-->

Monthly Archives: April 2016

Juma Nature Amuonya KR Kuhusu Kubwia ‘Unga’

Post Image

Kwenye mahojiano ya mwisho kati ya KR Mulla na eNewz, KR alijitambulisha kama Raisi wa Radar Entertainment, ambayo inamilikiwa na TID, na siku za karibuni TID na KR wameonekana kuwa marafiki ukiachilia mbali kufanya kazi pamoja ndani ya Radar Entertainment. Juma Nature ambaye aliwahi kufanya muziki ndani ya kundi la Wanaume Family pamoja na KR […]

Read More..

Riyama Awapa Makavu Wanaoponda Mahusianio Y...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Riyama Ally ambaye siku za karibuni ametolewa mahali na msanii wa muziki wa kizazi kipya Leo Mysterio amevunja ukimya kwa watu ambao wamekuwa wakisema kuwa anatoka na dogodogo huyo. Riyama amesema kuwa wanataka atoke na mzee ndiyo wamuone kuwa ana heshima. Kupitia kipindi cha eNEWS kinachorushwa na EATV Riyama amesema kuwa […]

Read More..

Miaka 4 ya Kifo cha Kanumba, Hii Ndiyo Hali...

Post Image

Hii ndiyo hali halisi! Ikiwa leo ni siku ya kumbukumbu ya kifo cha aliyekuwa staa wa filamu Bongo, Steven Charles Kanumba ambapo ametimiza miaka minne kaburini, mambo mbalimbali yametokea tangu alipofariki dunia huku magari na kampuni aliyokuwa akimiliki vikiwa vimepukutika kama majani. Kanumba alifariki dunia Aprili 7, 2012 maeneo ya Vatcan-Sinza jijini Dar nyumbani kwake […]

Read More..

Wastara, Hili la Ndoa Inabidi Ujifunze!

Post Image

KWAKO mwigizaji wa kitambo Bongo Muvi, Wastara Juma. Habari za kazi? Unaendeleaje na shughuli zako za kila siku? Binafsi namshukuru Mungu. Sijambo. Naendelea kupambana. Nimekukumbuka leo kwa barua, maana kitambo kidogo hatujaonana laivu. Nakumbuka mara ya mwisho tulikutana nyumbani kwako, Tabata. Tukazungumza mengi, lakini hiyo ilikuwa yapata zaidi ya miaka minne iliyopita. Dhumuni la barua […]

Read More..

Filamu ya Tanzania Kuonyeshwa Tamasha la Ma...

Post Image

BAADA ya mafanikio makubwa iliyopata filamu ya ‘Aisha’ ilipoonyeshwa kumbi mbalimbali ikiwemo Nafasi Artspace na Pangani, filamu hiyo imechaguliwa kwa ajili ya kuonyeshwa katika tamasha la kimataifa la filamu la New African Films litakalofanyika Washington D.C. nchini Marekani, mwaka huu. Pia filamu hiyo imechaguliwa kuonyeshwa katika tamasha la kimataifa la filamu duniani katika maeneo manne mashuhuri […]

Read More..

Rais wa Shirikisho la Filamu Asema Haya Kuh...

Post Image

Baada miaka ya hivi karibuni kuibuka kwa wasanii wengi wa muziki kuhusishwa na matumizi ya Madawa ya kulevya, Rais wa Shirikisho la Filamu ‘TAFF’ Simon Mwakifwamba wamewapongeza wasanii wa filamu kwa kutokujihusisha na matumizi ya Madawa ya kulevya. Akizungumza na Clouds FM Jumanne hii, Mwakifwamba amesema kuwa hakuna msanii wa tasnia hiyo anajihusisha na utumiaji […]

Read More..

Hivi Ndivyo Irene Uwoya Alivyojifungua Kwa ...

Post Image

Msanii wa filamu Irene Uwoya amesema hakupenda kabisa kujifungua kwa upasuaji lakini ilimbidi afanye hivyo ili kuokoa maisha yake pamoja naya mwanaye.   Muigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwae Krish, amekiambia kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa wakati anaelekea hospitali kucheki afya yake na maendeleo ya mimba yake, hakujua kama ndio siku […]

Read More..

Dudu Baya Amuomba Radhi Shetta

Post Image

Msanii Dudu baya ambaye alikuwa na ugomvi na msanii mwenzake Sheta, na kumtolea maneno machafu kwenye kipande cha video kilichosambaa kwenye mitandao ya kijamii, amemuomba msamaha msanii huyo na kumtaka kuwe na amani kati yao. Kwenye ukurasa wake wa instagram Dudu Baya amepost picha ya Sheta huku akiandika ujumbe mrefu wa kumuomba radhi msanii huyo. […]

Read More..

Hii Ndiyo Mipango ya Diamond kwa Mwaka Huu

Post Image

Pamoja na kuwa tumekuwa tukimshuhudia Diamond Platnumz akitangaza kolabo na wasanii wa kutoka Marekani lakini hakuna hata moja tuliyoona hata cover yake,mwaka jana rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete alimuunganisha Diamond na meneja wa Trey Song na ikasema kuwa kuna kolabo itafuta hiyo ni mbali na Swizz Beats,Alicia Keys,Alaine,Kanye West na wengine,na hivi karibuni […]

Read More..

