-->

Daily Archives: February 21, 2017

Mr. T Touchez Amleta Rasmi Harmorapa (VIDEO...

Post Image

Zikiwa zimepita wiki mbili sasa tangu rapa anayechipukia Harmorapa kukutana na producer anayefanya vyema kwa sasa kwenye sekta ya muziki Mr. T Touchez na kufanya kazi pamoja inasemekana kazi ya rapa huyo iko tayari kwenda mtaani hivi sasa. Producer T Touchez amefunguka na kusema kazi hiyo imekamilika kila kitu na sasa ipo tayari kwenda kwa wananchi […]

Read More..

Serikali Kuandaa Sera Itakayosaidia Sheria ...

Post Image

Dar es salaam.Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imesema itaanza kukusanya ya wadau wa filamu ili kuandaa sera itakayosaidia kutengeneza sheria mpya itakayosimamia tasnia hiyo kulingana na mazingira ya sasa. Zoezi la ukusanyaji wa maoni litahusisha makundi mbalimbali wakiwemo watayarishaji, waigizaji na wasambazaji wa filamu. Akizungumza kwenye kikao cha kujadili changamoto na mwelekeo wa […]

Read More..