Wolper Awapa Ngumu Kumeza Instagram
Kupitia ukurasa wake wa Instagram,muigizaji Jacqueline Wolper ameandika kupitia ukurasa wake Instagram. Hivi ni nani asiekuwa na furaha instagram, kila mtu hujitia mapenzi mazuri, maisha mazuri, hakuna magomvi ndani ya nyumba wakati in reality watu wanalia kimyakimya tunawachora, wengine wanapigika wee bila kusahau mikopo kibao mpaka usiku wanaota wanakimbizana na marejesho lakini wakija insta wanajitia […]
Read More..