Sizai Hadi Ndoa Kwanza- Dr. Sandra wa Siri ...
MWAJABU Omary ‘Dr. Sandra’ mwigizaji anayetamba katika tamthilia ya Siri za familia amefunguka kwa kusema kuwa pamoja na kuwa na mchumba wake zaidi ya miaka mitano katika mahusiano lakini hawezi kumzalia watoto hadi akimuoa na kufunga ndoa. “Najua mchumba wangu ananipenda sana na nipo nnaye zaidi ya miaka mitano, lakini sitaki kuzaa nje ya ndoa […]
Read More..





