Juma Nature Amuonya KR Kuhusu Kubwia ‘Unga’
Kwenye mahojiano ya mwisho kati ya KR Mulla na eNewz, KR alijitambulisha kama Raisi wa Radar Entertainment, ambayo inamilikiwa na TID, na siku za karibuni TID na KR wameonekana kuwa marafiki ukiachilia mbali kufanya kazi pamoja ndani ya Radar Entertainment. Juma Nature ambaye aliwahi kufanya muziki ndani ya kundi la Wanaume Family pamoja na KR […]
Read More..