Babu Yake Wastara Aeleza kilichosababisha N...

Post Image

Babu yake Wastara amefunguka na kueleza kilichosababisha kuvunjia kwa ndoa ya Wastara na Mbunge wa Donge kupitia CCM Sadifa Khamis Juma. Akizungumza na Times Fm, Babu huyo aliweka bayana kuwa Mbunge huyo mwenye cheo ndani ya umoja wa vijana CCM, alifikia hatua ya kuwatongoza wafanyakazi wa ndani ili awe nao kimapenzi. “Wastara hataki kurudiana na […]

Read More..

Gadner G Habash Arejea Clouds FM

Post Image

Mtangazaji mkongwe nchini, Gadner G Habash, amerejea tena kwenye kituo chake cha awali, Clouds FM. Gadner anajiunga tena na redio hiyo akitokea EFM alikokuwa akifanya kipindi cha jioni cha Ubaoni. Kabla ya EFM, Gadner alikuwa mtangazaji wa kipindi cha Maskani cha Times FM. Mtangazaji huyo anatarajiwa kurejea kwenye kipindi chake cha jioni, Jahazi. Mtangazaji huyo […]

Read More..

Picha: Wasanii wa Kundi la Elephant na New ...

Post Image

Wasanii wa kundi la Elephant na New Brain wakitoa sadaka katika kituo cha watoto waishio katika mazingira magumu Magomeni Mikumi. wakiongozwa na kampuni ya Steps Entertainment kwaajili ya uzinduzi wa filamu mpya ya QUEEN ELIZABETH.

Read More..

Nuh Mizwanda Atoboa Alichokuwa Akikifanya k...

Post Image

Aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Shilole, Nuh Mziwanda amedai wakati yupo kwa Shilole alikuwa hafanyi muziki bali alikuwa akifanya mapenzi.   Akizungumza katika kipindi cha Clouds E, Jamatatu hii, Nuh alisema hali hiyo ilimfanya apotee kimuziki na kukiki zaidi kimapenzi. “Kwa Shilole nilikuwa nikifanya mapenzi sio muziki, ndio maana ukaona kwenye upande wa muziki sikuwa […]

Read More..

Filamu ya Baba na Mwana ni Kali Sana – Ki...

Post Image

KINYE Mkali mkurugenzi wa Kinye Mkali Picters amejisifia kuwa filamu yake ya Baba na Mwana ni sinema ya kipekee na haina mfano wake kwani ni kazi ambayo ameifanya kwa umakini mkubwa na itasambazwa na kampuni hiyo nchi nzima. “Kila siku tunajitahidi kufanya kitu kilicho bora zaidi hasa katika masuala ya burudani na elimu kwa jamii, […]

Read More..

Mzee Kambi Kuachia Filamu ‘Dar to Washing...

Post Image

Msanii wa filamu, Hashim Kambi amesema filamu yake mpya ‘Dar to Washington DC’ ambayo ilikuwa ikiandaliwa nchini Marekani huku ikishirikisha wasanii wa Tanzania na Marekani imekamilika. Mwigizaji huyo ambaye bado jupo nchini Marekani, ameuambia mtandao wa Filamucentral kuwa, yupo mbioni kurudi Dar baada ya kukamilisha kazi hiyo. “Ni zaidi ya mwezi mmoja sasa tumemaliza kushoot […]

Read More..

Wake Zangu Wananivuruga Akili-Mzee Yussuf

Post Image

Mkurugenzi wa Kundi la Jahazi Modern Taarabu, Mzee Yussuf amesema hakuna kitu kinamuumiza kichwa kama kutoelewana kwa wake zake wawili.   Akizungumza katika kipindi cha Sporah Show cha Clouds TV, Mzee Yussuf amesema anapitia wakati mgumu sana kuwamiliki wake wawili anaowapenda wakati wao hawapendani. “Kusema kweli napata wakati mgumu kuwahandle, yanii linanivuruga sana hili swala,” […]

Read More..

Wananiroga Sana – PNC

Post Image

Msanii PNC ametoa sababu ya yeye kutofanya vizuri sasa hivi kwenye kona ya muziki, huku akihusisha imani za kishirikina, ambazo hivi karibuni baadhi ya wasanii wamekiri kuwepo kwa mambo hayo. PNC ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, na kusema kuwa pamoja na kuwa ameshawahi kufanya kazi zingine […]

Read More..

Je ni Kweli Video hii ya Wema Sepetu Imeuvu...

Post Image

Mara baada ya video ya Wema Sepetu aki-kiss na jamaa mwingime kusambaa mtandaoni, mshindi wa Big Brother Africa 2014, Idris Sultan ambaye anadaiwa kuwa bado yupo kwenye mahusiano na Wema sepetu inasemekana kuwa video hiyo imemuumiza sana moyo.     Idris amepost picha hiyo chini kwenye mtandao wa Instagram na kuandika: “I have learnt to consider […]

Read More..