Watanzania Waliomba Majina ya Watumia ‘Un...
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kutajwa hadharani kwa wahusika wa dawa za kulevya kumetokana na maombi ya Watanzania chini ya uongozi wa awamu ya nne. Makonda amesema katika uongozi wa Rais Jakaya Kikwete alipigiwa kelele ili awataje wahusika wa dawa za kulevya lakini aliamua kuacha vyombo vyenye […]
Read More..