Mzee Majuto Afungukia Ombi Lake Kugonga Mwa...
Msanii mkongwe wa vichekesho nchini Tanzania, Amir Athuman maarufu kama Mzee Majuto amesema amegundua jambo lililopelekea kunyimwa kununuliwa trekta na Rais mstaafu Jakaya Kikwete ni kutokana na kuomba kama mtu binafsi na wala siyo kwa kikundi maalum. Mzee Majuto amebainisha hayo hivi karibuni baada ya kupita takribani miaka minne alipoomba kufanyiwa kupitia kipindi cha Mkasi […]
Read More..