-->

Monthly Archives: April 2016

Juma Nature Niache Kwanza -KR Muller

Post Image

Msanii Mkongwe wa Bongo Fleva ambaye kwa sasa anajitambulisha kama Rais wa Rader Enteternment rapper KR Muller amemuambia msanii mwenzake mkongwe Juma Nature amuache kwanza afanye mambo yake. KR ameyasema hayo alipokuwa akiongea na eNews ya EATV kuhusiana na ushauri aliopewa na rafiki yake ambaye waliimba wote katika kundi la TMK Wanaume family Juma Nature […]

Read More..

Video ya NdiNdiNdi imemrudisha Jide kwa Cam...

Post Image

Baada ya miaka 10 ya kufanyakazi na muongozaji wa video Justin Campos, Komando Jide au Lady Jaydee amerudi tena kwake kufanyanaye kazi, kutengeneza video ya wimbo wake wa #NdiNdiNdi Taarifa hiyo ya kufanyakazi na Justin Campos ameitoa Lady Jaydee mwenyewe kwenye ukurasa wake wa Instagram, baada ya kupost video ikimuonyesha Justin Campos akisema ni heshima […]

Read More..

Nikikutana na Nay wa Mitego sina time naye,...

Post Image

Shamsa Ford na Nay wa Mitego ni pua na moshi. Shamsa Ford amesema akikutana na Nay wa Mitego hawezi salimiana naye kutokana na mambo ambayo walifanyiana. Mwigizaji huo wa filamu aliwahi kukiri kwamba hawezi toka tena kimapenzi na staa, ikiwa ni muda mchache toka aachane na Nay wa Mitego. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Shamsa […]

Read More..

Chidi Benz Atimiza Mwezi Sober House, Adai ...

Post Image

“Sina mengi ya kuongea, niko sawa, nipo okay, niko fresh na msaada naupata,” anasema Chidi Benz kwenye video iliyowekwa kwenye Instagram na Kalapina. Rapper huyo anatimiza mwezi tangu aingie sober house. Kuna mabadiliko makubwa katika muonekano wake ukilinganisha na jinsi alivyokuwa wakati akiingia. Afya yake ilikuwa imedhoofika kwa kiasi kikubwa na kuwatisha watu wengi hadi […]

Read More..

TRA Yakamata DVD Bandia Zenye Thamani ya Bi...

Post Image

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata CD na DVD 650,000 zenye thamani ya Sh bilioni moja kwa ukwepaji wa kodi. Pia katika zoezi hilo mitambo 47 ya kudurufu CD na DVD pamoja na kompyuta nne zimekamatwa. Mkurugenzi wa Huduma na Elimu ya Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo, alisema bidhaa hizo zilipatikana baada ya  kuwepo […]

Read More..

Huku Mitaani ni Shidaa Tajiri Mfupi Tajiri...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu Hussein Khamis ‘Chodo’ amefunguka kwa kusema kuwa kwa sasa anajikuta yupo katika wakati mgumu sana kutokana umaarufu aliopata baada ya kuigiza kama mwigizaji kinara katika filamu ya Tajiri mfupi kutikisa. “Sitaki kuwa na mpenzi sijui demu kwa sasa na kama nitataka kuwa hivyo nitaoa kwa kufuata taratibu za kidini utaratibu unajulikana, wengi […]

Read More..

Gigy Money Amtolea Mapovu Nay wa Mitego

Post Image

Mrembo anayefanya poa kwenye video za wasanii wa Bongo kama video model Gigy Money, amempa za uso msanii Ney wa Mitego na kumuita mpumbavu asiyejitambua ni nani, baada ya kumtapeli pesa yake. Gigy Money ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, na kusema kuwa kama msanii hawezi kuwaimba […]

Read More..

Aunt Afungukia Kuachana na Moses Iyobo

Post Image

KUFUTAIA kuwepo kwa taarifa kuwa Mwigizaji Aunt Ezekiel amempiga chini mpenzi wake Moses Iyobo, mrembo huyo ameibuka na kusema taarifa hizo hazina ukweli. Akizungumza na paparazi wetu, Aunt alisema madai hayo ya kuachana na mpenzi wake huyo yanatengenezwa na watu wake wa karibu hivyo akijiridhisha, atawatumbua. “Wanaowaza kuwa mimi na Mose tunatarajia kugombana leo au […]

Read More..

Sikumjua Nay mtu wa aina gani – Shamsa Ford

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford amefunguka na kusema kuwa moja ya sababu yeye kuachana na mpenzi wake Nay wa Mitego ni kutokana na ukweli kwamba yeye hakutambua toka mwanzo kuwa msanii huyo ni mtu wa namna gani.   Akizungumza kwenye kipindi cha Enews Shamsa Ford anasema wakati anaanza kutoka na Nay wa Mitego hakutambua […]

Read More..

