Casso Afunguka Tattoo ya Rose Ndauka
MSANII wa Bongo Fleva, Casso ambaye yupo chini ya lebo ya Ndauka Music inayomilikiwa na mwigizaji, Rose Ndauka amesema sababu zilizofanya achore tattoo yenye jina la mrembo huyo kwenye mkono wake wa kulia ni mapenzi aliyonayo kwa bosi. Casso ameliambia Show Biz kuwa Rose Ndauka ana roho ya kipekee na ni rafiki ambaye Mungu amemleta […]
Read More..





