-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Waandishi wa ‘Script’wanatuangusha – JB

Post Image

Msanii nguli wa filamu za kitanzania Jacob Steven maarufu kama JB, amesema kushuka kwa thamani kwa filamu za sasa hivi ukitofautisha na zile za zamani, kunasababishwa na waandishi wa hadithi kutofanya vizuri, na upungufu wa waongozaji wazuri. B ameyasema hayo alipokuwa akiongea na East Africa Television, na kusema kwamba filamu yoyote inatengenezwa na hadithi nzuri […]

Read More..

Filamu ya Kiboko Kabisa Yaifunika Filamu za...

Post Image

ILE filamu kubwa ya Kiboko kabisa kila kona ni Kiboko kabisa inakimbiza Sokoni kila ukikutana na mpenzi wa filamu anasema Kiboko kabisa kwa utafiti uliofanywa na FC unaonyesha kuwa filamu hiyo imezifunika sinema zote toka kuanza kwa mwaka huu sambamba na filamu ya Chungu cha Tatu iliyotoka kabla ya Kiboko Kabisa. Kijana mmoja muuzaji maarufu […]

Read More..

Naepuka Kutumika Bila Faida – Lulu

Post Image

Staa wa filamu Diana Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema kama unamtaka kumshirikisha katika filamu yako, andaa milioni 15 kwani anaogopa kuendelea kutumika bila faida. Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV Jumapili hii, Lulu alisema tayari alishatengeneza jina kwa miaka mingi na sasa anahitaji pesa. “Kufanya filamu kwa milioni 15 sio hela nyingi, watu […]

Read More..

Baada ya Jimmy Mafufu Kushindwana na Jason ...

Post Image

MWIGIZAJI na mtayarishaji wa filamu Swahilihood Jimmy Mafufu amemwangukia msanii wa filamu Bongo Zubery Mohamed ‘Niva’ kwa kumshirikisha katika filamu ya Ishakua soo sinema ambayo ipo njia kutoka tarehe 15.February .2016 awali msanii huyo alikuwa na mpango wa kumshirikisha msanii mkubwa kutoka nchini Marekani Jason Statham katika filamu hiyo ambayo ni filamu ya kipekee kwa […]

Read More..

Flora Mvungi Anatarajia Kujifungua Mtoto wa...

Post Image

Mke wa msanii wa muziki H. Baba, Flora Mvungi anatarajia kujifungua hivi karibuni na kuipatia familia yake mtoto wa tatu. Flora Mvungi akiwa hospitali Wana ndoa hao wenye watoto wawili, Tanzanite na Africa, wameshare picha katika mitandao ya kijamii zenye ujumbe kuhusu ugeni huo. Kupitia instagram, H.Baba aliandika. Asante mungu kwa kila jambo #watoto nifaraja […]

Read More..

Mimba ya Kajala Yachoropoka

Post Image

Baada ya kunasa ujauzito ambao ulisemekana ni wa kigogo mmoja serikalini, bahati haikuwa yake mwigizaji Kajala Masanja kwani mimba hiyo imechoropoka. Rafiki wa karibu na mwigizaji huyo ameliambia Risasi Jumamosi kuwa mwigizaji huyo aliugua malaria ambapo dawa alizokunywa zimemsababishia mimba hiyo ichoropoke. “Nahisi ni madawa ya malaria aliyokunywa, huwezi amini alijisikia vibaya baada ya kumeza, […]

Read More..

Vimbwanga Vya Nisha na na Mzee Majuto Ndani...

Post Image

Movie: Kiboko Kabisa Genre:  Bongo Movie Comedy Production: Nisha Production Cast: Mzee Majuto, Nisha, Jada, Neema wa 20%, Hemedy Chande Released date:  29 January 2016 Distributors: Step Entertainment Subscribe kwenye channel ya Bongo Movies TV kwenye Youtube ujionee video nyingi zaidi za Bongo Movies

Read More..

Nuh Afuta Tatoo ya Shilole Mkononi, Ajichor...

Post Image

Msanii wa muziki Nuh Mziwanda, hatimaye ameamua na yeye kufuta tatoo ya Shilole aliyokuwa ameichora mkononi, akienda tofauti na nadhiri aliyojiwekea ya kwenda kaburini na tatoo hiyo. Nuh amesema kuwa, ameamua kufanya hivyo alipogundua tabia halisi za Shilole baada ya kuachana naye, akidai kuwa ex wake huyo ameingilia ukurasa wake wa instagram (hacking), akimtukana katika […]

Read More..

Mimba ya Wema Yamtia Uchizi Penny

Post Image

Mwanadada anayepiga dili la utangazaji kupitia Zouk TV ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungwilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa mimba ya shosti wake, Wema Sepetu inampa ‘uchizi’ kwa kutamani kila kukicha na yeye anase ujauzito. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Penny alisema kuwa hivi sasa karibia rafiki zake wote wana […]

Read More..

