-->

Category Archives: Other Celebs

singers

Leonard Di Caprio Aandika Historia

Post Image

JANA usiku katika jiji la Los Angeles kulikuwa na sherehe kubwa ya utoaji wa Tuzo za 88 za Oscar. Katika tuzo hizo, mshiiki mmojawapo, Leonard Di Caprio kwa mara ya kwanza aliandika historia ya kuchukua tuzo hiyo ambapo aliwahi kujaribu zaidi ya mara tano. Tuzo hiyo ya Caprio aliyewahi kubamba katika Filamu ya Titanic na […]

Read More..

1

Diamond Kuachia Wimbo wa Kurap Uitwao ‘Si...

Post Image

Staa wa muziki Diamond Platnumz amejipanga kuachia wimbo mpya wa kurap uitwao Simba. Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Ijumaa hii, Meneja wa msanii huyo, Babu Tale alisema wimbo huo utakuwa sio wa biashara bali ni zawadi kwa mashabiki. “Kama Hip Hop ni biashara Diamond amefanya wimbo wa kurap lakini hatujauchulia kama ile […]

Read More..

Sikumbuki Hata Kukutana na Gigy Money ̵...

Post Image

Msanii Rich Mavoko amekanusha taarifa za kuwahi kuwa na mahusiano na video queen Gigy Money, ambaye alisema alishawahi kuwa naye akiwa kidato cha pili. Akiongea na East Africa Radio Mavoko amesema taarifa hizo si za kweli, na hakumbuki hata kuwahi kukutana naye mrembo huyo, achilia mbali kuwa na mahusiano naye. “Mi sijawahi kutoka naye, hata […]

Read More..

Wanne Wauawa na Polisi kwa kuvamia Benki Mb...

Post Image

Polisi wakiimarisha ulinzi kwenye benki hiyo iliyovamia na wanaosadikiwa kuwa majambazi Mbagala, Dar. WATU wanaosadikiwa kuwa majambazi na ambao idadi yao inasadikiwa kuwa sita wakiwa na mabomu na bunduki za kisasa jana walivamia Benki ya Access tawi la Mbagala jijini Dar es Salaam ambako walipora viroba vya fedha, kuua mlinzi na baadaye wanne kati wakauawa […]

Read More..

Uchaguzi wa Meya Jiji la Dar Waahirishwa

Post Image

Baadhi ya Wafuasi wa Ukawa wakifuatilia taarifa iliyokuwa ikitolewa na Mwenyekiti wa Madiwani na wabunge wa jiji la Dar mda mfupi baada ya kuahirishwa uchaguzi huo. Mwenyekiti wa Madiwani na Wabunge wa Ukawa, Manase John Mjema akitoa taarifa yake mbele baada ya kuahirishwa uchaguzi huo. Hali ilivyoonekana nje ya Ukumbi wa Karimjee jijini Dar, baada […]

Read More..

Ney wa Mitego: Muziki Sio Vita, Avunjiwa Vi...

Post Image

Msanii Ney wa Mitego amepata ajali ya kuvunjiwa kioo cha gari yake na watu wasiojulikana, alipokuwa njiani akielekea EATV kwenye mahojiano ya kipindi cha Friday Night Live. Kwenye ukurasa wake wa instagram Ney wa Mitego ametoa taarifa hiyo, na kuwaomba radhi mashabiki wake kwa kushindwa kufika kwenye kipindi hicho, ambapo alitarajiwa kwenda kutambulisha video yake […]

Read More..

Mzungu Kichaa Awadiss Wema na Idriss

Post Image

Staa wa muziki Mzungu Kichaa, amevunja ukimya kuligusia suala ambalo pengine linawaumiza wasanii wengi, ikionekana kuwa ni ‘diss’ pia kwa staa Wema Sepetu na mwenzake Idriss Sultan, kupitia suala lao la ujauzito kunasa na kutoka. Akiongea kwa hisia nzito, Mzungu Kichaa ambaye ana project kubwa ya video ambayo watu hawaifahamu kama wanavyofahamu mimba ya Wema, […]

Read More..

Wabogojo aanika maisha ya Jack jela

Post Image

Mkali wa mchezo wa sarakasi Bongo, Athumani Ford ‘Wabogojo’ anayefanya kazi za sanaa nchini China, amefunguka mambo kadhaa ya mwanamitindo Jacqueline Cliff ambaye amefungwa nchini humo kwa kosa la kukamatwa na madawa ya kulevya. Wabogojo ambaye amekuja Bongo kwa ajili ya mapumziko mafupi, alisema kuwa mrembo huyo anaendelea vizuri sana gerezani na ni mtu ambaye […]

Read More..

Barnaba Unanikimbia Huniwezi – Linex

Post Image

Msanii Linex amempa za uso msanii mwenzake ambaye naye ana sauti tamu ya kuimba Barnaba Clasic, na kusema kuwa anamuogopa kufanya naye kazi kwani kwa vyovyote vile atamfunika. Kwenye ukurasa wake wa instagrama Linex ameandika akimtaka Barnba asikimbie wanapotakiwa kufanya kazi ya pamoja, kwani kila akimwambia anamkimbia. “Mara ngapi wametokea wadau na wakawa tayari kuweka […]

Read More..

