-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Picha: Harmonize Amtambulisha Wolper Ukweni

Post Image

Wikiiliyopita staa anaechipukia kwenye bongo fleva Harmonize alimpeleka mpenzi wake Jacqueline Wolper kwao Mtwara alikoenda kutumbuiza kwa mara ya kwanza tangu aukwae ustaa kupitia label ya WCB. “Time Ya Kumsaidia mama Harmo Kuanda Chakula Cha Usiku Mtwara Life @wolperstylish,” aliandika Harmonize kwenye picha inayomuonesha Wolper akichuma matembele shambani. Naye Wolper alipost picha akiwa na mama […]

Read More..

Muigizaji Da Zitta Anusurika Kifo Katika Aj...

Post Image

AKIWA katika harakati za kukamilisha filamu yake mpya ya ‘Nuru’ muigizaji, Zitta Matembo maarufu kwa jina la Da Zitta amenusurika kifo katika ajali ya gari akiwa anaelekea nchini Kenya kwa maandalizi ya filamu hiyo. Muigizaji huyo aliyetamba katika filamu ya ‘Gundu’ aliyomshirikisha Anty Ezekiel mwanzoni mwaka huu alifiwa na baba yake mzazi, Fidelis Hokororo Matembo […]

Read More..

Man Fizo Mkali wa Filamu ya ‘Nimekosea W...

Post Image

Nimekosea Wapi  kutoka Steps Entertainment ni  moja kati ya filamu zenye ubora wa juu zaidi kati ya filamu kadhaa zilizoingia sokoni mwaka huu. Mbali ya kuwepo na mastaa kadhaa kama Gabo Zigamba kwenye filamu hiyo yupo Salum Saleh ‘ Man Fizo’ ndiyo mtengenezaji na amecheza kwenye filamu hiyo. Wadau wengi waliotazama filamu hiyo wamemtabilia kufanya […]

Read More..

Wema Awafungukia Wanaosema Anatembea Bajaj ...

Post Image

STAA mwenye nyota ya kipekee Bongo, Wema Sepetu amewafungukia wanaomsema vibaya kuwa siku hizi kafulia mpaka anatembelea usafiri aina ya Bajaj na kudai kuwa hayo ni maisha yake binafsi ambayo hayamhusu mtu yeyote. Akizungumza na gazeti hili juzikati, Wema alisema kuwa anashangazwa sana na watu ambao wanafuatilia maisha yake kila kona kwa kuwa yeye ni […]

Read More..

Wolper: Lazima Nimzalie Harmonize

Post Image

MTOTO wa Kichaga anayetikisa anga la Bongo Muvi, Jacqueline Wolper amenyanyua kinywa chake na kusema; “lazima nimzalie Harmonize (Rajabu Abdulhan, staa wa Bongo Fleva), kwa kuwa nimeridhika naye.” Kauli hiyo imekuja zikiwa ni siku chache tangu mwigizaji huyo aamue kuanika uhusiano wake hadharani kupitia mitandao ya kijamii ambapo watu wengi wamekuwa wakimsema vibaya kwamba hayupo […]

Read More..

Picha: Wasanii wa Filamu Wafanya Misa Kumuk...

Post Image

Wasanii wa filimu nchini wakiongozwa na Odama, Ijumaa hii wamefanya misa ya kumbukumbu ya kifo cha msanii wa filamu Rachel Haule. Wasanii mbalimbali kama Ray Kigogo, Odama, Esha Buheti Steve Nyerere, Sabrina Rupia, Maya Mrisho, Senator Msungu Richie Mtambalike, JohariChagula pamoja na Lamata walihudhuia misa hiyo ambayo ilitawala majonzi.  

Read More..

Baba Haji Akomalia Sinema za Kidini

Post Image

MUIGIZAJI mkongwe Bongo, Haji Adam ‘Baba Haji’, amesema baada ya kucheza kwa mafanikio filamu ya Ndoto Bayana, ambayo ina maudhui ya dini ya Kikristo, sasa anakusudia kufanya kazi nyingine kama hiyo, lakini kwa Kiislamu. “Nimejikuta nikipata wazo kuwa naweza nikafanya kazi hizi za kidini na bado nikawa nipo sokoni kama kawaida, kitu kingine kilichonivutia filamu […]

Read More..

Lulu Awapa Makavu Mastaa Wapenda Kiki

Post Image

STAA wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa mastaa wengi wanapenda kiki kuliko kusaka fedha kitu ambacho yeye hakifanyi. Akizungumza na gazeti hili, pasipo kuwataja majina, Lulu alisema anashangazwa na tabia ya mastaa wengi kuwa ‘bize’ kutafuta kiki kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii badala ya kukutana pamoja na kufikiria ni kitu gani wanaweza […]

Read More..

Saguda: Sijaona Mwanamke wa Kumfananisha na...

Post Image

Ni mwaka wa pili sasa tangu mwigizaji wa filamu za Kibongo, Recho Haule ‘Recho’ kufariki dunia, mume wake Saguda amesema mpaka sasa hajaona mwanamke wa kufanana naye. ‘’Kiukweli ndani ya miaka hii miwili sijaona mwanamke wa kumfananisha tabia na Recho alikuwa na tabia za kipekee sana  na upendo wa dhati’’ Alisema Saguda. ‘’Kitu ambacho ni […]

Read More..

