-->

Daily Archives: April 1, 2017

Jay Moe: Nilipata Aibu Kwa Bill Nas

Post Image

RAPA aliyewahi kutamba na wimbo wa ‘Mvua na Jua’, Juma Mchopanga (Jay Moe), amesema licha ya kutamani kufanyakazi na rapa wa wimbo wa ‘Sitaki Mazoea’, William Lyimo (Bill Nas), hatasahau alivyomdharau kabla ya kusikiliza na kuona video zake. Jay Moe alisema kabla ya kumwona, kusikiliza na kutazama video zake hakuwa akijua uwezo mkubwa alionao rapa […]

Read More..

Ethiopia Kuleta Umeme wa Bei nafuu, Asema R...

Post Image

Dar es Salaam. Tanzania itapata umeme a megawatt 400 kutoka Ethiopia baada ya Rais John Magufuli na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Hailemariam Desagen kukubaliana kushirikiana katika mambo 13. Mbali na umeme, masuala mengine ni usafirishaji wa anga, bandari, matumizi ya Mto Nile, vibali vya kufanya kazi ndani ya nchi hizi mbili, utalii, kilimo, uboreshaji […]

Read More..

Wolper Amchana Harmorapa!

Post Image

JACQUELINE Wolper amefunguka kuwa mwanamuziki chipukizi ambaye hivi sasa amekuwa gumzo mjini, Athuman Omary ‘Harmorapa’ anatia hasira kutokana na kauli zake. Wolper ambaye ana jina kubwa Bongo Muvi, alisema kinachomuudhi kwa Harmorapa ni kitendo cha mpenzi wake, memba wa Wasafi Classic Baby (WCB), Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ kumuongelea vizuri lakini yeye anapohojiwa na vyombo vya habari […]

Read More..

Shigongo:Diamond Mbele Kuna Shimo, Ukimya B...

Post Image

Mwandishi na mmiliki wa kampuni ya Global Publishers Eric Shigongo, amemfungukia staa wa Bongo Fleva, Diamond  Platinumz kwa kumtahadhalisha kuwa anaweza kwenye game kutokana na kitendo chake cha kutofufanya matamasha mengi ya hapa nyumbani  na hii ni kutokana na kitendo cha kuwatoza kiwango cha juu  mapromota wa nyumbani kiwango kile kile anachowatandika wale wa nje. […]

Read More..

Chemical: Sitasahau Mama Yangu Alivyoniacha

Post Image

MSANII wa hip hop, Chemical amesema kila anapokumbuka kifo cha mama yake anajikuta akilia sana kutokana na kutamani angeyaona mafanikio yake ya sasa kupitia muziki wake. “Sikulelewa na mama yangu kwa asilimia kubwa kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimsumbua, lakini nilipotimiza miaka mitatu nikaambiwa niende Dar es Salaam kumsalimia, nilifika na furaha kumbe ndiyo alikuwa amefariki, […]

Read More..