-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

DSTV Kuwapa Ulaji Waigizaji wa Bongo Movies

Post Image

KING’AMUZI cha Dstv kilicho chini ya Multchoice, kinatarajia kutoa kipaumbele kwa waigizaji Watanzania kutumia chaneli yake ya ‘Maisha Magic Bongo’ kutoa elimu ya lugha ya Kiswahili Afrika. Akizungumza na MTANZANIA jana, Barbara Kambogi alisema watakuwa wakitumia kazi za waigizaji wa Tanzania kufundisha lugha hiyo. Barbara alisema kuwa Ijumaa ijayo wanatarajia kufanya mazungumzo na waigizaji wa […]

Read More..

Rose Ndauka:Kuvunjika kwa Ndoa Sio Tatizo l...

Post Image

Malkia wa filamu Rose Ndauka amewataka watanzania kujua kuvunjika kwa ndoa sio tatizo la wasanii wa filamu pekee bali ni tatizo la jamii nzima. Mwigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwae, Naveen amesema kwa sasa yeye bado yupo yupo kuingia kwenye maisha ya ndoa. “Ndoa ni makubaliano ya watu wawili, mimi bado nipo […]

Read More..

Dr Cheni Aachana na Bongo Movie Kwasasa, Hi...

Post Image

Staa mkongwe wa Bongo Movie, Dr Cheni  amefunga kuwa kwasasa hata cheza tena filamu hadi pale serikali itakapo hakikisha kuwa filamu zao zinalindwa dhidi ya wizi wa kazi zao. Akiongea na Enews ya EATV, Dr Cheni alisema kuwa usalama wa kazi zao ndiyo tatizo kwenye tasnia ya bongo movie “ Siwezi kutoa tena filamu hadi […]

Read More..

Hamisa Mobetto Afungukia Bifu Lake na Zari

Post Image

Hamisa Mobetto amefunguka juu ya mahusiano yake na first lady wa Madale, Zari The Bosslady baada ya tetesi za kutoka na Diamond. Mrembo huyo amemuambia mtangazaji wa kipindi cha The Playlist cha Times FM, Omary Tambwe aka Lil Ommy kuwa hajawahi kuwa na urafiki na Zari na wala hawana uadui wowote. “Unajua huwezi kusema kuwa […]

Read More..

Duma wa Siri ya Mtungi Kuachia ‘Chun’ta...

Post Image

Msanii wa filamu Daudi Michael Tairo, anayefahamika zaidi kwa jina la Duma ndani ya tamthilia ya Siri ya Mtungi, amejipanga kuachia filamu yake mpya iitwayo ‘Chun’tama’. Mwigizaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa filamu hiyo itakuwa inazungumzia maisha halisi wa watanzania pamoja na masuala ya uchawi. “Baada ya kufanya vizuri katika filamu yangu ya ‘Mchongo Sio’ nikaona […]

Read More..

Mtanga Atoa Ombi Hili kwa Serikali

Post Image

Msanii wa vichekesho nchini ambaye kwa sasa anafanya kazi na kundi la Ze Comedy la EATV maarufu kama Mtanga ameiomba serikali isimamie mauzo ya kazi za wasanii kwa kuwa wasambazaji binafsi wanawaonea wasanii jambo ambalo linadidimiza tasnia ya sanaa. Mtanga ameyasema hayo katika kipindi cha  SUPAMIX katika programu maalumu inayokwenda kwa jina la ‘KAMATIA KITAA’ […]

Read More..

Shamsa Ford: Siwezi Kuficha Hisia Zangu

Post Image

Msanii wa filamu na mama wa mtoto mmoja Shamsa Ford amesema yeye ni mwanamke ambaye hawazi kufisha hisia zake za mapenzi. Malkia huyo wa filamu ambaye alifunga ndoa miezi mitatu iliyopita na mfanyabishara wa maduka ya nguo Chidi Mapenzi, amesema amekuwa akijiachia katika mitandao ya kijamii kueleza hisia zake juu mume wake kutokana na kudai […]

Read More..

Nimeamua Kuwa Nuru Yao- Da Zitta

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa filamu Bongo Zitta Matembo ‘Da Zitta’ aamegeukia walemavu baada ya kutengeneza filamu ijulikanayo kama Nuru huku mhusika mkuu wa filamu hiyo akiwa mlemavu kabisa na inaelezea changamoto wanazokutana nazo jamii hasa wale wenye ulemavu wa viungo mbalimbali Da Zitta anasema kuwa imekuwa ni vigumu sana wasanii ambao wana ulemavu kupiwa nafasi […]

Read More..

Sijakimbia Jiji Nimeokoa Kipaji Changu- Luc...

Post Image

LUCKEY LUCKAMO mwigizaji wa kiume kutoka Bongo Movie amefunguka kwa kusema kuwa aliamua kurudi kwao Tanga baada ya kubaini kuwa ukihamia Dar es Salaam kama mwigizaji mzuri unapoteza uhalisia kwa sababu kuna aina moja ya uigizaji hivyo ushindani unapotea ghafla baada ya kugundua hilo kwa sababu yeye ana malengo makubwa aliamua kurudi zake sehemu ambayo […]

Read More..

