-->

Daily Archives: February 5, 2017

Bongo Fleva Someni Namba za Diamond

Post Image

UONGOZI wa kambi ya Wasafi umesema Diamond yuko bize sana na shoo kwa sasa. Kila kukicha Diamond Platinum ni lazima aangalie ratiba ya wapi atakuwepo. Inachosha japo inafurahisha na kutajirisha. Inachosha kwa sababu kama binadamu inabidi apumzike, ila inafurahisha kwa sababu mbali ya kufanya kitu anachokipenda, ila pia anazidi kuongeza uzito wa akaunti yake. Ni […]

Read More..

Mpoto Afunguka Sakata la Madawa ya Kulevya

Post Image

Msanii wa muziki wa asili nchini, Mrisho Mpoto amefunguka kwa kusema kuwa yeye ni mmoja kati ya wasanii ambao wanaunga mkono harakati za Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda za kupambana na biashara ya Madawa ya kulevya. Akiongea Jumapili hii katika kipindi cha runinga cha Jambo Tanzania cha TBC1, Mrisho Mpoto amedai […]

Read More..

Video: Haya Ndiyo Maisha Halisi ya Harmorap...

Post Image

MPAKA HOME: Msanii chipukizi anayekuja kwa kasi kwenye gemu la muziki wa kizazi kipya Bongo, Harmorapa aliyejipatia umaarufu kutokana na kufanana na msanii kutoka WCB, Harmonize, ameyaanika maisha yake ya kila siku na mpenzi wake ‘Wolper’ baada ya kutembelewa na MPAKA HOME ya Global TV Online. Ungana na mwandishi wetu, Imelda Mtema aliyemtembelea mpaka home kwake. […]

Read More..

Nape Afungukia Sakata la Wasanii wa ‘Unga’

Post Image

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye ameingilia kati na kutaka busara itumike katika zoezi la kutaja wasanii wanaohusika na dawa za kulevya linalofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda Nape ametoa ushauri huo leo Mjini Dodoma wakati akizungumza na wanahabari kuhusu sheria mpya wa huduma za habari, ikiwa […]

Read More..