Baby Madaha Atoboa kisa cha ‘Jini Kabula’
Msanii wa muziki wa bongo fleva, Baby Madaha amefunguka sababu zilizopelekea msanii Jini Kabula kupatwa na matatizo na kusema kuwa Jini Kabula aliamua kuachana na muziki wa dunia na kuanza kufanya muziki wa Mungu. Baby Madaha anasema msanii huyo alipojitoa kwenye kundi lao la Scorpion girl alipata rafiki mwingine ambaye walikuwa wakishirikiana katika mambo yao […]
Read More..