-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Wema Sepetu na Gabo Zigamba Ndani ya KISOGO...

Post Image

Malkia wa filamu Bongo Wema Sepetu, ameweka bayana ujio wa filamu fupi mpya ya “Kisogo” aliyofanya pamoja na muigizaji mwenzake Gabo Zigamba, itakayo weza kupatikana kwa njia ya mtandao. Wema amebainisha hayo kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram kwa kuweka kionjo cha filamu hiyo pamoja na ujumbe huu. “Asikwambie Mtu Kuigiza Raha bwaaana… Sema ndo […]

Read More..

Wivu Utaniua – Shamsa

Post Image

Muigizaji wa filamu bongo Shamsa Ford amefunguka na kusema kwamba hataweza kukubali Mume wake kuongeza mke wa pili kama hataweza kumpa sababu maalumu kwa kuwa anaamini anamtosheleza mume wake kwa kila kitu. Shamsa amefunguka hayo kwenye FNL na kusema kuwa wivu alionao juu ya mume wake hafikirii kama atakubali kirahisi kuongezewa mke mwenza huku akiwa […]

Read More..

Wema: Ustaa ni Mateso, Niacheni

Post Image

“NAHITAJI kupumzika sasa, nimechoka kuhusishwa na mambo yasiyo na mashiko. Kwakweli nimechoshwa na ninaumizwa sana na hii hali,” ndivyo anavyosema msanii wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu. Wema ambaye ni Miss Tanzania mwaka 2006, amezua mjadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya clip inayosikika sauti inayodaiwa ni yake akizungumza kimahaba na mtu anayedaiwa kuwa […]

Read More..

Mlela Anavyozidi Kuingiza Mkwanja Nje ya Bo...

Post Image

BAADA ya mwaka jana kula shavu la ku­cheza tamthiliya nchini Kenya kwa mwaka mmoja ambalo limeisha mwezi huu, staa wa fil­amu Bongo, Yusuf Mlela amejikuta akichekelea baada ya kupata kazi ny­ingine tena. Akipiga stori na Risasi Jumamosi, Mlela alisema ana furaha kubwa kupata kazi nyingine inayokwenda kwa jina la Nyota ambayo ni ya miezi saba […]

Read More..

Jina Lamtesa Aunty Ezekiel

Post Image

STAA wa filamu za Bongo, Aunty Ezekiel, ameweka wazi kwamba kipindi cha mfungo wa Ramadhan kinapofika kila mwaka hujikuta akiona aibu kula hadharani, kutokana na jina lake la Rahma alilolitumia kipindi alipobadili dini. Aunty aliwahi kubadili dini wakati alipoolewa na Sunday Demonte, anayetumikia kifungo cha miaka kumi jela huko Abu Dhabi. “Mimi ni Mkristo, ila […]

Read More..

Mapenzi Kando, Nafanya Kazi – Jacquel...

Post Image

Diva wa Bongo Movie Jacqueline Wolper amesema kuwa haoni haja ya kuwa na mahusiano kwa wakati huu, japo kuwa wanaume wengi wenye pesa wamekuwa wakimsumbua kumtaka kimapenzi, na kwamba anaamini ni wasumbufu tu na hawana mapenzi ya kweli. Wolper  amefunguka hayo karibuni na kusema kwama  kutokana na upendo wa kweli anaojitahidi kumuonyesha mwanaume anapokuwanaye kwenye […]

Read More..

VIDEO: Simgandi Mume Wangu – Riyama

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Riyama Ally amekanusha zile tetesi za yeye kumganda mume wake kwa wivu mpaka katika kazi zake anazozifanya za kimuziki na kudai yeye aliombwa kufanya hivyo.     Riyama amebainisha hayo baada ya watu kumuona katika video ya muziki ya msanii wa bongo fleva Leo Mysterio ambaye ndiyo mume wake huku […]

Read More..

Shilole: Watoto Wangu Hawataiga Maisha Yang...

Post Image

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amesema kwamba watoto wake hawataiga maisha wala mavazi anayovaa kwenye shoo zake wala maisha ya sanaa anayoishi kwa kuwa wanatambua yupo kazini kwa ajili yao. Shilole aliliambia MTANZANIA kwamba, malezi anayowalea watoto wake ni tofauti na maisha anayoishi yeye na watoto hao wanatambua kwamba mama yao […]

Read More..

Chuchu Nanyonyesha na Bado Nafunga

Post Image

MSANII wa filamu Bongo Chuchu Hans amesema licha ya kumnyonyesha mtoto wake aitwaye Jaden, bado ataendelea kufunga Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, kwani kama ni wingi wa maziwa, atahakikisha anakula vizuri baada ya kufuturu. Akipiga stori na Za Motomoto News, alisema yeye ni Muislam anayezingatia maadili ya mfungo, hivyo kitendo cha kuwa na mtoto mdogo ambaye […]

Read More..

