-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Utumbuaji Majipu Sasa Watua Kariakoo kwa We...

Post Image

UNAPOSEMA Serikali ya awamu ya tano ilichoahidi lazima kifanyike ni kweli kabisa hivi karibu Mh. Nape Moses Nnauye alisema kuwa atahakikisha kuwa wale wanaojipatia fedha kwa njia za ujanja ujanja mwisho wao umefika lazima washughulikiwe kulinda maslahi ya Wasanii wa Tanzania. Jana ilikuwa ni siku mbaya kwa wale wauuzaji wa filamu za nje baada ya […]

Read More..

Ndoa za Mastaa Ndoa Ndoano!

Post Image

MAPENZI matamu bhana, asikuambie mtu. Katika ulimwengu wa mastaa, hasa masuala ya mapenzi hutawaliwa na mikasa mingi. Hata hivyo, kuna wakati katika kuhakikisha wanawekana sawa kwenye masuala hayo ya mapenzi, mastaa hukubali kuwa wapole kwa wenzi wao ili mambo yaende sawa. Makala haya yanakuletea orodha ya mastaa wa Kibongo ambao katika harakati za kusaka ndoa […]

Read More..

Maya: Naitamani Sana Ndoa na Watoto Wawili...

Post Image

Kama kawa, kama dawa! Wiki hii tunaye mwanadada wa ‘long time’ kwenye tasnia ya filamu Bongo. Wengi wanamjua kwa jina la Maya lakini jina lake kamili ni Mayasa Mrisho. Paparazi wetu, Hamida Hassan alikutana naye kitaani na kumbana kwa maswali 10. Natumaini una hamu ya kujua kaulizwa maswali gani na yeye akayajibu vipi, kama jibu […]

Read More..

Kama Kweli ni Mkorogo…! Daktari: Ray Kupa...

Post Image

Lile sakata la nyota wa sinema Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ kudai kwamba, siku hizi amekuwa mweupe pee kwa sababu ya kunywa sana maji na kufanya mazoezi, limechukua sura mpya kufuatia daktari mmoja jijini Dar kusema mwongozo huo ni upotoshaji mkubwa, Amani linakupa zaidi. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi juzi, daktari wa kituo cha kutoa huduma za afya kilichopo Kimara jijini Dar, Godfrey Chale alisema binadamu kunywa maji kwa wingi, hata […]

Read More..

Lowassa Bado Una Nafasi Kubwa Kwangu -Shams...

Post Image

Msanii wa filamu nchini na aliyekuwa akitoka kimapenzi na msanii Nay wa Mitego amefunguka na kusema kuwa bado aliyekuwa mgombea wa urais nchini mwaka jana kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo yupo moyoni mwake. Kupitia Account yake ya Instgram Shamsa Ford alipost picha ya Mh Edward Lowassa na kusema ni kumbukumbu yake lakini siku […]

Read More..

Shamsa: Mkongo wa Wolper,Wema Amenitongoza

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford juzikati alimwaga ‘ubuyu’ hadharani kwa kusema kwamba, yule jamaa Mkongo ambaye amekuwa akidaiwa kutoka na Wema Sepetu, Jacqueline Wolper amemtongoza. Akizungumza na kona ya Bongo Movies Shamsa alisema, hivi karibuni alienda saluni na kukutana na ujumbe wa Mkongo wa Wema, Wolper ukimuhitaji kimapenzi jambo ambalo lilimuudhi sana. “Hii si […]

Read More..

TAFF Imeunganisha Tasnia ya Filamu

Post Image

SIKU za nyuma kulikuwa na malumbano makali kati ya shirikisho la filamu Tanzania (TAFF) na kundi la Bongo Movie Unity lilokuwa likiundwa na wasanii nyota katika tasnia ya filamu Swahilihood na kuleta sintofahamu . Lakini kutokana na juhudi za Mwakifwamba pamoja na makamu mwenyekiti wake Deosonga Njerekela wamefanikiwa kuwaunganisha na sasa ni kundi moja wanaongea […]

Read More..

Lulu: Mastaa Mtaishia Kuchambana Insta

Post Image

ZA uso laivu! Staa mwenye mvuto Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa mastaa wengi Bongo wataishia kuchambana kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram badala ya kutafuta elimu ili siku moja wapate nyadhifa serikalini. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Lulu alisema kwamba, amegundua kuwa elimu ndiyo kila kitu hivyo amewasihi mastaa wenzake waache kuchambana na […]

Read More..

Ray Baada ya Kukimbiza na Maji Sasa Anakimb...

Post Image

MUONGOZAJI,mtayarishaji na mwigizaji wa filamu  Vincent Kigosi ‘The Greatest’ Mzee wa Maji akiendelea kutikisa na unywaji wa maji sasa ameibuka na filamu yake kali na ya kusisimua ya Tajiri Mfupi ambayo ipo madukani na inatembea kama karanga kila mtu anataka kujua Mzee wa Maji kafanya balaa gani humo! anasema kuwa filamu ya Tajiri Mfupi ni […]

Read More..

