-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Bongo Movie Ina Kufa, Ni Swali Ninalokutana...

Post Image

Kuna swali nakutana nalo kila siku, bongo movie ina kufa. nataka niwaambie. ..bongo movie inapita katika kipindi ambacho tasnia zingine zilipita. ..kipindi ambacho hutokea baada ya kutamba kwa muda watu hutaka kuona vitu vipya. ..kama waliokuwepo wakishindwa kuleta ubunifu mpya basi wao watakufa kisanii na watu wapya watateka soko. ..llakini tasnia haitakufa. ..angalia katika b,fleva […]

Read More..

Sina Mahusiano na Nisha – Baraka da Prince

Post Image

Msanii Baraka da Prince amekanusha vikali kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii Salma jabu au Nisha, kama tetesi zilivyozagaa mitandaoni. Baraka da Prince amefunguka hilo kwa mara ya kwanza ndani ya Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kuwa msanii huyo ni rafiki yake wa kawaida tu. “Mi siko kwenye mahusiano na sijawa […]

Read More..

Wastara: Nakuja Kivingine

Post Image

MSANII wa filamu Wastara Juma ambaye hivi sasa anapata matibabu ya mguu wake nchini India, amedai akirejea nchini, atakuja kivingine katika kazi zake za uigizaji. Akizungumza kwa njia ya simu akiwa huko, Wastara alisema anam shukuru Mungu kwani anaendelea vizuri na matibabu, lakini akawaahidi mashabiki wake vitu vipya kwani safari yake huko imemuo ngezea ubunifu. […]

Read More..

Pale Mwalimu Alipobambwa Kona Aikwa na ‘D...

Post Image

Short Video Clip Movie: Kiboko Kabisa Genre:  Bongo Movie- Comedy Production: Nisha Production Cast: Mzee Majuto, Ben,  Nisha, Jada, Neema wa 20%, Hemedy Chande Writer: Lamata Leah Director: Lamata Leah Release date:  29 January 2016 Distributor: Step Entertainment

Read More..

Faiza Atumia Njia Hii Kumfikishia Ujumbe Ba...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Faiza Ally ambaye ni mzazi mwenzie na Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ ameamua kutumia mtandao wa instagram kumfikishia ujumbe mzazi mwezie kuhusu matunzo ya mtoto kwa madai kuwa kwa sasa hawana mawasiliano. Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao huo, Faiza aliweka video ya mtoto wao Sasha akimuomba hela baba yake (Sugu) yakusukia nyewele […]

Read More..

Sipendi ‘Scenes’ za Kushikwa Sh...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu, Halima Yahya maarufu kama Davina, amesema katika maisha yake ya sanaa ya uigizaji hapendi scenes za mapenzi hasa hasa zile zinazomtaka aonekane akishikwa shikwa kitandani. Muigizaji huyo ambaye ni mama wa watoto watatu, amekiambia kipindi cha Papaso cha TBC FM kuwa scenes hizo humpatia wakati mgumu wakati anapopewa ili avae uhusika. […]

Read More..

Huyu Ndiye Gabo Zigamba Mjukuu wa Mzee Kiye...

Post Image

UNAPOSIKIA jina la Gabo Zigamba si jina geni katika tasnia ya filamu , Gabo amejizolea umaarufu katika tasnia ya filamu baada ya kufanya vizuri na kuwachanganya wapenzi wa filamu Bongo, wengi wakiamini kuwa ni kijana wa Kimachinga kutoka Kusini kumbe ni Mdigo na Mhehe. Jina halisi la msanii huyu ni Salim Ahmed Issa akisema hilo […]

Read More..

Wema Aanza Mazoezi ya Kulea Mtoto

Post Image

Habari ya mjini kwa sasa ni ujauzito wa Wema Isaac Sepetu ambapo inadaiwa kuwa ameanza mazoezi ya kumlea mtoto wake mtarajiwa. Kwa mujibu wa shosti wake wa karibu, kwa sasa Wema ameongeza urafiki kwa akina mama wenye watoto wachanga ili kuchukua ‘maujuzi’ ya namna ya kuwa mama bora kwa mwanaye mtarajiwa. “Yaani ukitaka kujua Madam […]

Read More..

Kajala Ajivunia Paula Wake

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Kajala Masanja ameonyesha kujivunia kukuza binti yake,  Paula kwa kuweka picha hizo hapo juu mtandaoni akiwa na Paula wakati akiwa mtoto na sasa hivi alivyokuwa binti  kisha akaandika haya. “Back then when my Paula was a baby now she is a grown young lady, I love u princess????”-Kajala Hongera sana […]

Read More..

Picha: Wastara Akifanya Mazoezi Nchini Indi...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma ambaye yupo  nchini India kwa matibabu amebandika picha hizi kwenye ukursa wake mtandaoni akiwa anafanya mazoezi ya kutembea kama anavyonekana hapo chini.