Gabo Awafunda Wanawake

Post Image

Muigizaji anayefanya vizuri sana kwenye ‘game’ ya bongo movie ametoa somo kwa wanawake wa kiislamu kuacha kubweteka na kuwa wachafu kwa kisingizio cha mwezi wa ramadhani kwani watawapatia mianya wandani wao kuchepuka. Gabo amefunguka hayo kwa kudai kuwa wanawake kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan wamekuwa wakijiachia kwa kusingizia kuwa wanafanya maandalizi ya futari […]

Read More..

Steve Nyerere ataka asihusishwe na ishu ya ...

Post Image

Mchekeshaji Steve Nyerere mwenye vipaji vya kuigiza sauti mbalimbali za viongozi, amewataka Watanzania kuacha kumuhusisha kwenye sakata la kutengeneza audio ambayo anasikika malkia wa filamu, Wema Sepetu akizungumza mambo ya faragha na Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA, Freeman Mbowe. Mwenyekiti huo wiki hii, aliikataa audio hiyo kwa kusema siyo yake huku akiwataka Wanzania kutulia wakati […]

Read More..

Johari Apata Pigo

Post Image

DAR ES SALAAM: Pole! Staa wa kitambo wa sinema za Kibongo, Blandina William Chagula ‘Johari’ amepata pigo ‘hevi’ baada ya kufiwa na shangazi yake aliyemlea tangu akiwa mtoto, kumsomesha na kumfundisha maisha hivyo kuondoka kwake kumemuachia maumivu na pigo kubwa. Johari, akiwa nyumbani kwao mkoani Shinyanga kuhudhuria msiba huo aliliambia Wikienda kwa njia ya simu […]

Read More..

Wema Sepetu: Nisameheni Nipo Kwenye Ibada

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Wema Sepetu, amewaomba radhi watu wote aliowahi kuwakosea na amesema amewasamehe wote waliomkosea. Wema alisema kwa sasa ameelekeza ibada yake mwezi huu mtukufu wa Ramadhani ili kusudio alilojiwekea kabla ya mfungo huu litimie. “Ninaamini kabisa ibada yangu ninayoifanya hadi usiku itapokelewa vyema na itafanikisha azma yangu na kuondoa makandokando na […]

Read More..

Kajala Aibuka na Haya Kuhusu Wema Sepetu

Post Image

TASNIA ya filamu nchini imepambwa na wasanii wa kike wenye urembo unaovutia macho na hakika kwenye orodha ya waingizaji wenye kipaji, uwezo na mvuto huwezi kumuacha, Kajala Masanja. Huyu ndiyo bosi wa kampuni ya Kajala Entertment,  ambayo imetengeneza filamu nyingi ikiwemo ile ya Sikitu ambayo chini ya mpicha Farid Uwezo iliweza kufanikiwa  kuliteka soko hilo […]

Read More..

Shamsa Ford Atamani ‘Lifestyle’...

Post Image

Malkia wa filamu Bongo, Shamsa Ford ameweka wazi kumuonea wivu mahusiano ya muigizaji mwenzake, Jenipher Kyaka ‘Odama’ kwa kuyafanya kuwa na usiri mkubwa huku akipongeza na kusema ndivyo inavyopaswa mtoto wa kike kufanya kwenye mapenzi. Shamsa amefunguka hayo na kusema anapenda jinsi muigizaji huyo anavyoweza kuweka mahusiano yake ya mapenzi kuwa faragha yake peke yake […]

Read More..

Siri ya Jokate Kutusua Forbes

Post Image

JARIDA la Forbes Africa lililojipatia umaarufu kwa kutoa orodha ya watu wenye mafanikio kutoka kwenye sekta mbalimbali barani Afrika mapema wiki hii lilitoa orodha ya vijana wenye umri chini ya miaka 30 ambao wamepata mafanikio katika sekta mbalimbali mwaka 2017 huku Tanzania ikiwa imeingiza vijana wanne ambao ni Harun Elias, Godfrey Magila, Upendo Shuma na […]

Read More..

Kizazi cha Kina Gabo, Rammy Gallis Kimefeli...

Post Image

Na RAMADHANI MASENGA BAADA ya Steven Charles Kanumba kufariki, kila mpeda filamu alijua ilikuwa ni fursa ya Ray kulifanya soko namna anavyopenda. Wakati wa uhai wa Kanumba, mshindani wake wa karibu alikuwa Ray. Kwanini sasa watu wasingeamini kuwa baada ya mmoja kuondoka aliyebaki ndiye angekuwa mfalme asiyepingika? Ila bahati mbaya sana haikuwa hivyo. Ray kalala. Aliyeshika […]

Read More..

Nilinusurika Kifo Mara Mbili-Kajala Masanja

Post Image

STAA wa filamu za Bongo, Kajala Masanja, amesema aliwahi kunusurika kifo kutokana na kupata mshtuko mara mbili mara, baada ya kutoka selo alikokuwa akituhumiwa katika kesi ya kuuza nyumba kwa wizi. Kajala alisema labda leo asingekuwa hai kama angeendelea kufuatilia matusi na lawama za mashabiki wake alizozikuta mitandaoni baada ya kutoka kwenye kesi hiyo. “Sikuwa […]

Read More..