Wema Sepetu Amuombea Kura Diamond kwenye Tu...

Post Image

Mbali na tofauti zao na Team zao mtandano, staa wa bongo miovie, Wema Sepetu amewaomba mashabiki wake wampigie kura mpenzi wake wa zamani, Diamond Platnumz ambaye anawania tuzo za BET kwenye kipengere cha Best International Act: Africa. Wema aliandika haya kwenye ukurasa wakewa Instagram; “Uzalendo ndo unaotakiwa… Tanzania Kwanza Vingine Baadae… Ama nene…? Vote Vote […]

Read More..

Bi Hindu Atoboa Sababu ya Bongo Movie Kupor...

Post Image

Muigizaji mkongwe wa filamu za kibongo Bi Hindu amefunguka na kusema kuwa tasnia hiyo ya filamu nchini inazidi kuporomoka na kushuka kwa kasi sababu watu wamesahau misingi ya kazi hiyo na sasa wanafanya utani huku wengine wakiendekeza mapenzi na kuacha vipaji. Bi Hindu alifunguka hayo kwenye kipindi cha eNEWS na kusema kuwa baadhi ya waongozaji wa […]

Read More..

Wema Atumia Zaidi ya Milioni Moja Kutengene...

Post Image

Staa wa bongo Fleva, Wema Isaack Sepetu, ameweka wazi kwamba hutumia shilingi milioni 1.2 kwa ajili ya kutengeneza nywele zake kwa wiki moja. Pia hutumia Sh 30,000 ya chakula kwa siku na kama atanunua na chakula cha mbwa wake huwa anatumia Sh 50,000 kwa siku. Hata hivyo, Wema aliliambia MTANZANIA kwamba si kila wakati hutumia […]

Read More..

Iyobo Ametusitiri kwa Aunt-Steve Nyerere

Post Image

Staa wa filamu na vichekesho Bongo, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’, amewavunja mbavu watu baada ya kusema kuwa anamshukuru sana Moses Iyobo kwa kukubali kuzaa na Aunt Ezekiel, kwani kwa kufanya hivyo amewasitiri wasanii wote wa Bongo Muvi. Akizungumza wakati alipoalikwa kwenye bethidei ya mtoto wa mastaa hao iliyofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Serena jijini […]

Read More..

Mau Anatembelea Nyota za Wasanii

Post Image

Msanii wa komedi kutoka Bongo Maulid Ali a.k.a Maufundi anatumia mitandao ya kijamii kujiingizia pesa kwa kufanya video kava Akizungumza na Enewz Mau alisema kuwa kwa sasa amepata staili mpya ya kumuingizia pesa ambayo mara ya kwanza alikuwa anafanya kama burudani lakini amegundua kuwa kupitia hivyo pia anaweza kuvuta mkwanja. Mpaka sasa Mau ameshafanya video […]

Read More..

Davina Alia Filamu za Mapenzi Kuua Soko

Post Image

Muigiza wa long time Bongo, Halima Yahya ‘Davina’ ameibuka na kueleza kwamba filamu za mapenzi wanazocheza wasanii wengi zimeua soko ndiyo maana kwa sasa ni kama sanaa hiyo haipo. Akichonga na paparazi wetu hivi karibuni, Davina alisema kutokana na soko la filamu kuwa gumu wasanii wengi wameamua kugeukia biashara kwani wakikaa na kusubiria sanaa hiyo […]

Read More..

Koko Byanko Afunguka Kumkamata Wema Sepetu

Post Image

MWIGIZAJI wa Filamu Swahilihood anakuja juu katika uigizaji Koko Byanko ametamba kufanikiwa kuigiza na msanii nyota katika tasnia ya filamu Bongo Wema Sepetu ‘Madame Wema’ Koko amemshirikisha Wema katika sinema yake aliyoitengeneza hivi karibuni. “Nilipo posti picha nikiwa na Wema wengi walinituhumu kama natoka naye lakini ukweli sitoki naye bali zilikuwa ni picha tu za […]

Read More..

Aunt: Sasa Natafuta Mapacha

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa baada ya mtoto wake, Cookie kutimiza mwaka, sasa anafanya mpango kutafuta njia ya kupata watoto mapacha ili atulie. Akizungumza na Amani Aunt ambaye amezaa na dansa wa staa wa Bongo Fleva, Diamond, Moze Iyobo alisema kuwa, anamshukuru Mungu kumpa mtoto ambaye amemfungulia njia lakini kwa sasa anatamani […]

Read More..

Ipo Siku Nitaitwa Mama- Wema Sepetu

Post Image

Kupitia Account yake ya Instagram staa wa Bongo Movie, Wema Sepetu alipost picha akiwa na mama yake mzazi na kuweka maneno yalisomeka kuwa iko siku na mimi nitaitwa Mama. Jambo ambalo liliibua hisia za mashabiki zake na wengine kuanza kumfariji kuwa Mungu yupo na anasikia kilio chake na wengine wakiendelea kumtia moyo kuwa asijali kweli […]

Read More..