Mimba Nusura Imutoe Roho Wastara!
Siku chache zilizopita, staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma alikiri na kufunguka kuwa ni mama kijacho baada ya kunasa ujauzito lakini taarifa za kusikitisha zilizolifikia gazeti hili mapema wiki hii zimedai kwamba, mimba hiyo imechoropoka katika mazingira ambayo yalitaka kuutoa uhai wake. Chanzo makini ambacho ni ndugu wa mwigizaji huyo kilichoomba hifadhi ya jina […]
Read More..