-->

Tag Archives: WEMA

Wema Sepetu Kujifungua Mwezi August

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu anatarajia kujifungua mwezi August 2016, kwa mujibu wa mpenzi wake Idris Sultan.   Akizungumza katika kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM Jumanne hii, Idris alisema mpenzi wake huyo anatarajia kupata mtoto baada ya miezi 6 au 7 hali ambayo imetafsiriwa na wadau wa mambo kuwa huenda mwanadada huyo akawa […]

Read More..

Wema Aanza Mazoezi ya Kulea Mtoto

Post Image

Habari ya mjini kwa sasa ni ujauzito wa Wema Isaac Sepetu ambapo inadaiwa kuwa ameanza mazoezi ya kumlea mtoto wake mtarajiwa. Kwa mujibu wa shosti wake wa karibu, kwa sasa Wema ameongeza urafiki kwa akina mama wenye watoto wachanga ili kuchukua ‘maujuzi’ ya namna ya kuwa mama bora kwa mwanaye mtarajiwa. “Yaani ukitaka kujua Madam […]

Read More..

Idris Athibitisha Kumpa Wema Ujauzito

Post Image

Mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2015 Idris Sulta, athibitisha kumpa ujauzito mlimbwende amabaye hakauki vinywani mwa watu kutokana na umaarufu wake na urembo wake Wema Sepetu, huku akijivunia kuwa na mwanamke huyo maishani mwake. Katika ukurasa wake wa Instagram Idris Sultan ameandika maneno ambayo yanaashiria wazi mlimbwende huyo ambaye pia anafanya vizuri runingani […]

Read More..

Wema Adai Kuwa Kajala ni Mtu Mzima Fulani ...

Post Image

Wema Sepetu amesema hataki tena kuwa karibu na rafiki yake wa zamani Kajala Masanja kwa madai alishindwa kumtafuta na kumuomba msamaha kwa makosa aliyoyafanya.   Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV, Wema alisema Kajala kwa sasa anamchukulia kama mtu asiyemfahamu. “Mimi mtu ambaye sitaki kujiassociate naye namtoa kabisa ndio maana naweza nikakaa […]

Read More..

Wema Sepetu Awafunda Wabunifu Chipukizi

Post Image

MISS Tanzania 2006, ambaye pia ni mwigizaji wa filamu za bongo, Wema Sepetu, amewataka wabunifu chipukizi wa mavazi na mitindo nchini walitumie vizuri jukwaa la mitindo la Lady In Red Fashion Show 2016, ili wafikie malengo waliyojiwekea. Wema alitoa rai hiyo alipokuwa akizungumza nao kuhusiana na onyesho litakalofanyika Januari 31, katika ukumbi wa Danken House, […]

Read More..

Vita Kali ya Maneno Mtandaoni Kati ya Zari ...

Post Image

Ni muendelezo wa vita ya maneno isiyoisha kati ya anayejiita Zari The Bosslady na wa kuitwa Tanzanians sweetheart Wema Sepetu. Vita hiyo imeendelea leo kwa Zari kuanza kumtupia mafumbo mwenzie Wema,wapambe wa Wema wakacharuka na kumuita boss wao Wema ambaye alitaharuki na kuuliza kipi kinachoendelea? Ndipo mpambe wake anayejiita wemareplies alipomuwekea screen shot ya aliyoyasema […]

Read More..

Picha: Ukaribu wa Wema na Idris Wazua Gumzo...

Post Image

Mbali na ukweli kuwa Wema Sepetu na Idris Sultan ni marafiki tangu zamani, hali imekuwa tofauti kwa hivi sasa ambapo baadhi ya mashabikibi wamekuwa wakiutilia shaka ukaribu wao wakidai kuwa umevuka mipaka na kuwahisi kuwa ni wapenzi. Mbali na madai kuwa Idris amekuwa akiweka kambi nyumbani kwa wema, Posti za Wema Sepetu kwenye mtandao wa […]

Read More..

Wema Sepetu: Sina Mpango wa Kuzaa

Post Image

Katika page yake ya instagram, staa mrembo Wema Sepetu aka Madame amewataka wote wanaompigia kelele kuhusu kuzaa mtoto wamkome, kwani hana mpango huo kwa sasa. Hiki ndicho alicho kiposti By Warumi on JF

Read More..

Wema Sepetu Amrushia kijembe Diamond!

Post Image

SIMBA! Kufuatia lile sakata la jina la mnyama Simba ambapo Diamond amekuwa akijiita jina hilo siku za hivi karibuni na msanii  Mr Blue kudai kuwa alilianzisha yeye kujiita simba huku mkongwe Afande Sele akisisitiza yeye ndiyo samba dume, mastaa wengi wa hapa bongo wamekuwa  wakijiita majina ya wanyama ikiwa ni namna moja ya kuchombeza sakata […]

Read More..

Hapa Ndipo Utakapomuona Wema Septu Akipika ...

Post Image

Kwa mara ya kwanza kama unataka kumshuhudia staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu akifanya yake jikoni basi utamuona hapa. “This week ntakua Jikoni na my Dada Marion- Alhamis 24th December at 7pm Dstv Maisha Magic Bongo (Channel 160). An Exclusive Interview and Cooking section”-Wema ameandika kwenye ukurasa wake mtandaoni baada ya kutupia picha hizi […]

Read More..

Wema Atimuliwa Kwenye Nyumba

Post Image

UFALME umeanguka! Unaweza kusema hivyo! Hatimaye Miss Tanzania 2006, aliye pia staa wa filamu za Bongo, Wema Isaac Sepetu amedaiwa kutimuliwa kwenye nyumba ambayo alipanga kwa mbwembwe na kualika waandishi wa habari ili watoe ‘nyuzi’ hewani, akidai ni yake kwa kuinunua kwa shilingi milioni 280, fuatana na Ijumaa Wikienda. Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, […]

Read More..

TANESCO Wataja Deni la Wema Sepetu Kufuatia...

Post Image

Shirika la Umeme nchini (TANESCO) limemkaba koo staa maarufu wa Bongo Movies , Wema Sepetu baada ya kubainika kutumia nishati ya umeme kwa njia zisizo halali. Hivi karibuni TANESCO walifanya ziara ya kushtukiza kwenye nyumba yake na kubaini kuwa muigizaji huyo anatumia umeme wao bure! Jana Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Eng. Felichesmi Mramba alizungumza na […]

Read More..

JB: Chungu cha Tatu ni Filamu Ghali Zaidi

Post Image

  MSANII wa filamu nchini, Jacob Stephen ‘JB’, amesema kuwa filamu yake mpya ya Chungu cha tatu aliyomshirikisha mwanadada Wema Sepetu imetumia gharama kubwa zaidi kuliko filamu zote zilizotengenezwa chini ya kampuni yake ya Jerusalem. Akizungumza na MTANZANIA juzi, JB alisema ametumia gharama kubwa katika kufanikisha kuitengeneza filamu hiyo. “Nikisema nitaje gharama iliyotumika na niliyowalipa […]

Read More..