-->

Monthly Archives: September 2017

Alikiba Afungukia Ujio wa Ngoma Mpya

Post Image

Msanii Alikiba ameweka wazi mipango ya mkongwe wa muziki Abby Skillz, kuwa muda si mrefu atakuja na ngoma yake mpya baada ya ngoma yake ya ‘Averina’ ambayo alikuwa ameshirikishwa yeye pamoja na Mr Blue ambayo ilitoka mwaka jana. Abby Skillz ni kati ya wasanii ambao walidaiwa kuwa chini ya usimamizi wa Alikiba kupitia ‘Label’ yake […]

Read More..

Wema Sepetu Ainunua Instagram kwa Muda

Post Image

Mrembo Wema Sepetu siku ya jana ni kama alinunua mtandao wa Instagram kwa muda baada ya picha zake kutawala. Katika maadhimisho ya siku yake ya kuzaliwa, wasanii mbalimbali na watu wengine mashuhuri walipost picha ya mrembo huyo kumtakia kheri ya kuzaliwa hivyo kufanya mtandao mzima kutapakaa kwa picha zake. Moja ya watu maarufu waliomtakia kheri […]

Read More..

Ben Pol: Sijafikiria Kuoa kwa Sasa

Post Image

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ben Pol, amefunguka na kusema bado hajafikiria kuoa kwa sasa, kwani bado anahitaji kupambana na maisha ili kutimiza malengo aliyojiwekea. Akizungumza jana, Ben Pol alisema kupata mke mwema ni kazi, hivyo bado ana safari ndefu ya kuhakikisha anatengeneza maisha kwanza halafu ndoa ifuate. “Sijapanga kuoa kwa hivi karibuni, […]

Read More..

Shilole Adaiwa Kumtesa Uchebe

Post Image

MKALI wa miondoko ya Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ anadaiwa kumtesa mpenzi wake, Ashiraf Uchebe na kwamba imefikia kipindi anamgombeza mbele za watu kama mtoto mdogo. Kwa mujibu wa chanzo, kiliitonya Star Mix kuwa, juzikati katika Ukumbi wa Maisha Basement, Kijitonyama jijini Dar, Shilole alionekana akimkoromea Uchebe. “Yaani hadi aibu, Shilole sijui kwa nini aliamua kufanya […]

Read More..

TID Kugombea Ubunge 2020

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Khalid Mohamed maarufu kama T.I.D, ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kinondoni, kwenye uchaguzi ujao unaotarajiwa kufanyika mwaka 2020, na kumng’oa mbunge wa sasa wa jimbo hilo Maulid Mtulia. Akizungumza kwenye kipindi cha East Africa Breakfast kinachorushwa na East Africa Radio, TID amesema sababu inayomsukuma kugombea nafasi hiyo […]

Read More..

Ommy Dimpoz Agoma Kuzungumzia Ishu ya Mama ...

Post Image

Msanii wa muziki Bongo, Ommy Dimpoz amesema hawezi  kuzungumzia ishu ya post ya mama mzazi wa Diamond katika ukurasa wake wa Instagram. Muimbaji huyo amesema kufanya hivyo ni kuamsha hisia upya kwa mambo ambayo yalishapita na hata menejimenti yake imemkataza kuzungumzia suala hilo. Katika exclusive interview na Bongo5 Ommy Dimpoz amesema asingependa kuzungumzia hayo lakini […]

Read More..

Mh. Temba Atoboa Siri ya Kuvunjika kwa Yamo...

Post Image

Msanii kutoka TMK Mh. Temba ambaye sasa hivi anaisimamia kituo cha Mkubwa na wanawe, kwa mara ya kwanza ameweka wazi sababu za ‘Yamoto Band’ kusamabaratika, baada ya kukanushwa mara nyingi na wenyewe kwa muda mrefu wakisema haijavunjika. Akipiga stori kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Mheshimiwa Temba amesema majungu yaliyopikwa na watu wa nje […]

Read More..

Kitanda Changu Ndani ya Kaburi la Kanumba!

Post Image

USIKU mtulivu. Kelele za mbu nje ya chandarua walionigasi kabla sijapitiwa na usingizi mnono, sizikumbuki na sasa niko kwenye ulimwengu mwingine kabisa. Niko dunia ambayo ni vigumu kuieleza, lakini ninachokumbuka ni kwamba pembeni yangu alikuwepo mtu ambaye ametuachia pengo kubwa kwenye tasnia ya filamu, Steven Charles Meshack Kusekwa Ngamba Kanumba ‘The Great Pioneer’. Amejiegemeza kwa […]

Read More..

AliKiba Amefungukia Picha Zilizozagaa Mitan...

Post Image

Dar es Salaam. BAADA ya picha kadhaa kutembea katika mitandao ya kijamii ikimuonesha AliKiba akiwa na mrembo mmoja picha ikionesha wakiwa kitandani. Watu walianza kudai kuwa mrembo huyo atakuwa mpenzi wake mpya lakini AliKiba amekanusha suala hilo na kusihi mitandao ya kijamii watu kuitumia vizuri. Baadhi ya vyanzo vinasema kuwa mrembo huyo ni Dada yake […]

Read More..

