-->

Daily Archives: February 19, 2017

Flora Mbasha Achumbiwa, Kuolewa Tena

Post Image

Dar es Salaam. Baada ya wanandoa ambao ni wanamuziki maarufu wa nyimbo za Injili, kuingia katika mzozo miaka minne iliyopita, mmoja wao Flora Mbasha amechumbiwa na anatarajiwa kufunga ndoa ya pili hivi karibuni mkoani Mwanza. Sakata hilo linaweza kuibua mjadala miongoni mwa waumini wa dini ya Kikristo ambayo pamoja na kuruhusu ndoa kuvunjika, ni nadra […]

Read More..

Prof Jay, Mwana Fa, Nash Mc Tunahitaji Vite...

Post Image

MUZIKI wa Hip hop au Kemo kama unavyoitwa kitaalamu ni mama wa aina nyingi za muziki tunaousikia, umekuwa na mzuka wa aina yake kwa mashabiki hasa pale MC anapokuwa jukwaani akimwaga ladha ya mistari kwa mistari konde. Nadhani asili na chimbuko lake ndiyo limefanya uwe muziki wenye amsha amsha kubwa tofauti na aina zingine za […]

Read More..

Waziri Nape Jukwaani na Ray C, Leaders Kwen...

Post Image

WAZIRI wa Habari, Vijana, Sanaa na Michezo, Nape Nauye kuonyesha kweli anausapoti muziki wa Bongo fleva ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha sanaa na kuwahamasisha vijana wajiajiri kupitia sanaa, Nape alipanda jukwaani kuimba pamoja na Ray c. Ni katika tamasha lilofanyika  Leaders Club ambako kulikuwa na shoo baab kubwa iliyokuwa ikiwakutanisha vinara wa RnB hapa Bongo, […]

Read More..

Aunt Ezekiel Amzuia Mpenzi Wake Kuingia Bon...

Post Image

Msanii wa bongo movie Aunt Ezekiel amesema hana mpango wa kumuinginza mpenzi wake Mose Iyobo kwenye tasnia ya bongo movie. Akionge kupitia eNewz Aunt amesema “Napenda anavyokuwa anacheza na sijawahi kuwaza kumtoa kwenye kipaji chake na kumuingiza kwenye movie  hata kama akitaka kuacha kipaji chake ni bora ajiingize kwenye biashara lakini siyo kujiingiza kwenye movie kwani siyo kipaji […]

Read More..