-->

Category Archives: Other Celebs

singers

Babu Seya, Papii, Mapokezi ya Kifalme

Post Image

DAR ES SALAAM! Inawezekana ikawa habari njema kwa mashabiki wao kusikia kwamba familia ya mwanamuziki aliyefungwa maisha jela kwa kosa la kuwanajisi watoto 9, Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’, ipo katika maandalizi makubwa ya kuwapokea kifalme wawili hao mara watakapotoka gerezani, Risasi Jumamosi lina habari kamili. Nguza Vicking ‘Babu Seya’ […]

Read More..

Mr. Nice Alitumwa na Mungu – Wabogojo

Post Image

Msanii Mtanzania ambaye anafanya shughuli zake nchini Macau Othman Ford (Wabogojo) amesema anamuheshimu sana Mr. Nice kwani alitumwa na Mungu kuja kumtoa yeye kisanaa. Wabogojo amesema Mr. Nice ndiye alimtoa kwenye na kumfanya kuanza kujulikana kwa watu, hivyo kwake ni sawa na bosi wake na kila akirudi hapa nchini lazima aende nyumbani kwake kujua anaendeleaje […]

Read More..

Mama Diamond Afanya Kweli

Post Image

Mama Diamond akifanya usafi kwenye nyumba yake ya Tandale hivi karibuni. DAR ES SALAAM: KUFURU! Mama wa staa mwenye jina kubwa Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kasimu ‘Sandra’ amedaiwa kufanya kufuru ya aina yake kwa kununua mtaa mzima, Tandale-Uzuri jijini Dar na kuikarabati nyumba yake aliyokuwa akiishi zamani kwa kutumia takriban shilingi milioni 100. […]

Read More..

Watu Wamejifunza Kutoka Kwangu – Matonya

Post Image

Matonya ameyasema hayo alipokuwa akiongea na Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kuwa yeye kama msanii kuna mambo mengi ambayo watu huiga kutoka kwake, kutokana na ushawishi mkubwa alionao kwa jamii. “Unajua tumebarikiwa na nguvu, tuna upendo mkubwa sana kwa watu kiukweli lazima tujue ndio maana kila ninachokifanya najitahidi kiwe kizuri kwa jamii, […]

Read More..

Nilimpenda Jackie Cliff Ila Sitarudiana Nae...

Post Image

Msanii Jux ambaye kwa sasa yupo kimahusiano na Vanessa Mdee, amefunguka na kuweka wazi sakata ambalo lilimkuta mpenzi wake wa zamani anayefahamika kama Jackie Cliff na mahusiano yake na model huyo. Kupitia kipindi cha Mkasi kinachorushwa na EATV Jux alikiri wazi kuwa alikuwa akitoka kimapenzi na Jackie Cliff na kusema alikuwa anampenda sana licha ya […]

Read More..

Mr. Blue na Ndoto za Kupiga Mzigo na Wiz Ki...

Post Image

MR Blue ni moja ya vichwa vikali kwenye Tasnia ya Muziki wa Hip Hop Bongo. Jamaa anajua sana, kwa sasa anatamba na ngoma yake ya Baki Na Mimi, amekaa kwenye gemu kwa muda mrefu bila kuchuja, sasa ni zaidi ya miaka 13, ambapo anasema ndiyo kwanza anaanza maana kuna vitu vizuri vingi amepanga kufanya katika […]

Read More..

Nay wa Mitego Afunguka Sababu za Kutowataja...

Post Image

‘’Sikutaka kulizungumzia hili lakini nilijua watu watajaji,hata kwenye ‘comments’ watu wengi wanasema kwanini sijamuimba rafiki yangu Diamond na ana skendo nyingi’’ Alisema Nay Wa Mitego. ‘’Unajua sitaki kufanya kitu ambacho kila mtu tayari anacho kichwani mwake ili ni jawabu tosha kwa watu ambao wanajaji hilo kila mtu angekuwa anategemea ningemdisi Ali Kiba au Diamond sikutaka […]

Read More..

Harmonize: Nitafanya Kazi na Ali Kiba Bila ...

Post Image

LICHA ya tetesi kwamba wasanii wawili wa muziki wa Bongo Fleva, Ali Kiba na Nasibu Abdul ‘Diamond’, kutoonyesha nia ya kushirikiana katika muziki wao, msanii anayetamba na wimbo wa ‘Bado’, Rajabu Ibrahimu ‘Harmonize’, amesema yupo tayari kufanya kazi na Ali Kiba bila kikwazo chochote. Msanii huyo alisema Ali Kiba ni msanii wa Tanzania na ni […]

Read More..

Rekodi Yangu Haitavunjwa – Mr. Nice

Post Image

Mr. Nice ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio na kusema kuwa kwa sasa kazi anazofanya ni kwa ajili tu ya mashabiki wake, ili asiwapoteze lakini hahitaji hata promo. “Ninachojaribu kukifanya hapa ni kwamba naendelea kuwa mwanamuziki kwa sababu sasa hivi sitafuti promo ya aina yoyote, the only […]

Read More..

