Shamsa: Nilijua Matatizo yatamkuta mume wan...
SIKU chache baada ya mumewe, Chid Mapenzi kupata msala wa madawa ya kulevya na kuswekwa Kituo Kikuu cha Polisi (Sentro), Muigizaji Shamsa Ford amesema kamwe haiwezi kutokea akamuacha mumewe kwani tangu awali, alijua siku moja mumewe anaweza kupata matatizo kama hayo. Muigizaji huyo alisema tayari mitandaoni kumeshaanza kuenea uvumi kuwa huenda akamuacha mumewe kutokana na […]
Read More..