Wolper Awapigia Saluti Wabongo Huko Insta

Post Image

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Jacqueline Wolper ameonyeshwa kushangazwa na baadhi ya wabongo kwenye mtandao wa instagram kwajinsi wanavyopenda kusukiongeza kwa kile mtu atakachokiandika. “Some people are just waiting for that sad news about you. May they wait till they perish mtu akifunguka kidogo mnajiongeza namnayoyajua dah kweli waTz insta mzungu alituletea sisi natujipigie makofi […]

Read More..

Bongo Movie Wabaguzi- Love

Post Image

MWIGIZAJI wa kike katika tasnia ya filamu Loveness Watson ‘Love’ amefunguka kwa kuwalaumu wasanii wa filamu Bongo movie kuwa ni wabinafsi hawana msaada wowote katika matatizo zaidi ya wao kujiangalia na rafiki zao wa karibu ameliona hilo alivyompoteza mama yake. “Sina hamu na Bongo Movie misiba na matatizo ni ya kwao tu lakini sisi hakuna […]

Read More..

Johari: Nimemchuna Sana Ostaz Juma Namusoma

Post Image

Mkongwe kwenye sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amevunja ukimya na kuweka bayana kuwa miaka kadhaa iliyopita aliwahi kumchuna sana Mkurugenzi wa Kampuni ya Watanashati Entertainment, Ostaz Juma Namusoma alipokuwa akimhitaji awe mchumba wake. Johari alifunguka hayo hivi karibuni baada ya mwanahabari wetu kumfungia safari hadi ofisini kwake Sinza-Mori, jijini Dar es Salaam na kumuuliza […]

Read More..

Ray Kigosi Apigilia Msumari Mwingine Kwa Ba...

Post Image

  Ray amesema kuwa, filamu hiyo itatoka kama ilivyopangwa licha ya tuhuma za Batuli, akijitetea kuwa, hawezi kushindwa kumlipa mtu mmoja na kufanikisha kuikamilisha kazi hiyo waliyoifanya miaka 3 iliyopita tayari kwa kuiingiza sokoni. Ray pia akatolea ufafanuzi hisia zilizoanza kujengeka kuwa, wametengeneza ugomvi huo na Batuli ili kuipatia kiki kazi yao, kitu ambacho amekipinga […]

Read More..

Nisha Awa Balozi wa New Hope Family Group

Post Image

MSANII wa Filamu hapa nchini, Salma Jabu ’Nisha’ amekuwa Balozi wa Kikundi cha New Hope Family Group chenye makazi yake Kigamboni Dar kinachojihusisha na masuala ya kutetea watoto waishio katika mazingira hatarishi. Hafla ya kumtambulisha msanii huyo imefanyika leo katika Ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo) ambapo mwenyekiti wa taasisi hiyo, Omary Kombe, amesema lengo […]

Read More..

Mzee Majuto Apagawishwa na Kimwana-KIBOKO K...

Post Image

Short Video Clip Movie: Kiboko Kabisa Genre: Bongo Movie Comedy Production: Nisha Production Cast: Mzee Majuto, Nisha, Jada, Neema wa 20%, Hemedy Chande Writer: Lamata Leah Director: Lamata Leah Release date: 29 January 2016 Distributors: Step Entertainment

Read More..

Masanja Mkandamizaji Kufungua Kituo Chake c...

Post Image

Mchekeshaji wa kundi la Orijino Komedi, Masanja Mkandamizaji ameweka wazi mpango wake wa kufungua kituo cha Radio na TV ambavyo atavisimamia yeye mwenyewe. Akizungumza na 255 katika kipindi cha XXL cha Clouds Fm Alhamisi hii, Masanja alisema tayari ameshapata mafunzo ya uandishi wa habari ili kujifunza kuhusu kuendesha vituo hivyo. “Yeah nimepanga kufungua kituo changu […]

Read More..

Aliyedaiwa Kumbaka Shilole Afunguka Mazito!

Post Image

KATIKA maho-jiano na Mwandishi nguli wa burudani nchini wa Gazeti la Ijumaa, Erick Evarist, Februari 2012, msanii Zuwena Mohammed ‘Shilole’ alinukuliwa akieleza kisa hiki: “Katika maisha yangu nimepitia mitihani mingi, mmoja wapo ni huu wa kulazimishwa kufanya mapenzi bila ridhaa yangu, kwa kifupi nilibakwa.” Kwa kuwa kisa hiki cha kusikitisha kimesemwa sana na Shilole katika […]

Read More..

Mpoto, Muhogo Mchungu Wahimiza Usomaji wa V...

Post Image

WASANII wa fani mbalimbali wametoa wito kwa wananchi na wanafunzi kuwa na desturi ya kujisomea vitabu vya lugha ya Kiswahili ambavyo vitawasaidia kukuza lugha hiyo. Akizungumza jana katika uzinduzi wa kitabu cha fasihi cha ‘Mwele bin taabani’, kilichoandikwa na aliyekuwa Mbunge wa Mchinga, Mudhihir Mudhihir, msanii Mrisho Mpoto alisema kuwa kama Watanzania wanahitaji lugha hiyo […]

Read More..