Mwamuzi wa Kike Jonesia wa Tanzania Achakug...

Post Image

Mwamuzi wa kike wa Kimataifa wa Tanzania mwenye beji ya FIFA, Jonesia Rukyaa ameteuliwa kuungana na waamuzi kutoka nchini Kenya kuchezesha mchezo wa kuwania kufuzu kwa Fainali za Kombe la Dunia kwa Wanawake wenye umri chini ya miaka 17 (WWC-Q 17) mwishoni mwa mwezi huu. Jonesia Rukyaa atakua mwamuzi wa akiba katika mchezo huo kati […]

Read More..

Lupita: Malengo Yangu Hayajakamilika Bado

Post Image

MKALI wa filamu nchini Marekani, Lupita Nyong’o, amedai kwamba japokuwa amepata mafanikio makubwa katika filamu, bado malengo yake hayajakamilika. Msanii huyo alifanikiwa kutwaa tuzo za Oscar mwaka 2015, lakini amesisitiza kwamba lengo lake ni kuwa msanii mkubwa duniani kama ilivyo kwa wasanii wengine. “Nimekuwa na mafanikio makubwa kutokana na filamu, lakini ninaamini bado malengo yangu […]

Read More..

Mzee Yusufu: Wake Zangu Marufuku Kutumia In...

Post Image

WAKATI wanawake duniani kote leo wakiadhimisha siku ya wanawake duniani, wake wa mkurugenzi wa kundi la Jahazi Modern Taarabu, Mzee Yusufu, Leila Rashid na Chiku wamekatazwa kutumia tena mtandao wa Instagram. Wanawake hao wamekatazwa kutumia mtandao huo na endapo watatumia kwa siri mume wao huyo amewaeleza kwamba ndiyo itakuwa talaka yao. Mzee Yusufu amechukua uamuzi […]

Read More..

Mwasiti: Wanawake Tuwekeze Kwenye Ardhi Siy...

Post Image

MSANII wa muziki wa Zouk, Mwasiti Almasi, amewaasa wanawake waachane na matumizi mabaya ya fedha kwa kununua nywele, vipodozi na nguo za gharama, badala yake watumie fedha hizo kuwekeza katika ardhi. Mwasiti anawaasa wanawake wenzake kuelekea maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani inayoadhimishwa kesho ambapo msanii huyo na wenzake watatu watatumbuiza katika tamasha maalumu litakalofanyika […]

Read More..

Baba Levo: Wanaosema Shilole Kachuja ni Ki...

Post Image

Baba Levo ambaye hivi sasa ni mheshimiwa Diwani Kata ya Mwanga Kigoma kwa tiketi ya ACT Wazalendo amefunguka na kusema kuwa wanaosema Shilole amechuja ni kina nani hao? Baba Levo alijiuliza hilo na kuzua utata kwani baadhi ya watu walianza kuhisi kwamba watu hao ni wapenzi kutokana na ukaribu wao pindi Baba Levo anapokuwa Dar es […]

Read More..

Picha: Diamond Akutana na Kanye West Mareka...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz  ameshare picha akiwa na mkali wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani, Kanye West. Diamond alisafiri kuelekea Marekani Las Vegas kwa ajili ya kufanya  show, ambapo kwenye maelezo ya hii picha, ilionekana wakati huo alikuwa Los Angeles.

Read More..

Ali Kiba Alikuwa Analia Studio -Chid Benz

Post Image

Msanii Chid Benz alimaarufu kama Chuma amefunguka na kusema wakati wana rekodi wimbo wa ‘Hasira za Nini’ ambao alimshirikisha Ali Kiba. Anadai ilifika mahali msanii King Kiba alidondosha chozi. Kupitia kipindi Cha Planet Bongo cha East Africa Radio ambapo Chid benz alipewa “Heshima ya bongo fleva” alifunguka na kusema wakati wapo Mj Records kufanya kazi […]

Read More..

Jide Ndoa Tena

Post Image

Siku chache baada ya kupewa talaka na aliyekuwa mumewe, mtangazaji Gardner G. Habash ‘Captain’, mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva anayekuja na ujio mpya alioubatiza jina la Naamka Tena, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au Jide amedaiwa kupata mwanaume mwingine ambaye yupo kwenye mikakati kabambe ya kumuoa, Risasi Jumamosi lina ubuyu kamili. Jide ambaye amekuwa kimya […]

Read More..

Uvumilivu Umemshinda Vanessa Mdee Kisa Jux

Post Image

Msani wa bongo fleva Vanessa Mdee maarufu kama V Money ameshindwa kuvumilia baadhi ya Comments zinazotolewa na baadhi ya mashabiki wake kwenye account yake ya Instgram baada ya msanii huyo kumzungumzia mpenzi wake Jux. Inafahamika kuwa wiki hii Jux atakuwa na show kadhaa katika mikoa mbalimbali hivyo mwandani wake Vanessa Mdee alichukua muda kumpa support […]

Read More..