-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Irene Paul: Sikuingia Kwenye Ndoa Kama Fash...

Post Image

UKITAJA waigizaji wanaojua nini wanapaswa kufanya mbele ya kamera na kuzitendea haki nafasi anazopewa kuigiza, basi huwezi kumuweka kando mwanadada Irene Paul, ambaye amecheza filamu nyingi, lakini msanii huyu alipotea kidogo baada ya kushika ujauzito ambao Mwenyezi Mungu amembariki na sasa ana mtoto wa kike, aliyempa jina la Wendo.   Staa huyo amecheza filamu kama […]

Read More..

Kesi ya Wema Sepetu Bado Ngumu

Post Image

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam inatarajia kutoa uamuzi wa kupokea ama kutopokea kielelezo cha hati ya ukamataji nyumbani kwa Wema Sepetu ifikapo Oktoba 4, 2017. Hatua hiyo inatokana na kuwasilishwa kwa pingamizi mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba kutoka kwa wakili wa utetezi , Peter Kibatala, kwamba kielelezo hicho kina […]

Read More..

Gabo Afunguka Kuhusu Bifu

Post Image

MKALI wa Filamu za Bongo, Gabo Zigamba, amesema wasanii kuendekeza bifu ni dalili za kujimaliza kabisa na kukosa ubunifu kwenye kazi zao. Hivi karibuni msanii huyo amejikuta katika ugomvi na msanii mwenzake, Daudi Michael maarufu kama Duma kutokana na kila mmoja kumlalamikia mwenzie kushindwa kuitendea haki tasnia hiyo. Gabo amesema kuendelea kuzozana na Duma ni […]

Read More..

Irene Utamu Mwanzo Mwisho

Post Image

NYOTA wa filamu nchini, Irene Uwoya ametamba kuwa, kipaji alichonacho ni cha kipekee kwani licha ya kuwa zilipendwa, lakini bado hachuji akiendelea kukamua kana kwamba kaianza fani juzi tu. Irene alisema kuthibitisha kuwa kipaji chake ni cha pekee ni jinsi alivyoingia kwenye fani na kunyakua tuzo ya Mwigizaji Bora wa Kike Chipukizi mwaka 2008 ya […]

Read More..

Uongo Unaangusha Bongo Movie – Patcho Mwa...

Post Image

MUIGIZAJI wa filamu Bongo Patcho Mwamba amefunguka kuwa tabia ya uongo kwa baadhi ya wasanii wakubwa katika tasnia ya filamu kunakimbiza baadhi ya wawekezaji katika tasnia ya filamu Bongo, kwani wengi si wakweli na udanganya kila mtu kuanzia wao kwa wao hadi matajiri. “Unaenda location na nguo viatu kibao ili usipate shida ukiondoka unaangalia hakuna […]

Read More..

Shahidi Kesi ya Wema Asema Bangi Ilikutwa J...

Post Image

SHAHIDI upande wa serikali kesi ya Wema Sepetu kutuhumiwa kutumia madawa ya kulevya amesema msokoto wa bangi ulikutwa ukiwa kabatini jikoni kwake. Hayo yamesemwa na ofisa wa ofisi ya Mkuu wa Upelelezi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Inspekta Willy akimweleza Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba, wakati akiongozwa na Wakili wa Serikali, Constantine Kakula. Inspekta Willy anakumbuka Februari 4, mwaka huu aliitwa […]

Read More..

Lulu: Kama Ndoa Amepanga Mungu Ipo Tu!

Post Image

STAA wa sinema za Kibongo ambaye pia alikuwa msanii wa kwanza kuigiza akiwa na umri mdogo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, kwa mara ya kwanza amefunguka kila kitu chake hadharani ambacho wapenzi wake wengi wamekuwa wakijiuliza bila majibu. Akizungumza na Over Ze Weekend, Lulu amesema kuwa kujiamini ndiko kumemfikisha hapo alipo, ungana nami katika makala haya; Over Ze Weekend: Watu […]

Read More..

Mzugu Wangu Bado Mbichi- Ray Kigosi

Post Image

Msanii wa filamu nchini Ray Kigosi amefunguka na kumpa sifa mzazi mwenzake Chuchu Hansy ambaye leo alikuwa anasherekea kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kuwa bado ni mbichi licha ya kujifungua siku za karibuni. Ray Kigosi amesema hayo kupitia mtandao wake wa Instagram na kusema licha ya mrembo wake huyo kujifungua lakini hajabadilika kama ambavyo huenda […]

Read More..

Shilole na Uchebe Msituchoshe Mashabiki

Post Image

PENZI jipya la mwimbaji nyota wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ na mshikaji anayejulikana kwa jina la Ashraf Uchebe, wiki hii limetikisa mitandao ya kijamii. Sababu kubwa ya wawili hao kugonga vichwa vya habari za burudani nchini ni baada ya kuibuka ukurasa mmoja katika mtandao wa Instagram, uliotumia jina la @official_uchebe kuandika maneno yaliyoonyesha mateso […]

Read More..