Leo ni Birthday ya Aunty Ezekiel, Wema ,Zar...

Post Image

Leo Oktoba 27 ndiyo tarehe aliyozaliwa staa wa Bongo Movies Aunty Ezekiel aka Mama Cookie. Mastaa mbalimbali wa Bongo kupitia akaunti zao za Instagram wamemtakia heri katika siku yake ya leo kwa jumbe mbalimbali; “Okay…. i think imetosha na mapicha picha na hapo bado ninazo nyingine kama Mia… Tusisahau kwenye simu ya Tiake pia zipo… […]

Read More..

Wema Sepetu na Aunty Ezekiel Wapo Vizuri

Post Image

Tofauti na kile ambacho baadhi ya mashabiki wa mastaa hao kudhani kuwa Wema Sepetu na Aunt Ezekiel hawaelewani kwa sasa, Wema Sepetu  ameonyesha wazi kuwa yeye na Aunt wapo vizuri baada ya kubandika picha  hiyo hapo juu ya Aunt Ezekiel akiwa na mtoto wake Cookie kwenye ukurasa wake wa instagram ma kuandika. “My Picture of the […]

Read More..

Kingwendu Aomba ‘Promo’ Kama ya...

Post Image

Msanii wa vichekesho nchini Kingwendu amesema mambo ya siasa yalimsababisha kupunguza kazi zake za sanaa kwa kuwa alikuwa katika kujipigia kampeni za kugombea ubunge. Pia Kingwendu amesema kama angefanikiwa kupata ubunge angeweka mambo ya sanaa pembeni kidogo kwa kuwa siasa ina mambo mengi na inabidi ujipe muda wa kutosha ili kuweza kukamilisha majukumu yako vizuri. […]

Read More..

Nimejipanga kwa Ubunge Kigoma- Aunt Fifi

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu Swahilihood Tumaini Bigilimana ‘Fifi’ amesema kwa sasa anajipanga kwa aajili ya kugombea Ubunge huko Kigoma ili aweze kuwasaidia wasanii wa filamu baada ya kilio chao cha muda mrefu kushindwa kutatuliwa kutoka na maharamia wa kazi zao hivyo anaamini kuwa endapo ataingia Bungeni kazi hyo itakuwa rahisi sana kutetea maslahi ya wasanii wa […]

Read More..

Bond: Watoto Wa Wastara Hawakupenda Aolewe

Post Image

SIKU chache baada ya kuripotiwa kupika na kupakua na staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, Bond Suleiman ameibuka na kusema watoto wa mke huyo wa zamani wa Mbunge wa Donge, Sadifa Juma, hawakupenda mama yao aolewe na mtu mwingine zaidi yake. Akipiga stori na Za Motomoto News, Bond alisema alipokuwa kwenye ndoa, watoto hao […]

Read More..

Tanzia: Pigo Tena Bongo Movie, Muigizaji Ha...

Post Image

Muigizaji wa tamsthilia hapa Bongo, Haji Jumbe, ambaye amekuwa akiigiza kama Mr. Benson katika tamthilia ya Siri za Familia inayorushwa na EATV amefariki dunia jana Jumatatu jioni, Oktoba 24, katika Hospitali ya Kinondoni kwa Dr. Mvungi. Imearifiwa kuwa, siku chache kabla ya kifo chache, zilizopita alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo. Mazishi yanatarajia kufanyika leo […]

Read More..

Nisha Adaiwa Kutapeli, Ang’aka!

Post Image

Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ anadaiwa kutapeli watu kwa dawa zake za kupunguza tumbo ambapo watu wamedai kuwa dawa hizo hazipunguzi chochote kama anavyozisifia. Kwa nyakati tofauti, watu wamemtolea Nisha malalamiko wakidai kuwa dawa anazozitangaza hazifanyi lolote bali anazitumia kuwachukulia watu fedha zao. “Kiukweli mimi nimetumia dawa zake wala sijaona zikifanya lolote. […]

Read More..

Rose Ndauka Aswekwa Lupango

Post Image

Staa wa Bongo Movie Rose Donatus Ndauka anadaiwa kuswekwa lupango kwa takriban saa nne kabla ya kuchomolewa kwa dhamana. Sosi wetu ambaye ni mtu wa karibu wa Rose alinyetisha kuwa, staa huyo alikuwa kwenye misele na gari lake maeneo ya Kawe jijini Dar ambapo alitanua barabarani hivyo akakamatwa kisha kukaibuka tafrani iliyosababisha kufikishwa kwenye Kituo […]

Read More..

‘Ngoma Ngumu’ Kuonyeshwa Leo Usiku Ndan...

Post Image

Usipitwe na filamu hii leo saa 3 usiku kupitia Sibuka Maisha channel 111 kwenye startimes utakutana na Irene Uwoya,Dude,Ester Kiama,Haji Adamu na wengine wengi. Pia Jumatatu itapatikana nchi nzima kwenye maduka ya steps entertainment

Read More..