-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

VIDEO: Nlichoigiza Ndani ya Filamu ya Kiume...

Post Image

Msanii wa vichekesho Idris Sultan amefunguka kwa kudai kuwa uhusika aliouvaa ndani ya filamu ya ‘Kiumeni’ ya Ernest Napoleon ni vitu ambavyo viliwahi kumtokea katika maisha yake. Filamu hiyo ambayo imewakutanisha mastaa mbalimbali wa filamu itaonyeshwa kwa mara ya kwanza Jumatano hii Century Cinemax, Mlimani City jijini Dar es salaam. Akiongea na waandishi wa habari […]

Read More..

Huko Kwenye filamu za Kibongo Hakukaliki

Post Image

FILAMU za Kibongo kwa sasa zimedorora sana. Takriban miaka miwili hali ya soko la filamu hizo imekuwa ikisuasua, lakini kwa 2017 limedorora kwa kiwango kikubwa kiasi kwamba hata wasanii wake wanaishi kwa kubangaiza. Kipato kupitia tasnia hiyo kimekuwa muhali, kiasi cha kuleta mashaka makubwa kwa baadhi ya wasanii wakiamua kubadilisha upepo ili kupisha jinamizi lililopo […]

Read More..

Bond Afungukia Kukamatwa Kwake

Post Image

Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Bond Bin Suleiman, amefungukia kukamatwa kwake kwenye ishu ya ujambazi na kudai kuwa aliponzwa na rafi ki yake aliyekuwa hafahamu anajishughulisha na kazi gani. Akizungumza na Wikienda, Bond alisema kuwa, yeye ni msanii na anakutana na watu wengi kama ilivyo kwa wasanii na kilichomkuta kinaweza kumkuta msanii yeyote kwani hukutana […]

Read More..

Mike Ezuruonye, Davina… One, Two… Tunaj...

Post Image

UTAMU kolea! Soko la filamu nchini linaendeleza juhudi za kujitanua kimataifa baada ya mwigizaji kutoka Nigeria, Mike Ezuruonye kutua nchini kwa ajili ya kucheza sinema na wasanii wa Bongo Muvi. Ujio wake ni mwaliko kutoka kwa staa wa filamu Bongo, Halima Yahaya a.k.a Davina ambaye alichipushwa na Kundi la Sanaa la Kaole la jijini Dar […]

Read More..

VIDEO: Wastara Aibukia Kwenye Bongo Fleva

Post Image

Msanii nyota wa filamu Tanzania Wastara ameanza kufanya muziki na tayari ameanza kuandaa albam yake. eNewz ya EATV imemshuhudia msanii huyo wa bongo movie akiwa anafanya video yake ya kwanza aliyowaimbia wanawake na kusema kuwa tayari ameshakamilisha albam yake ambayo ndani ya mwezi huu atakuwa ame’shoot’ video 3 kwa mpigo, na albam itakamilika mwezi Juni mwaka huu. […]

Read More..

Shilole Afunguka Kuhusu Ujauzito

Post Image

Msanii filamu na muziki wa bongo fleva, Shilole amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye hana ujauzito wowote bali ameridhika na maisha jambo ambalo limefanya aongezeke mwili na kunenepa licha ya watu kuwa na hisia kuwa huenda ana ujauzito. Shilole amesema hayo alipokuwa akihojiwa kwenye kipindi cha 5SELEKT kinachorushwa kila siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia […]

Read More..

Irene Uwoya: Mwanamke Anastahili Heshima

Post Image

MSANII wa filamu nchini, Irene Uwoya, amesema mwanamke anastahili heshima ya hali ya juu kwani amekuwa ni nguzo ya familia na mafanikio katika jamii inayomzunguka. Akizungumza na MTANZANIA jana, alisema katika kila familia iliyoweza kupata mafanikio, lazima mwanamke atakuwa amehusika. Alisema kwenye maisha yake amekuwa akifanya kazi kwa nguvu zote bila ya kujali kuwa yeye […]

Read More..

DUMA: Ninayo Siri ya Kuikomboa Bongo Muvi

Post Image

MSANII wa filamu anayepanda kwa kasi Bongo, Daud Michael ‘Duma,’ amesema anaifahamu siri inayowafelisha wasanii wengi Bongo siku hadi siku kiasi kwamba kwa sasa tasnia ya filamu inaonekana kupoteza mvuto. Akipiga stori na Uwazi Showbiz , Duma ambaye muda mwingi anapenda kuutumia kufanya mazoezi ya kazi zake za filamu, alifunguka kuwa kinachowafelisha wasanii wengi wa […]

Read More..

Wema Afanya Jambo,Siku ya Wanawake Duniani

Post Image

Katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu ameshiriki kwa kupanda miti katika vyanzo vya maji vya Mbogo na Nukutu katika milima ya Uluguru, Manispaa ya Morogoro. Wema aliyeungana na Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Morogoro kupitia CHADEMA, Devotha Minja, Diwani wa kata hiyo pamoja na wenyeviti wa serikali za mitaa, […]

Read More..