Wema Sepetu abadili uamuzi wa kung’oa kiz...

Post Image

Mwigizaji Wema Sepetu anaonekana kuyatafuna maneno yake ya awali, alipokiri kwamba atatoa kizazi chake kama hatakuwa amefanikiwa kushika mimba atakapotimiza miaka 32. Kwa kipindi kirefu, Wema mwenye miaka 29 amekuwa akihangaika kupata mtoto bila ya mafanikio. Mwaka jana alipokuwa na uhusiano na mshiriki wa zamani wa Big Brother Idris Sultan, alieleza kwenye mitandao ya kijamii […]

Read More..

Mchawi wa Bongo Movie ni Sisi Wenyewe – S...

Post Image

NI uwezo wake wa kufanya kweli awapo mbele ya kamera, ndiyo umempa jina na umaarufu mkubwa kunako kiwanda cha kuzalisha filamu za Kibongo. Ni binti mdogo sana kwa uhalisia wa umri, ingawa mwili wake unatoa ishara za kuanza kuingia kwenye ngome ya wahenga. Wengi wanamtambua kwa jila na Chausiku, lakini wazazi wake walimpa jina la […]

Read More..

Faiza: Sugu Akihitaji Mtoto, Namzalia!

Post Image

MREMBO Faiza Ally ambaye aliwahi ‘kubanjuka’ penzini na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, ametoa kali ya aina yake kwa kusema, yupo tayari kumzalia mbunge huyo ambaye walishaachana miaka kibao iliyopita. Kabla ya kumwagana na Sugu, mrembo huyo alifanikiwa kuzaa na mbunge huyo mtoto mmoja kisha kila mmoja akashika maisha yake. Sugu kwa sasa […]

Read More..

VIDEO: Wema Afungukia Ishu Yake na Mbowe

Post Image

Malkia wa filamu bongo, Wema Sepetu amekanusha kuwa na mahusiano na Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe ambaye miezi michache iliyopita alihusishwa kutoka naye baada ya sauti zinazodhaniwa kuwa za kwao  kusambaa mitandaoni. Wema amesema kuwa katu hajawahi kuwa na mahusiano na kiongozi huyo wa upinzani kwani ni mtu ambaye anamuheshimu sana na kuongeza kwamba sauti hizo […]

Read More..

Mwigizaji wa TMT Aula Rwanda

Post Image

MWIGIZAJI chipukizi Shiraz Ngasa aliyeibuliwa na shindano la kusaka vipaji vya filamu kupitia Tanzania Movie Talent (TMT) amefanikiwa kuigiza filamu kubwa nchini Rwanda kama muigizaji kinara na kufanya vizuri kwa kumwagiwa sifa lukuki kulingana na kipaji alichoonyesha. “Rwanda wamejipanga katika ujio wao wa utengenezaji filamu haikuwa rahisi kupata nafasi ya kuigiza katika filamu ya Seeds […]

Read More..

Natamani Nimpate Mtoto Hata Sasa – We...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu amefunguka na kusema ameanza muda mrefu kutafuta mtoto lakini hajabahatika kumpata na kudai kuwa anatamani sana kupata mtoto hata sasa na kudai hajakata tamaa.   Wema Sepetu alisema hayo kupitia kipindi cha NIRVANA ambapo alikuwa akupiga stori na mtangazaji Deogratius Kithama wakati wa uzinguzi wa filamu ya diva huyo […]

Read More..

Wakubwa sunna – Dogo Janja

Post Image

Msanii Dogo Janja ambaye hivi karibuni amekumbwa na tuhuma za kuwa na mahusiano ya kimapenzi na muigizaji wa filamu bongo aliyemzidi umri Irene uwoya, na kuweka wazi sababu za kuweza kufanya hivyo. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Dogo Janja amesema kuwa na mahusiano na wanawake waliomzidi umri kwanza ni sunna kwa imani […]

Read More..

Shilole Afungukia Watoto Wake Kuimba

Post Image

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, amesema watoto wake hawana mpango wa kurithi kipaji chake cha uimbaji. Akizungumza na MTANZANIA, Shilole alisema amekuwa akiwalea watoto wake katika maadili mazuri na kuhakikisha wanapata elimu ambayo itawasaidia baadaye. “Hakuna mtoto ambaye ameonyesha mwelekeo wa kurithi kipaji changu, wote kila mmoja amejiwekea malengo yake, yupo […]

Read More..

Mastaa Tunajimaliza Wenyewe- Johari

Post Image

BLANDINA Chagula ‘Johari’ amefunguka kwa kuwachana waigizaji wezake nyota kuwa wanajisahau na kushindwa kuhamasisha wadau kuipa thamani kazi yao ya filamu na kuwa watu wa kutumika tu katika shughuli ambazo hazielezei fani yao na kuwa gumzo kwa jamii. Akiongea na FC Johari amesema ameshangazwa na wasanii nyota kuwa nyuma katika shunguli ambazo ni kwa ajili […]

Read More..