-->

Category Archives: BongoFleva

Hofu ya Kupotezwa na WCB Ilivyomtesa Harmon...

Post Image

Msanii kutoka lebo ya WCB Wasafi, Harmonize amefunguka na kudai alipata hofu ya kufanyiwa fitina kwenye muziki baada ya uongozi wake kumtaka kuachia wimbo wake mpya kupitia mtandao ulioanzishwa na lebo hiyo. Harmonize amefunguka katika Planet Bongo na kusema kuwa uongozi wake ulipomtaka kumtanguliza kama chambo alidhani wamedhamiria kumpoteza katika ramani ya muziki ndiyo maana […]

Read More..

Snura: Sitaki Wanangu Wanifuate

Post Image

STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi amefunguka kuwa licha ya uanamuziki wake, kamwe hawezi kuwaruhusu wanawe wawe wanamuziki kwani havutiwi na changamoto zilizomo. Akipiga stori na Risasi Vibes, Snura ambaye ana watoto wawili, alisema matarajio yake ni kuona watoto wake wakitafuta kazi nyingine kwani wakiwa fani tofauti watakuwa msaada mkubwa kwake. “Nafanya muziki […]

Read More..

Jay Dee Ataja Kinachomfanya Aendelee Kuwa B...

Post Image

Mwanamuziki Lady Jay Dee kutoka Tanzania amesema kitendo cha yeye kuto-lewa sifa ndiyo kimemfanya kuendelea ku-hit katika soko la muziki ndani na nje ya nchi mpaka sasa. Msanii huyo amedai kuwa hiyo ndiyo siri pekee iliyomfanya aweze kupita katika vipindi vyote vigumu mpaka leo hii bado yupo katika soko na kuendelea kufanya vizuri kila leo akiachia […]

Read More..

Snura: Natamani Nimrudie Mungu

Post Image

MSANII aliyetamba na wimbo wa Chura, Snura Mushi, amesema malengo yake makubwa ni kumrejea Mungu kabla hajaaga dunia. Snura alisema imani yake ni kwamba mambo ya dunia yana mwisho wake, hivyo kuamua kuwa mlezi wa madrasa aliyoachiwa na marehemu babu yake iliyopo Yombo Vituka, kama njia ya kumrudia Mungu. “Najitahidi kufanya kazi kwa bidii na […]

Read More..

Shilole Awafungukia Wanaomuhusisha na Nuh M...

Post Image

Msanii wa bongo fleva nchini Tanzania Shilole ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake mpya ”Hatutoi kiki’ amewataka watu kuacha tabia ya kuendelea kumzushia vitu ambavyo sio vya kweli baina yake na Nuh Mziwanda. Hayo yamekuja baada ya kuzagaa kwa picha zinazowaonesha wakiwa pamoja katika mapozi ya kimapenzi jambo ambalo Shishi amesema siyo la kweli […]

Read More..

Wasafi.com ni Mtego kwa Mastaa Bongo

Post Image

AGOSTI 2, 2016 staa mwenye jina kubwa ulimwenguni Shawn Carter ‘Jay Z’ alitimiza malengo yake ya muda mrefu kwa kuwa msanii wa kwanza duniani kumiliki mtandao ambao umewawezesha waandishi wa muziki na wanamuziki mastaa wakubwa duniani kufaidika na jasho lao kwa kuuza kazi zao za audio na video kwa mashabiki wao duniani kote. Mtandao huo […]

Read More..

Harmonize: Sijui Kama Diamond Aliwahi Kuwa ...

Post Image

Harmonize ameendelea kusisitiza msimamo wake kuwa hajawahi kusikia kama Diamond na mpenzi wake Jacqueline Wolper waliwahi kuwa na mahusiano. Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, muimbaji huyo amekana kabisa kuwahi kusikia kama mpenzi wake huyo alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na bosi wake ambaye ni hitmaker wa Marry You. “I don’t know […]

Read More..

Mh. Temba: Sijawahi Kubebwa na Chege

Post Image

Msanii wa bongo fleva Temba amesema maneno yanayoongelewa kwamba anabebwa kimuziki na msanii mwenzake Chege hali inayompelekea ashindwe kuachia nyimbo kwa muda mrefu hayana ukweli wowote. Akiongea kupitia eNewz ya EATV, Temba amesema kuna biashara alikuwa anafanya na mtu iliyokuwa inahusiana na muziki ambayo mwisho wake aliyekuwa anafanya naye biashara alimizimia simu na kumkimbia hali iliyopelekea kushindwa […]

Read More..

Alikiba Kuweka Muziki Wake Wasafi.com, Sawa...

Post Image

Kwa takribani miaka mitatu sasa mafahari wawili wa muziki wa kizazi kipya yaani Bongo Flava Alikiba na Diamond Platinumz wamekuwa katika bifu zito sana, licha ya wao kujaribu kila siku kuukwepa ukweli huo. Hakuna kati yao ambaye amewahi kujitokeza hadharani na kukiri uhasama kati yao lakini ni wazi kuwa watu hawa hawapikiki chungu kimoja. Mara […]

Read More..

