaka lakini ameolewa na mtu mwingine, huku vuguvugu kubwa […]

Read More..

Nyumba ya Profesa J Yakumbwa na Bomoabomoa

Post Image

Dar es Salaam. Nyumba za kifahari zilizojengwa pembezoni mwa Barabara ya Morogoro kuanzia maeneo ya Kimara mpaka Kiluvya jijini Dar es Salaam zimekumbwa na bomoabomoa ya aina yake. Pengine hilo linafahamika na wengi, lakini bomoabomoa hiyo haikumuacha salama Mbunge wa Mikumi (Chadema), Joseph Haule ‘Profesa J’. Wamiliki wengi wa nyumba hizo hawajaanza kubomoa wenyewe kama […]

Read More..

Msami Afuta Kauli Yake, ‘Irene Uwoya Alin...

Post Image

Baada ya msanii wa Bongo Flava, Msami kutoa kauli kuwa aliyekuwa mpenzi wake, Irene Uwoya ndiye aliyemtongoza, muimbaji huyo ameamua kuomba radhi kwa kutoa kauli hiyo. Msamii amesema asingependa kuona mjadala huo unaendelea kwa sasa na anatamani mashabiki wa Irene waendelee kushabikia kazi zake na mashabiki wake pia waendelee kushabiki kazi za Irene, kwani ndio njia ya […]

Read More..

Wanaomuua Jini Kabula Wajulikana!

Post Image

WAKATI hali ya staa wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ikiwa bado si shwari, watu ambao wanatajwa kuzidi kumuweka kwenye wakati mgumu na kumsukumizia kwenye kifo wamejulikana, Ijumaa linakupa habari hii ya kusikitisha. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Jini Kabula anayedaiwa kuwa na tatizo la kuchanganyikiwa, alisema anashangaa wakati yuko kwenye matatizo hayo mazito ndipo […]

Read More..

Mpoto Afungukia Kutembea Peku Peku

Post Image

Msanii wa muziki wa kughani nchini Tanzania, Mrisho Mpoto amefunguka kwa kudai hapendi kuwa ‘mpumbavu’ na ndiyo maana anatembea peku peku (bila ya kuvaa viatu) popote pale aendapo na hakuna mtu wa kumzuia kutofanya hivyo.   Mpoto amebainisha hayo baada ya kuwepo na tetesi kuwa alizuiwa kuingia kwenye nje za ughaibuni wakati anakaguliwa kwenye lango […]

Read More..

Shilole Awafunda Wasanii wa Kike

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva nchini, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amewataka wasanii wa kike wanaoibuka katika soko hilo kutobweteka na kutegemea mteremko ili wasonge mbele. Shilole anayeendelea kutamba na wimbo mpya wa ‘Sitoi Kiki’, alisema muda mfupi aliokaa kimya bila kusikika, hakufulia kama inavyosemekana, badala yake aliwapa nafasi wasanii chipukizi wa kike ili nao wajitangaze sokoni. “Kuna […]

Read More..