-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Baba Haji Afungukia Swala la Rushwa ya Ngon...

Post Image

Msanii wa filamu nchini, Haji Adam a.k.a Baba Haji amekiri rushwa ya ngono kukithiri katika tasnia ya filamu nchini huku akiweka wazi kuwa kwa upande wake hajawahi kuomba wala kukubali rushwa hiyo kwa hofu ya maradhi. Msanii wa filamu nchini, Haji Adam a.k.a Baba Haji amekiri rushwa ya ngono kukithiri katika tasnia ya filamu nchini […]

Read More..

Picha: Maselle “Chapombe” Afunga Ndoa

Post Image

Msanii wa siki nyingi wa vichekesho aliyejipatia umaarufu katika kundi la vituko show kwa style yake ya kuigiza kama mlevi, Chrispine Lyogello “Masele” ameaga ukapela baada ya kufunga pingu za maisha na mchumba wake wa siku nyingi Specioza Malick katika kanisa Katoliki, Bikira Maria Consolata lililopo Mbezi Makabe jijini Dar es salaam. Hizi ni baadhi […]

Read More..

Flora Mvungi Afa, Aoza kwa Penzi la Waziri!

Post Image

DAR ES SALAAM: HUKU kukiwa na taarifa kwamba ndoa yake na msanii wa Bongo Fleva, Hamis Ramadhan Baba ‘H-Baba’ imeparaganyika, mrembo wa Bongo Movies, Flora Mvungi amedaiwa kunasa kwenye penzi la mmoja wa mawaziri wa serikali ya awamu ya tano. Chanzo kilicho karibu na msanii huyo kimepenyeza habari kuwa, mrembo huyo kwa sasa yupo chini […]

Read More..

Pichaz: Jennifer na Patrick wa Kanumba Wali...

Post Image

Vijana hao wawili walifanya vizuri ndani ya filamu ya Uncle JJ pamoja na This Is It wakiwa na marehemu Steven Kanumba. Jennifer ambaye mwaka 2014 alionekana kwenye filamu ya Zena na Betina ya Salma Jabu aka Nisha, amehitimu kidato cha nne mwaka huu. Kwa upande wa Patrick 2016 alihojiwa na mtandao mmoja wa habari nakudai […]

Read More..

Pichaz: Dua ya Sajuki Ilifanyika Songea

Post Image

Siku ya tarehe 31/12/2016, muigizaji  Wastara Juma alimfanyia dua marehemu mumwe wake, Sajuki huko mkoani Songea. Wastara alifunguka haya; “Naanza kwa kumshukuru mungu wangu anaenipa pumzi ya bule mpaka mda huu Sina budi kusema haya nitakayoyasema kwa ajili mwaka mpya unaonza kesho. Ni miaka 5 na miezi 6 leo imetimia toka furaha yangu ilipoingia dosari, […]

Read More..

Aunty Ezekiel Katuachia Funzo Juu ya Mapenz...

Post Image

Moja kati ya matatizo ya watanzania, ni kushindwa kusimamia yale tunayoayaamini. Linapokuja suala la mapenzi wengi hujikuta kwenye wakati mgumu hasa ikiwa yule anayempenda anaonekana si wa maana mbele za watu kwa hadhi,kipato na muonekano. Pengine mwaka 2016 mwanadada Aunty Ezekiel alituachia funzo,ukipenda usiangalie wengine wanaonaje fuata moyo wako na wasipooelewa wengine wataelewa mwisho wa […]

Read More..

Wolper Ampiga Chini Harmonize Kupitia Insta...

Post Image

Staa wa Bongo Movie,Jacqueline Wolper amefunguka rasmi kumbwaga Harmonize kupitia  mtandao wa Instagram. Hata hivyo posthiyo haikuweza kukaa kwa muda mrefu – imefutwa, japo wapo waliowahi kuinasa mapema. Kwenye post hiyo iliyokuwa na picha ya Harmonize pamoja na emoji za alama ya kopa iliyopasuka, Wolper ameandika: Nina akili timamu me syo mtoto mdogo, endelea na […]

Read More..

Mimi Mpinzani Halisi Wa Gabo Katika ‘Game...

Post Image

MWIGIZAJI chipukizi anayetamba na filamu ya Ngoma ya Roho na tamthilia ya Buriani Angel Maige Alex Mgeta ‘Faita’ ametamba kuwa kwa sasa yeye anamini kuwa ndiye mpinzani wa kweli wa mwigizaji bora katika tasnia ya filamu Salim Ahmed ‘Gabo’ kwani ana uwezo mkubwa wa kuvaa uhusika na kubadilika kwa kila sinema. “Unajua uigizaji ni mbinu […]

Read More..

Niva Atoboa Ukweli wa ‘Bifu’ La...

Post Image

Msanii wa bongo movie Niva amesema madongo yote waliyokuwa wanatupiana na Nay wa Mitego kwa mwaka 2016 ilikuwa ni ‘bifu’ za kimuziki na mipango ya kibiashara kwa upande wa movie lakini hawana bifu lolote kati yao. Akiongea kupitia eNewz Niva amesema hawajawahi kugombana na wala hawana tatizo lolote na Nay kwa kuwa ni watu ambao wamekuwa sehemu […]

Read More..

