-->

Daily Archives: February 25, 2017

Watanzania Waliomba Majina ya Watumia ‘Un...

Post Image

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kutajwa hadharani kwa wahusika wa dawa za kulevya kumetokana na maombi ya Watanzania chini ya uongozi wa awamu ya nne. Makonda amesema katika uongozi wa Rais Jakaya Kikwete alipigiwa kelele ili awataje wahusika wa dawa za kulevya lakini aliamua kuacha vyombo vyenye […]

Read More..

Martin Kadinda Aanika Kinachomponza Wema Se...

Post Image

MWANAMITINDO Martin Kadinda, amefunguka kuwa kinachomponza Wema hadi ajikute anaingia kwenye misala mbalimbali ya kipolisi ni watu wanaomzunguka. Kadinda ambaye pia ni meneja wa msanii huyo, alisema ili Wema aweze kufanikiwa maishani, hana budi kuwaweka pembeni baadhi ya marafi ki ambao wana tabia chafu kwani mara nyingi wamekuwa wakimsababishia matatizo mbele ya jamii. “Siwezi kuwataja […]

Read More..

TID Kumshtaki Steve Nyerere, ni Baada ya Ku...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki Khalid Mohamed ‘TID’ ameahidi kuwachukulia hatua watu wanaosambaza taarifa kuwa alipewa pesa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kama kivuli katika sekeseke la kutaja majina ya wanaohusika na dawa za kulevya. Muimbaji huyo alisema yeye alikuwa ni muathirika wa dawa za kulevya na serikali ilimkamata kwa kosa […]

Read More..

Matatizo Yamemfunza – Shamsa Ford

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford ambaye siku za karibuni muwewe alipatwa na maswahibu na kujikuta chini ya mikono ya polisi kwa tuhuma za kujihusisha na matumizi au kufanya biashara ya madawa ya kulevya. Inawezekana kufuatia matatizo aliyopata muwe wake, Shamsa Ford amepata kujifunza kuwa siku zote watu ambao wewe unaweza kuwaona ni marafiki wakawa […]

Read More..

Steve Nyerere Aongea na Wanahabari, Amkaang...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Steven Mengele a.k.a Steve Nyerere amefanya mkutano na waandishi wa habari kwenye Ukumbi wa Millenium Tower, Makumbusho jijini dar es Salaam. Steve Nyerere: Naomba radhi kwa watu wote ambaye nimewataja mule ndani kwenye ile sauti iliyosambaa kwenye Mitandao ya Kijamii(audio), nilifanya kwa kulinda chama changu na sikutaka dada yangu aniache. Nia […]

Read More..