Utumbuaji Majipu Sasa Watua Kariakoo kwa We...
UNAPOSEMA Serikali ya awamu ya tano ilichoahidi lazima kifanyike ni kweli kabisa hivi karibu Mh. Nape Moses Nnauye alisema kuwa atahakikisha kuwa wale wanaojipatia fedha kwa njia za ujanja ujanja mwisho wao umefika lazima washughulikiwe kulinda maslahi ya Wasanii wa Tanzania. Jana ilikuwa ni siku mbaya kwa wale wauuzaji wa filamu za nje baada ya […]
Read More..