Wasanii Mmemsikia Rais Magufuli?

Post Image

WENYE kupenda kulalamika, wataendelea kulalamika kuwa sanaa ya Bongo hailipi. Hata hivyo ukiwauliza sababu, watakutajia za ajabuajabu tu. Wasanii wa kweli, wenye kushughulisha bongo zao, wenye kuzidisha ubunifu, hawalalamiki badala yake wanaendelea kupiga kazi kwa nguvu zaidi. Mafanikio yao yanaonekana. Kwa mfano hapa Bongo, tunawaona zaidi wasanii wa Bongo Fleva na Bongo Muvi wakichuana kwa […]

Read More..

Video: Professor Jay – Kibabe

Post Image

Mbunge wa jimbo la Mikumi na msanii mkongwe wa Bongo fleva Joseph Haule a.k.a Professor Jay ameachia video yake mpya wimbo unaitwa “Kibabe”. Video imeongozwa na Hanscana.

Read More..

Dakika 10 na Idris Sultan

Post Image

Inawezekana ukamchukulia poa lakini mshindi wa Big Brother Africa – Hotshots, Idris Sultan yupo makini sana linapokuja suala la uhusiano wa kimapenzi licha ya kwamba maisha yake ya upande huo yana ajali nyingi. Idris ambaye ni mchangamfu na mchekeshaji ukiwa naye, amefunguka mengi kuhusu maisha yake. Mazungumzo yake ya dakika 10 na Starehe, ameelezea kuhusu […]

Read More..

VIDEO: Bill Nass Afunguka Haya Kuhusu Diamo...

Post Image

Rapa Bill Nas ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Mazoea’ aliomshirikisha rapa mkongwe katika muziki wa bongo Mwana FA amefunguka na kusema katika mapinduzi ya video za Bongo fleva ambazo zilileta tija katika muziki wetu ipo video ya Diamond. Bill Nass alisema hayo kupitia kipindi cha Nga’z Kwa Nga’z. Tazama video hii akinyoosha maelezo.

Read More..

AT Amtaka Tundaman Kuhamia Kwenye ‘Mauno’

Post Image

Mfalme wa miduara nchini Tanzania AT ambaye kwa sasa anatamba na ngoma mpya yenye mahadhi tofauti na mduara inayokwenda kwa jina la ‘Sili feel’, amemtaka msanii Tundaman kuanza kucheza ‘mauno’(dansi) ili aweze kupata ‘kiki’ mjini. Hayo yameibuka baada ya Tundaman kulalamikia vyombo vya habari pamoja na blog kuwapa ‘promo’ nyingi wasanii ambao hawana sifa stahiki huku […]

Read More..

Harmonize: Mapenzi Yetu na Wolper Sio ya Ki...

Post Image

Harmonize amefunguka kuwa ni kweli waligombana na mpenzi wake Jacqueline Wolper na haikuwa kiki kama watu wanavyofikiria. Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumatano hii, kuna baadhi ya vitu vilisababisha wagombane lakini kwa sasa kila kitu kinaenda sawa. “Kuna vitu vilitokea tukajikuta hatuko sawa, lakini Mungu ndio mwenye kheri tukawa tupo pamoja […]

Read More..

Barnaba: Bora Tuibiwe na Diamond

Post Image

Barnaba amedai kuwa ni bora fedha zao za muziki ziibiwe na Diamond kupitia tovuti yake ya kuuza muziki ya Wasafi.com kuliko watu wengine. Muimbaji huyo ameiambia Dizzim Online, “Tumeibiwa sana wasanii, tumedhulumiwa sana. Mungu anisamehe kidogo, bora atuibie msanii mwenzetu, tunajua msanii mwenzetu anakula yupo kwenye soko letu kuliko atuibie mtu binafsi.” “Na yeye akiwa […]

Read More..

Wakali Watano wa Prof. Jay Hawa Hapa

Post Image

Rapa mkongwe na Mbunge wa jimbo la Mikumi Mhe. Prof. Jay amefunguka na kutaja wasanii wake watano wa hip hop Bongo ambao anawakubali na kusema wasanii hao ndiyo wamejenga msingi na kutengeneza njia kwa wasanii wa sasa. Prof. Jay akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio aliwataja wasanii hao kuwa ni pamoja […]

Read More..

Dayna: Simchukii Baba Watoto Wangu

Post Image

NYOTA wa Bongo Fleva, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ amesema licha ya mambo mengi kutokea katika uhusiano wake na mwanaume aliyezaa naye mtoto wa kike, hawezi kumchukia hata mara moja. Akichonga na Risasi Vibes, Dayna alikiri kutokuwa na mawasiliano kabisa na baba mtoto wake huyo anayedaiwa kuwa yupo Afrika Kusini, lakini ikitokea wakakutana na kumtaka mwanaye, […]

Read More..