Mzee Majuto Atangaza Tena Kuacha Sanaa (Vid...
Mchekeshaji na Muigizaji maarufu wa filamu nchini Tanzania, Alhaji Amri Athumani almaarufu Mzee Majuto ametangaza rasmi kustaafu kazi hiyo baada ya kuitumikia kwa zaidi ya ,miaka 30. Mzee Majuto amesema amechukua maamuzi hayo baada ya kuona umri unaenda na uwingi wa changamoto wa kazi hiyo hivyo ameamua arudi kwenye kilimo na kumtumikia Mungu. “Kwa sasa […]
Read More..