-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Sijui Kama Wema Alishawahi Kuwa na Mimba â€...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Mirror, anayefanya kazi chini ya Wema Sepetu amesema hajui kama Wema alishawahi kuwa na mimba ila na yeye anasikia kwa watu na kwenye mitandao. Msanii huyo ambaye anatamba na wimbo wake mpya Naogopa ambao ameimba na Baraka Da Prince ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano katika kipindi cha ENews kinachorushwa […]

Read More..

Wolper, Dk. Fadhili Siri Yao Yavuja

Post Image

Siri imevuja! Daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dar, Dk. Fadhili Emily amedaiwa kumponza mwigizaji Jacqueline Wolper kwa mpenzi wake wa sasa, Mkongo baada ya picha yake kukutwa kwenye simu ya mwigizaji huyo. Chanzo kilicho karibu na Wolper kimepenyeza habari kuwa Wolper ambaye yupo nchini Afrika Kusini akijivinjari na Mkongo wake, […]

Read More..

Ray : ‘Tajiri Mfupi’ Imegharimu Milioni...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ amesema filamu yake mpya ‘Tajiri Mfupu’ imegharimu milioni 17 mpaka inaingia sokoni. Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360 Ijumaa hii, Ray alisema bajeti ya milioni 10 ndio bajeti kubwa kwa filamu nyingi za bongo. “Filamu zetu nyingi za bongo kwa sisi wasanii wakubwa ni kuanzia milioni 10 hadi […]

Read More..

Picha: Uchaguzi wa Rais wa Shirikisho la Fi...

Post Image

Mgeni rasmi wa Shughuli hiyo, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo, Mh. Nape Nnauye (katikati) akizungumza jambo wakati wa zoezi hilo. Mpinzani wa Mwakifwamba, Issa Hamis Kipemba (mbele) akizungumza jambo kabla ya uchaguzi kuanza. Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania aliyekuwa akimaliza mda wake, Simon Mwakifwamba (kulia) na Makamu wake, Deosonga Njelekela wakiwa mbela […]

Read More..

Kajala Sasa Ajis’tukia Kuzeeka

Post Image

Staa wa Filamu Bongo, Kajala Masanja amesema kuwa mambo ya kimjini kama wafanyavyo mastaa wengine kwa sasa ameyapa mgongo kwa madai kuwa anaona anaelekea kuzeeka. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Kajala alisema kila anapojiangalia anaona kabisa alivyokuwa zamani sivyo alivyo sasa hivyo ana kila sababu ya kubadilika. “Kiukweli najiona kabisa naelekea kuzeeka, […]

Read More..

Ray Atakiwa Awe Balozi wa Maji

Post Image

BAADA ya mwigizaji mashuhuri katika filamu, Vicent Kigosi ‘Ray’ kudai weupe wake unatokana na kunywa maji mengi na kufanya mazoezi na siyo mkorogo, makampuni manne yanayojishughulisha na masuala ya maji yamemtaka awe balozi wao. Ray alisema licha ya makampuni hayo ambayo hakutaka kuyaweka wazi kujitokeza, bado hajawa tayari kwa sasa. Akizungumza na MTANZANIA jana, Ray […]

Read More..

Picha: Niva Aibuka Kariakoo na Kutoa Zawadi...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Zubery Mohamed ‘Niva’ siku ya jana aliwahangaza wengi kwa kitendo cha kutembelea maduka ya filamu kariakoo na kusaidia kuuza a filamu yake ya Kisanga nae Mwana ambapo alitoa zawadi za T-Shirt za filamu yake hiyo na Radio za solar kutoka steps solar kwa mashabiki. Filamu ya Kasanga Naye Mwana ambayo imewajumuisha […]

Read More..

Lulu Adaiwa Kulipiwa Mahari

Post Image

Wakati akikanusha vikali taarifa mbaya za kuzushiwa kifo mwishoni mwa wiki iliyopita na watu ambao alisema hajui lengo lao, habari ya heri ni kwamba, staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, (pichani) anaelezwa kuwa kwenye shamrashamra za ndoa baada ya kudaiwa kulipiwa mahari na mfanyabiashara maarufu jijini Dar (jina linahifadhiwa kwa sasa).   Kwa […]

Read More..

Ray: Kama Huamini Sikulazimishi, Mi Maji Ya...

Post Image

HIVI kari-buni gumzo kubwa mitaani pamoja na kwenye mitandao mingi ya kijamii ilikuwa juu ya staa wa Bongo Muvi, Vincent Kigosi ‘Ray’ baada ya kudai kuwa kunywa maji mengi kunamfanya aendelea kuwa mweupe. Kauli hiyo alianza kuitoa katika mahojiano aliyofanyiwa katika Kipindi cha E-News kinachorushwa na EATV ambapo alisema kwamba huwa anakwenda saluni mara moja […]

Read More..

Ray Producer wa Tajiri Mfupi Ndio Habari ya...