Hizi Ndizo Fursa Kumi Alizozitaja Ruge Mut...

Post Image

Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba leo amezitaja  Fursa Kumi kupitia kipindi cha Power Breakfast na Clouds360 cha Clouds Tv. “Kwanza anatakiwa kusikiliza #FursaKumi, lakini pili lazima ajitambue yeye, bila Nyota Ndoto kujua yeye ni mwanamuziki mzuri au ana kipaji cha kuimba leo isingefikia hatua ya msanii Nyota Ndogo kutoka, nadhani kikubwa […]

Read More..

Diamond Afungukia Juu ya Video Yake Ya ‘M...

Post Image

Baada kudaiwa Video yake mpya ‘Make Me Sing’ kufanana na ya Lil Wayne,’Make Me Sing’ Diamond amefunguka haya. ‘’Watu wanashindwa kuelewa kila kitu ambacho kinafanyika katika muziki sasa hivi kwenye videos kwenye kuimba na kila kitu,mashairi vilishafanyika,vilishaimbwa,kushutiwa kama vinafanyika ni marudio lakini kila mtu anarudia kwa namna yake anayoijua yeye kwa sababu ukisema nakupenda watu […]

Read More..

Ni Bora Nitoke na Msukuma Mkokoteni – Ray C

Post Image

Mwanamuziki ambaye alijipatia umaarufu kutokana na uchezaji wake na kupewa jina la kiuno bila mfupa Ray C amefungukana na kusema kwa sasa hataki kabisa kutoka kimapenzi na msanii yoyote au mtu maarufu. Ray C amesema hayo kupitia kipindi cha eNews na kusema toka ameachana na msanii Lord Eyes hajawahi kuingia tena kwenye mahusiano na kudai […]

Read More..

Nilianguka Bahati Mbaya Kama Binadamu-Ray C

Post Image

Msanii maarufu nchini wa muziki wa bongo fleva Rehema Chalamila, amesema watu wasimhukumu kwa hali aliyo nayo sasa kwani alianguka kama binadamu wengine . Ray C ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano katika kipindi cha Planet bongo kinachorushwa na kituo cha EATV . ”Nilianguka bahati mbaya kama binadamu wengine ,nikajitambua sasa nipo vizuri naendelea na maisha […]

Read More..

Nay wa Mitego Awachukulia R/B Wanaomfuatili...

Post Image

MKALI wa Bongo Fleva, ambaye wimbo wake wa ‘Shika Adabu Yako’ umefungiwa na Baraza la Sanaa Nchini (Basata), Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, ameibuka na kudai kwamba ameamua kuchukua R/B kituo kidogo cha polisi ili kuwadhibiti watu anaodai wanamfuatilia kwa nia ya kumtendea mabaya. “Kiukweli sina ugomvi na mtu na hii ni dunia haina siri, […]

Read More..

Alikiba Aeleza Kwanini Hakuweza Kumuoa Mwan...

Post Image

Alikiba ameitaja sababu iliyomfanya ashindwe kumuoa mwanamke yeyote kati ya watatu aliozaa nao.   Hitmaker huyo wa Lupela alikiambia kipindi cha Chill na Sky kuwa hakupenda kulazimisha iwe hivyo. “Unajua hauwezi kumuoa mtu kama hamuelewani. Nia yangu ilikuwa ni kustick na kila mama wa mmoja toka nilipoanza. Lakini mambo yanaenda tofauti, huenda mnagombana anapata mtu […]

Read More..

Mkwanja wa Dili la Voda ni Fifty-Fifty Kati...

Post Image

Wiki kadhaa zilizopita, Diamond Platnumz alisaini mkataba wa mamilioni ya shilingi kuwa balozi wa kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania.   Dili hilo limemfanya muimbaji huyo wa ‘Make Me Sing’ aonekane kwenye matangazo ya TV, yale ya barabarani, kwenye magezeti na vipeperushi vingine pamoja na kusikika kwenye matangazo ya redio. Kwenye tangazo la TV, si […]

Read More..

Maisha Yangu Sasa ni Magumu – Ray C

Post Image

Mwanadada ambaye alifanya vizuri kwenyesekta ya muziki wa bongo fleva Ray C amefunguka na kusema kuwa maisha yake kwa sasa ni magumu. Ray C alisema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa kupitia ting’a namba moja kwa vijana EATV, Ray C amedai kuwa kuna muda mwingine analazimika kuvaa hijabu kujificha ili aweze kupanda daladala na […]

Read More..

Masogange na Wenzako Tumieni Ujana Wenu Viz...

Post Image

KWAKO Agness Gerald ‘Masogange’ pamoja na wenzako wengi ambao baadhi yao nitawataja kwa majina hapo chini. Nawasalimu katika jina la Bwana, vipi mko poa? Mnajionaje na hali? Mishe zenu zinakwenda kama kawaida? Mkitaka kujua afya yangu, mimi namshukuru Mungu. Naendelea vizuri. Nazidi kupambana ndani ya huu mjengo mkubwa wa Magazeti Pendwa Tanzania, Global Publishers Ltd. […]

Read More..