Wema Sepetu Afungukia Kutajwa kwenye Nyimbo...

Post Image

Mlimbwende Wema Sepetu ambaye wengi humuita msanii mwenye nyota yake, amesema watu wanamfanyia vitu vya ajabu ili kujinufaisha likija suala la kuimba muziki, kwani kwake jambo hilo limeshindikana kabisa. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Wema amesema yeye hana mpango wa kuingia kwenye muziki, na hata wimbo wa Haitham alioshirikishwa hakuimba, lakini wamemgeuka na […]

Read More..

Mwanamke lazima uwe na nyama-Shilole

Post Image

staa mrembo wa bongo m ovie na bongo fleva, Shilole amefunguka kwa kusema kuwa mwanamke lakina uwe na maumbile manene ili kumvutia mwanaume. Shilole ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Kigori’, ameiambia XXL ya Clouds Fm kuwa siyo sifa mbaya kunenepa hasa kwa mwanamke na kitu ambacho anajivunia. “Mwanamke lazima uwe na sehemu mwanaume […]

Read More..

Video: Wema sio wife material, sidhani hata...

Post Image

Muigizaji wa filamu, Rado amefunguka kwa kudai kuwa Wema Sepetu sio aina ya wanawake ambao anaweza kuoa kutokana na jinsi alivyo. Muigizaji huyo ambaye ameigiza filamu moja na Wema Sepetu iitwayo, Madame, amedai mrembo huyo wa filamu ni mlegevu na ni mtu wa kudeka muda wote. 

Read More..

Nuh Mziwanda Atoboa Kilichovunja Ndoa Yake

Post Image

MSANII wa muziki wa kizazi kipya maarufu kama Nuh Mziwanda ambaye jina lake la kuzaliwa ni Naftal Mlawa, ni mmoja kati ya vijana wanaofanya vizuri katika ulimwengu wa Bongo Fleva kwa sasa. Miaka michache iliyopita, jina lake lilikuwa kubwa katika vyombo mbalimbali vya habari, lakini si kwa muziki, bali kwa uhusiano wake wa kimapenzi uliopata […]

Read More..

Kama Kweli! Diamond Ana Balaa Sasa

Post Image

MSHINDI wa Big Brother Afrika mwaka 2013 kutoka Namibia, Dillish Mathews inasemekana kuwa ni mjamzito hasa baada ya picha kuweka katika mtandao wa Instagram akiwa kashikilia tumbo huku akiuliza kuwa ni mtoto au baga? Hali hiyo imeibua mengi na watu wengi wamehisi kwamba kama Dillish ni mjamzito basi itakuwa Diamond Platnumz anahusika kwa sababu inasemekana […]

Read More..

Ben Pol Amzimikia Mwanamke Huyu

Post Image

Msanii Ben Pol amesema kitu pekee anachokiangalia kwa mwanamke ambaye ataweza kumzimikia na kuwa naye kimapenzi ni lazima awe anajiamini pindi wakiwa wanaongea au hata wakiwa wana-chat. Ben Pol amefunguka hayo baada ya kupita siku chache tokea aliyekuwa anadaiwa kutoka naye kimapenzi ambaye ni msanii wa vichekesho nchini Anastazia Kisaveli ‘Ebitoke’ kulalamika kwamba hapokelewi simu yake […]

Read More..

Mwakyembe Apiga Marufuku Tuzo za Muziki na ...

Post Image

WAZIRI wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amepiga marufuku uandaaji na uendeshwaji wa mashindano ya urembo (Miss Tanzania) na tuzo za muziki hapa nchini kutokana na ubabaishaji wa waandaaji wa mashindano hayo. Mwakyembe amesema mashindano ya Miss Tanzania yamegubikwa na ubabaishaji wa hali ya juu ambapo kwenye utoaji wa tuzo kumekuwa na tabia ya kuchelewa kuwapa […]

Read More..

Jackline Wolper Awapa ‘Kitchen Party’ M...

Post Image

Mcheza sinema wa Bongo Movie, Jackline Wolper amewaasa mashabiki wake kuacha kusikiliza maneno ya kukatisha tamaa wanapojitafutia riziki kwa kuwa hiyo ni kawaida. Jackline ameandika waraka mrefu katika mtandao wa Instagram akiwaasa mashabiki zake kuwa kama watasikiliza maneno ya watu hawatakamilisha ndoto zao. “Basi leo nataka niwaambie kitu hakuna binadamu anayependa hivyo ulivyo na ndio […]

Read More..

Wema ampa wakati mgumu Kadinda

Post Image

Mbunifu wa mavazi maarufu hapa bongo Martin Kadinda ambaye pia ni meneja wa msanii Wema Sepetu, amesema anapata wakati mgumu kumsimamia msanii huyo mkubwa na mrembo, kutokana na tabia zake zisizobadilika, ikiwemo kutokuwa kimawazo.   Martin Kadinda ameyasema hayo  kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kwamba licha ya Wema Sepetu kuwa mtu […]

Read More..