Shamsa: Siwezi Kumhukumu Nay

Post Image

STAA wa Bongo Muvi, Shamsa Ford kwa mara ya kwanza ameibuka na kuiongelea Ngoma ya Shika Adabu Yako iliyoimbwa na Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kuwa kamwe hawezi kumhukumu Nay kwa maneno aliyoimba. Akigonga mbili-tatu na Showbiz, Shamsa aliyewahi kubamba na Filamu ya Chausiku alisema kuwa aliusikia wimbo huo uliowachana mastaa wengi wa Bongo Muvi […]

Read More..

Picha: Wasanii wa Fialamu ya Tajiri Mfupi W...

Post Image

Wasanii wa filamu nchini Mr Kupa na Chodo, walitembelea katika kituo cha watoto Yatima kilichopo Tabata, kwaajili ya kutoa msaada katika kituo cha HURUMA, kama sehemu ya shukrani kwa kuingia kwa filamu mpya ya Tajiri MFUPI sokoni siku ya leo.

Read More..

Nataka nifikishe watoto wanne – Flora Mvu...

Post Image

Msanii wa filamu Flora Mvungi ambaye pia ni mke wa mwanamuziki H.Baba, amejibu shutuma zinazoongelewa na watu katika mitandao ya kijamii kuwa anazaa haraka haraka mno ambayo ni hatari kwa afya yake. Akizungumza katika kipindi cha Hatua Tatu cha Times Fm, Flora amesema kila mtu ana maamuzi yake kuhusu maswala ya uzazi. “Nataka nifikishe watoto […]

Read More..

Kuvunja Watu Mbavu…Mzee Majuto ‘Katusua...

Post Image

Maarufu Bongo, Amri Athumani ‘King Majuto au Mzee Majuto’. Kila mtu na mtoko wake, mchekeshaji maarufu Bongo, Amri Athumani ‘King Majuto au Mzee Majuto’ anatengeneza mkwanja mrefu kwa kuwavunja mbavu watu. Leo ndiye ana husika katika makala yetu ya utajiri na utapata kujua ni vitu gani anavyomiliki kupitia sanaa yake hiyo. Toyota Noah Mzee Majuto: […]

Read More..

Hatimaye Rayuu Aolewa!

Post Image

Alice Bagenzi ‘Rayuu’ na mumewe Ahmedi Said. Stori: Mayasa Mariwata, Wikienda Dar es Salaam: Cherekochereko! Habari ikufikie kuwa mwigizaji wa sinema za Kibongo aliyejipatia umaarufu baada ya picha zake za utupu kuzagaa mitandaoni, Alice Bagenzi ‘Rayuu’, hatimaye ameolewa na mfanyabishara mwenye asili ya Kiarabu aitwaye Ahmedi Said. Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu […]

Read More..

Full Interview: Gabo Zigamba Akizungumzia F...

Post Image

Staa mkali wa Bongo Movies, Gabo Zigamba amefunguka mengi kusu filamu yake ya Kona Tatu andlifanya mahojiao na mtangazaji Bond wakipindi cha action &Cut. Mtazame hapo chini

Read More..

Brandy: N’tamkumbuka Kanumba Hadi Nakufa!

Post Image

Kwenye kolamu hii leo tunaye msanii Brandy Godwin anayebamba kwenye Tamthiliya ya Kivuli katika Kituo cha Star Swahili ambaye amebananishwa ipasavyo na Mwandishi Wetu, Mayasa Mariwata na kufunguka ipasavyo kutokana na mambo mbalimbali kuhusu kazi zake na jamii inayomzunguka. Ijumaa: Ni kitu gani kilichokusukuma kuingia kwenye sanaa ya uigizaji? Brandy: Kiukweli napenda kuigiza sana ni […]

Read More..

Filamu Zetu Zinapotushawishi ‘Tunywe Maji...

Post Image

NAWASALIMU wapendwa wasomaji wa gazeti hili, hasa katika kipande hiki ambacho kinatupa wasaa za kuzungumzia masuala kadha wa kadha katika nyanja ya filamu hapa nchini. Nimekuwa nikiandika mambo mengi katika eneo hili na kwa hakika baadhi ya wadau wamekuwa na mrejesho mzuri kuhusu mada ninazoziandika. Yapo mengi ambayo yanaendelea kwenye filamu zetu na nimekuwa nikiyaeleza […]

Read More..

Shamsa Danga Ampongeza Dkt. Magufuli

Post Image

MSANII wa filamu wa kike na mtangazaji wa televisheni Shamsa Danga amempongeza Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli baada ya kuangalia tasnia ya filamu na muziki kwa kuwaimiza mamlaka ya Mapato kukamata kazi ambazo hazina stempu za ushuru wa mapato hasa zile za kutoka nje. “Nampongeza mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli […]

Read More..