Read More..

Idris Athibitisha Kumpa Wema Ujauzito

Post Image

Mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2015 Idris Sulta, athibitisha kumpa ujauzito mlimbwende amabaye hakauki vinywani mwa watu kutokana na umaarufu wake na urembo wake Wema Sepetu, huku akijivunia kuwa na mwanamke huyo maishani mwake. Katika ukurasa wake wa Instagram Idris Sultan ameandika maneno ambayo yanaashiria wazi mlimbwende huyo ambaye pia anafanya vizuri runingani […]

Read More..

Nisha: Nikilala na Kuamka na Barakah Da Pri...

Post Image

Staa wa Bongo Muvi, Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye kwa sasa yupo kwenye malavidavi na Mwanamuziki Baraka Andrew ‘Barakah Da Prince’, amefunguka kuwa hajali ni wangapi wanampenda jamaa huyo kikubwa analala naye na kuamka naye. Akizungumza na mwandishi wetu, Nisha alisema kuwa kwa kawaida tamaa kwa wanaume ni jambo la kawaida lakini kwa upande wake anaangalia […]

Read More..

Davina Amtolea Uvivu Mwandishi wa Stori Hi...

Post Image

Kufuatia gazeti moja la udaku kuandika stori ya uongo juu yake, Staa wa Bongo Movies, Halima Yahaya ‘Davina’ amemtolea uvivu muandishi wa stori hiyo kupitia ukurasa wake mtandaoni. Hivi nyie waandishi wengne hv kwann hamnaga utu lini nimeongea na wewe lini? zuwenanyembo na ktk story umeandika nimekutaja mpk jina me nakujua ww? Wkt mwingne mnasemaga […]

Read More..

Baada ya Kusugua Benchi Miaka Mitano, Nora...

Post Image

STAA aliyekuwa akitingisha kwa wasanii Bongo kutoka Kundi la Kaole, Nuru Nassoro ‘Nora’ amefunguka kuwa Mungu amemuona baada ya kukaa benchi kwa takriban miaka mitano bila kurekodi sinema. Akizungumza na Ubuyu wa Town, Nora alisema alikuwa ameshakata tamaa lakini anaishukuru Kampuni ya Didas Entertainment ambayo imemthamini na kumrudisha tena kwenye gemu. “Watu waliniona mimi sifai […]

Read More..

Aunt Ezekiel: Tunajenga Kwanza Ndani Ndio T...

Post Image

Kutokana na kusuasua kwa hatua za tasnia ya filamu Bongo kuingia katika soko la kimataifa, nyota wa filamu Aunt Ezekiel amesema kuwa zipo jitihada zinafanyika sasa kuweka mambo sawa katika soko la ndani ambalo limeshuka, kama msingi wa safari hiyo. Aunt ambaye hakufafanua mikakati yenyewe, ameeleza kuwa itakuwa ni uongo pale kufanya jitihada za kwenda […]

Read More..

Ndege Wanaofanana Huruka Pamoja-Lulu

Post Image

Kupitia ukurasa wake mtandaoni,staa mrembo wa Bongo Movies ‘Lulu’ amefunguka haya; Kuna Msemo Unasema “NDEGE WANAOFANANA HURUKA PAMOJA” hii misemo huwa inamaana sana Kwa akili yangu ndogo nilijaribu kuuweka huu Msemo katika Maisha ya kawaida Na nikagundua Una asilimia kubwa ya ukweliKatika Maisha yetu ya mahusiano,urafiki,undugu,ujamaa Na hata ushabiki sio kwamba mambo yanatokeaga Kama miujiza […]

Read More..

‘Kiboko Kabisa’ ya Nisha Inahesabu Siku

Post Image

ILE Filamu ya Kiboko Kabisa kutoka kwa gwiji la Uchekeshaji Swahilihood Salma Jabu ‘Nishabebee’ ipo tayari na inehesabu siku kadhaa ili iruke mtaani na kufanya fujo za hatari huko kunako soko ni kazi safi si ya kuikosa kwani imejaa mastaa kibao. Akiongea na FC Production meneja wa Nisha’s Film Productions Othuman Ochu amesema kuwa kila […]

Read More..

Steve Nyerere Ahenyeshwa Polisi

Post Image

DAR ES SALAAM: Msala! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amedaiwa kuhenyeshwa polisi kutoka na msala wa rafiki yake kuaminiwa fedha za matengenezo ya gari na kuanza ‘kupiga karenda’ matengenezo hayo bila sababu za msingi. Chanzo makini kimeeleza kuwa, miezi kadhaa iliyopita, Steve alimpeleka rafiki yake aitwaye Mohamed maarufu kwa jina la […]

Read More..