Nahitaji Maombi Yenu Wadau – Ben Selengo

Post Image

Msanii wa filamu Ben Selengo baada ya kupata ajali ambaya siku ya sikukuu ya Christmas na kulazwa katika Muhimbili, ameruhusiwa na sasa hivi yupo nyumbani. Muingizaji huyo amedai licha ya kuwa ameruhusiwa kutoka hospital lakini bado afya yake haijakaa sawa na anahitaji maombi. “Bado nahitaji maombi yenu wadau,” aliandika Ben Instagram “nimetoka Muhimbili nipo home […]

Read More..

Kilichomuua Mke wa Director Lister Hiki Hap...

Post Image

Mke wa muongozaji wa Filam  Tanzania Gift John Lister aliyefariki wiki iliyopita akiwa anasumbuliwa na homa ya mapafu amezikwa Jumamosi hii katika makaburi ya Kinindoni. Akiongea kupitia eNewz  mume wa marehemu Director John Lister amesema marehemu ameacha watoto wawili na siku tatu zilizopita waligundua kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na homa ya mapafu na wakati anapatiwa matibabu ndipo umauti […]

Read More..

Tanzia: Bongo Movie Wampoteza Mwingine

Post Image

TASNIA ya filamu hapa Tanzania, Bongo Movie wamempoteza muigizaji mwenzao Kijakazi Pazi Shabani maarufu kwa jina la Zamzam aliyefariki dunia jana Jumapili, Januari 1, 2017 mkoani Kigoma. Chanzo cha habari hii kimeeleza kuwa mwili wa Zamzam unatarajiwa kusafirishwa leo kutoka Kigoma kwenda jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazishi ambapo msiba huo utakuwa maeneo […]

Read More..

Wema Sepetu Awashangaza Mashabiki Wake Inst...

Post Image

Nini tena kimemkuta malkia wa filamu nchini, Wema Sepetu? Ama labda ameamua kutoingia mwaka 2017 kwa kumbukumbu za mwaka 2016?. Ni kwa sababu mrembo huyo ameamua kufuta picha zote kwenye akaunti yake ya mtandao wa Instagram yenye followers milioni 2.5.

Read More..

Kawele: Wanawake Kubweteka ni Kununua Umasi...

Post Image

MKONGWE wa filamu Tanzania, Grace Mapunda ‘Mama Kawele’, amesema wanawake wanaobweteka ni sawa na kuununua umasikini. Akizungumza na MTANZANIA jana, alisema miaka kadhaa iliyopita na sasa hivi ni tofauti, mwanamke wa sasa anatakiwa asiangalie upande mmoja bali asimame kama nguzo katika familia na kuhakikisha anautokomeza umasikini wa kujitakia. “Wanawake wanaobweteka bila kujishughulisha na kuukubali umasikini […]

Read More..

Mashabiki Wananigombanisha na Gabo – Duma

Post Image

Hivi karibuni kumekuwepo na maneno ya chini kwa chini kuwa washindani wawili waliokuwa kwenye kipengele kimoja katika tuzo kubwa zilizoteka Afrika Mashariki za EATV Gabo na Duma kuingia kwenye bifu zito baada ya Gabo kuchukua tuzo zote mbili. Imekuwa kama desturi kila baada ya tuzo fulani kutolewa kuibuka maneno mbalimbali kutoka kwa washindani au mashabiki, […]

Read More..

Wivu wa Harmonize Wamfanya Wolper Kupokea S...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Jackline Wolper amekutana na kamera ya eNewz lakini katikati ya mahojiano alipokea simu ya mpenzi wake Harmonize kitendo ambacho kiliwaziba watu wengi midomo kutokana na wawili hao kudhaniwa kuwa hawakuwa wapenzi kweli. Pia amemzungumzia mpenzi wake huyo na kusema kuwa ana wivu sana ndiyo maana hajaona shida kupokea simu yake katikati ya interview ili […]

Read More..

Msimu Mpya wa Siri za Familia Umerejea Kwa ...

Post Image

ILE Tamthilia maarufu inayotamba kwa sasa ya Siri za Familia ambayo urushwa na kituo cha Televisheni cha East Africa Television (EATV) imekuja sehemu ya pili kwa msimu mpya huku ikitabiriwa kuteka zaidi wapenzi wa tamthilia Swahilihood baada ya kufanya vizuri katika msimu uliopita. Akiongea na FC mtunzi wa Siri za Familia Said Mkukila ameiambia FC […]

Read More..

Siwezi Tena ‘Ku-kiss’ – Aunty Ezekiel

Post Image

Star wa Bongo Movie nchini mwanadada Aunty Ezekiel, amerudi upya kwenye tasnia hiyo huku akiweka wazi baadhi ya mabadiliko aliyoyafanya katika maisha yake kuwa ni pamoja na kutoweza tena ‘ku-kiss’ kwenye movie atakazocheza. Aunty ambaye kwa sasa amerejea na movie mpya inayokwenda kwa jina la Chritmass Eve, amesema kilichomfanya afikie maamuzi hayo ni majukumu aliyonayo […]

Read More..