VIDEO: Faiza Ally Asimulia Mkasa Uliopeleke...

Post Image

Muigizaji wa Bongo Movie, Faiza Ally ukipenda muite mama Sasha,kupitia ukurasa wake kwenyemtandao wa instagram ameweka video hii akisimulia mkasa uliosababisha kulala lupango kwa siku moja. Msikiize hapa  

Read More..

Rose Ndauka awa mtangazaji mpya wa East Afr...

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Rose Ndauka amepata shavu jipya la kutangaza East Africa Radio. Kupitia mtandao wake wa Instagram, muigizaji huyo amethibitisha hilo kwa kuandika ujumbe unaosomeka, “Nafurahi kuwa mmoja wa team hii mpya ya #Eastafricaradio.Ni planetbongo mpya 2017.” Awali Ndauka alikuwa akitangaza Times FM kabla ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwaka jana. Bongo5

Read More..

Mboto: Ningetembea na Aunt Ningefurahi

Post Image

Mwigizaji wa Vichekesho Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ ameibuka na kufunguka kuwa iwapo angetembea na Aunt Ezekil angefurahi na angeweka wazi kwa sababu yeye ni rijali.    Mboto alisema hayo baada ya kuibuka maneno mtandaoni kuwa, Aunt aliwahi kuwa na ujauzito wake na akautoa, ishu ambayo Mboto aliikana vikali. Mboto aliliambia Wikienda kuwa, yeye na Aunt […]

Read More..

VIDEO:Mose Hakukosea kwa Harmorapa – Aunty

Post Image

Muigizaji Aunty Ezekiel amemtetea mpenzi wake (Mose Iyobo) kwa kumfananisha na nyani msanii chipukizi anayefananishwa na mmoja wa wasanii kutoka WCB  (Harmo Rappa) kwa kusema ni sawa kabisa na Mose hakufanya makosa.   Hivi karibuni akiwa kwenye Kipindi cha KIKAANGONI cha Facebook EATV Aunty amesema kwamba watu walimnukuu vibaya Mose na kumhukumu moja kwa moja […]

Read More..

Ray Ashindwa Kuishi na Chuchu

Post Image

Pamoja na kumzalia mtoto wa kiume aitwaye Jaden, staa wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ anadaiwa kushindwa kuishi na mwandani wake, Chuchu Hans ambaye naye ni mkali wa Bongo Muvi, kisa kikielezwa kuwa ni mama wa jamaa huyo ambaye hataki mwanaye aishi mbali naye.   Habari za kuaminika zilieleza kuwa, Chuchu amekuwa akitangaza kwamba, […]

Read More..

Jacqueline Wolper Akerwa na Harmorapa

Post Image

STAA wa fi lamu za Kibongo, Jacqueline Wolper ameeleza  kukerwa na mwanamuziki chipukizi, Athuman Omary ‘Harmorapa’ aliyesema amewahi kutoka naye kimapenzi jambo ambalo siyo kweli. Akichonga na Mikito Nusunusu Wolper alisema mwanamuziki huyo ambaye ameimba kwenye wimbo wake wa Kiboko ya Mabishoo kuwa ameshatoka naye kimapenzi amemkosea heshima  na hata alivyousikia wimbo huo umemshangaza kwa […]

Read More..

Adui wa Wema Sepetu ni Yeye Mwenyewe

Post Image

WEMA Sepetu na mama yake wameamua kuhama CCM na kuhamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Hii ni haki yao ya kikatiba. Ila ajabu katika uhamaji huu ni kauli na matamshi yao. Mama yake Wema pamoja na mambo mengine ameonekana kuumizwa na kitendo cha mwanaye kukamatwa na kuwekwa  rumande kwa tuhuma za kutumia mihadarati. Katika […]

Read More..

Rose Ndauka Kutoa Deal kwa Wasanii wa Filam...

Post Image

Kampuni ya Ndauka Advert ya malkia wa filamu Rose Ndauka ikishirikiana na African Swahili TV Machi 9,10 itafanya usahili katika ukumbi wa Kijiji cha Makumbusho kwajili ya kuwapata wasanii ambao watashiriki kwenye tamthilia mpya itwaayo ‘How Cheat?’. Muigizaji huyo amewataka wasanii wakubwa kwa wadogo kuchangamkia fursa hiyo ili kujipatia ajira pamoja na kukuza vipaji vyao. […]

Read More..

Wema Sepetu Akutana na Lema, Afunguka Manen...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ambaye hivi sasa amehamia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ametimiza hadi yake kwenda kuonana na Mbunge wa Arusha mjini Mhe. Godbless Lema ambaye amepata dhamani siku ya Ijumaa na kutoka gerezani. Wema Sepetu juzi alisema atakwenda Arusha kuonana na Mbunge huyo ambaye amekaa ndani kwa zaidi ya miezi […]

Read More..