-->

Daily Archives: July 22, 2016

Tanzia: Mchekeshaji Kundambanda Afariki Dun...

Post Image

Mchekeshaji Ismail Issa Makombe ‘Kundambanda’ amefariki dunia usiku wa kuamkia Ijumaa hii baada ya kusumbuliwa na matatizo ya tumbo kwa muda mrefu. Mwigizaji huyo ambaye pia aligombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, amekutwa na umauti akiwa nyumbani kwao Mtwara. Akiongea na Bongo5 Ijumaa hii Mwenyekiti wa Chama cha wasanii wa Vichekesho Tanzania, Mkono […]

Read More..

Muhogo Mchungu Afungukia Matumizi ya Kiswah...

Post Image

MKONGWE wa filamu nchini, Abdallah Mkumbila ‘Muhogo Mchungu’, amewataka wasanii wa Tanzania watumie lugha ya Kiswahili katika kazi zao badala ya kutumia lugha ya Kiingereza ili waikuze lugha hiyo Mwigizaji huyo alisema hayo juzi alipotembelea Ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd wazalishaji wa magazeti ya Bingwa, Rai, Dimba na Mtanzania zilizopo Sinza Kijiweni […]

Read More..