-->

Daily Archives: July 24, 2016

Jini Kabula Atibuliwa Penzi na Kocha wa Yan...

Post Image

Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ na Kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Stori: Gabriel Ng’osha, Ijumaa Dar es Salaam: Uhusiano wa sasa wa msanii wa filamu na muziki Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ na mwanaume wake umetibuliwa na Kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm baada ya hivi karibuni kukutana naye maeneo ya […]

Read More..

Ujumbe Huu wa Diamond kwa Bintiye Wasababis...

Post Image

Diamond Platnumz si mgeni kwenye jumbe tata kwenye mitandao ya kijamii. Lakini ujumbe wake mpya kwa bintiye, Tiffah umesababisha mjadala mkubwa. Akiweka picha ya binti yake huyo ambaye mwezi ujao anatimiza mwaka mmoja, Diamond aliandika: Buff day Girl! my little Pumpkin? My Miss World ? @princess_tiffah kua mama, nikupe Raha ya Dunia na ujifaidie Ustar […]

Read More..

Wolper Arejea CCM

Post Image

Wolper akitangaza sababu za kurejea CCM. Wolper akiongea na Mwenyekiti Mstaafu Mhe. Jakaya Kikwete. Wolper akiongea wakati wa hafla ya wasanii ya kumuaga Mwenyekiti Mstaafu Mhe. Jakaya Kikwete. Na Leonard Msigwa/GPL MWANADADA gumzo kwenye tansia ya Bongo Movie nchini, Jacqueline Wolper hatimaye jana ametangaza rasmi kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wolper ambaye alikuwa kada wa […]

Read More..