Post Image

MWIGIZAJI Muongozaji na mtayarishaji wa filamu  Vincent Kigosi Ray ameteka kila kona ni yeye kuliko hata game ya Yanga na samba wala watu hawana habari na matokeo ya kidato cha nne kila mtu ni Ray Ray, hiyo inaonyesha msanii huyo ni Nyota kweli katika tasnia ya filamu Bongo.   Huku akijiandaa kuachia filamu yake ya […]

Read More..

Mtoto wa Kanye West Amchanganya Wema Sepetu

Post Image

Siku moja baada ya mastar wakubwa Kim Kardashian na Kanye West kupost picha ya mtoto wao wa pili aitwaye ‘Saint West’ ameonesha kumchanganya sana bidada Wema Sepetu kwa kile alichokifanya kwenye mitandao yake ya kijamii.   Wema Sepetu jana amepost picha zaidi ya tatu Instgram za mtoto huyo huku akionesha ni jinsi gani ametokea kumpenda […]

Read More..

Mwakifamba, Kipemba Kugombea Urais

Post Image

KAMATI ya Uchaguzi wa viongozi wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), imetangaza majina ya watakaogombea katika uchaguzi utakaofanyika katika Ukumbi wa Urafiki, Ubungo, Februari 20 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mathew Bicco, alisema uchaguzi huo utakuwa na nafasi tatu za kugombania ambazo ni urais, […]

Read More..

Wema Ashauriwa Aachane na Wanaume wa Instag...

Post Image

Malkia wa controversy, Mange Kimambi yupo shingoni mwa Idris Sultan akimuelezea kuwa miongoni mwa ‘these young guys wanaoshinda kwenye social media.’ Mange amepost kipande cha video kinachomuonesha Idris akiimba wimbo wa Justin Bieber, Sorry. “I think wote mshaona balaa la Idris na Wema huko snap chat. Idris ndo alieanza vijembe mwishowe Wema kamjibu Kwa kusema […]

Read More..

Linah Alala na Wizkid Hotelini

Post Image

Imefichuka! Hatimaye ishu ya wanamuziki wa Bongo, Estelina Sanga ‘Linah’, kudaiwa kulala kitanda kimoja na msanii wa muziki kutoka Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’, imebumburuka. Baada ya kuandamwa na skendo hiyo ya kutoka kimapenzi na Wizkid huku mashabiki wake waliyo wengi wakishindwa kuamini juu ya uhusiano huo, hatimaye sasa mambo yamevuja na kujidhihirisha kuwa kweli staa […]

Read More..

Kisa Nicki Minaj, Shilole Asaka Ticha wa Ki...

Post Image

Msanii Shilole au Shishi Baby, anatafuta mwalimu wa kumnoa kwenye lugha ya kingereza, ikiwa ni maandalizi ya kuonana na msanii wa Marekani Nicki Minaj. Kwenye ukurasa wake wa Instagram Shilole amendika tangazo akimtaka mtu ambaye ni mwalimu wa lugha hiyo kuwasiliana, ili aweze kuanza mafunzo hayo. “Anatafutwa mwalimu wa kingereza mzuri, jamani huu sio utani […]

Read More..

Lulu Azushiwa Kifo Kwenye Mitandao ya Kijam...

Post Image

Msanii wa filamu Diana Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesikitishwa na watu ambao wamemzushia kifo katika mtandao wa kijamii. Mtandao mmoja uliandika ‘Picha 40 na video za msiba wa msanii wa bongo movie hizi hapa . RIP Elizabeth’. Baada ya kauli hiyo, Lulu kupitia instagram aliandika Nasikia Nimekufa Wewe uliyePost hii. Kama wewe utakuwepo TUTAONANA TENA 2017 […]

Read More..

Filamu ya Kasanga Naye Mwana Yaingia Sokoni...

Post Image

ILE Filamu ya Kasanga naye mwana imeingia leo sokoni na kusambazwa nchi nzima akionge na FC Nassor kutoka kampuni ya Steps Entertainment ya jijini Dar es Salaam amesema kuwa filamu hiyo inaptaikana katika maduka yote ya filamu na Bongo movie Shop kila mkoa. Filamu ya Kasanga Naye Mwana imeingia leo sokoni na inapatikana katika maduka […]

Read More..

Wasanii Wawili Wafariki Bongo Muvi

Post Image

Misiba! Wakati wadau wa Bongo Movies wakiwa kwenye majonzi ya kifo cha Michael Dennis ‘John Woka’, kwenye Bongo nako kuna pigo la kuondokewa na wasanii wawili, Maneno Gongo ‘Mr Gongo’ na Jennifer Vincent ‘Mama Utajiju’. Gongo alifariki dunia wiki iliyopita katika Hospitali ya Muhimbili baada ya kusumbuliwa na presha kwa muda mrefu. Marehemu Gongo aitwaye […]

Read More..