Binti Miaka 19 Awa Gumzo Kazi ya Mochwari

Post Image

Sabrina Gharib, binti mwenye miaka 19 anayefanya kazi kwa vitendo kimasomo  kwenye Mochwari  ya Hospitali ya Rufaa ya Tumbi Kibaha mkoani Pwani, amekuwa gumzo kwa watu wanaokwenda kuchukua miili ya wapendwa wao hospitalini hapo, Uwazi limeibuka naye. “Tulipokwenda kuchukua mwili wa mpendwa wetu Tumbi, tulisikia watu wakimzungumzia msichana mdogo anayehudumia maiti. Kwanza sikuamini lakini nilimuona […]

Read More..

Harmonize Afungukia Maumivu ya Mahusiano, A...

Post Image

Msanii wa bongo flava Harmonize anayetamba na wimbo “Bado’ ameshangazwa na namna ambavyo Msanii Diamond Platnumz anavyoweza kuhimili maumivu ya kimapenzi. Akizungumza katika kipindi  enewz cha EATV amesema kuwa suala la mapenzi linaendana kabisa na maisha ya mtu mwenyewe na yeye hana uwezo wa kuhimili maumivu ya kimapenzi. “Diamond sijui ana uwezo gani wa kuhimili […]

Read More..

Aunt Ajinasua kwa JPM

Post Image

Hatimaye staa wa Bongo Muvi, Aunt Ezekiel Grayson amefanya kila liwezekanalo na kujinasua mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.John Pombe Magufuli ‘JPM’ kwa kukomboa gari lake aina ya Audi lililokuwa limeshikiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushindwa kulipa kodi. Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa mbwembwe kibao wikiendi iliyopita, Aunt […]

Read More..

Rais Magufuli Amfuta Kazi Mkurugenzi wa Jij...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Dk. John Magufuli ametangaza kumfuta kazi Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam,Wilson Kabwe. Hatua ya kumfuta kazi Mkurugenzi huyo imefuata baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kumwambia Rais Magufuli wakati wa Uzinduzi wa Uzinduzi wa Daraja la Kigamboni, kuwa Mkurugenzi wa […]

Read More..

Kajala Ashtukia Uwekezaji

Post Image

KAJALA Masanja amewasihi mastaa wenzake wajifunze kuwekeza hela wanazopata kwa kuwa kuna kipindi kitafika ustaa utaisha na kutakuwa hakuna kitu kingine cha kuwaingizia kipato. Kajala ambaye analitendea haki soko la filamu Bongo, alisema kila mtu atumie wakati wake sasa,” alisema Kajala. amepata wazo hilo hivyo ameona ni vyema akawatonya na wenzake maana amewaona watu wengi […]

Read More..

Mzee Yussuf Awataka Ali Kiba na Diamond Waz...

Post Image

Mzee Yussuf ni miongoni mwa wasanii ambao hawaamini kama Diamond na Ali Kiba wana beef kutokana na wawili hao kutokutana pamoja na kuonyesha tofauti zao. Akizungumza na Bongo5 Jumamosi hii, Mzee Yussuf amesema beef ya Diamond na Ali Kiba zinakuzwa na mashabiki lakini sio beef kweli. “Mimi Ali Kiba na Diamond sidhani kama wana beef […]

Read More..

Ommy Dimpozi Alinisumbua Sana- AliKiba

Post Image

Msanii Alikiba amefunguka na kusema msanii Ommy Dimpoz alimsumbua sana ili kufanya naye ‘Collabo’ japo anasema alikuwa anamsumbua kwa namna nzuri na si mbaya kwani lengo lake lilikuwa ni kufanya kazi na yeye. Akiongea na East Africa Radio Alikiba alidai kuwa ilimchukua takribani mwezi mmoja kama si miwili ili kufanya kazi hiyo na Ommy Dimpoz […]

Read More..

Baba Haji: Ni Mwendo wa Kutoa Vipaji Tu!

Post Image

HAJI Adam ‘ Baba Haji’ anasema kuwa elimu yake ya Sanaa aliyosoma anaitumie kwa kuwasaidia wasanii wenzake na kuwatia moyo kuwa wana nafasi ya kuweza kujiunga na vyuo vya sanaa endepo watatenga muda na kujigawa kwa ajili ya kujiendeleza zaidi kitaaluma. “Nimekuwa mwalimu mzuri kila ninapokutana na wasanii chipukizi hata wakubwa kujaribu kuwagawia kile nilichojariwa […]

Read More..

Young Killer Aizungumzia Picha Yake na Diam...

Post Image

Picha aliyoiweka rapa Young Killer kwenye ukurasa wake wa instagram akiwa na Diamond, imezua maswali kadhaa ya matumaini miongoni mwa mashabiki wake. Rapa huyo wa Mwanza amepost picha akiwa na Diamond Plutnumz na kuandika: Hakuna mtu aliye zaliwa ili aje awe maskini (ndiyo ) unaweza ukawa umezaliwa kwenye familia maskini ila ukweli ni kwamba hujazaliwa […]

Read More..