Shamsa Adaiwa Kujitwalia Bwana wa Wolper
DAR ES SALAAM: Ubuyu ulionyooka mjini kwa sasa unamgusa staa wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford ‘Chausiku’ anayedaiwa kujitwalia mwanaume aitwaye Chid Mapenzi huku nyuma yake kukiwa na mazito kwamba, mwanaume huyo aliwahi kumilikiwa na mwigizaji Jacqueline Wolper Massawe ‘Gambe’. Kumekuwa na habari za chini kwa chini kuwa Shamsa anatoka na Chid Mapenzi ambaye ni […]
Read More..