-->

Monthly Archives: August 2017

Exclusive: Maskini Jini Kabula! Ukimsikia U...

Post Image

Ikiwa ni takriban miezi miwili na siku kadhaa tangu kuzagaa kwa ishu za kuugua ugonjwa wa afya ya akili ukiambatana na kuchanganyikiwa kwa mwigizaji wa sinema za Kibongo, hasa kupitia Tamthiliya ya Jumba la Dhahabu, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’, hatimaye ameibuka na kunena mambo mazito yenye kuumiza juu ya sakata hilo. Miongoni mwa mambo anayodai kutendewa, Kabula alisema kuwa, […]

Read More..

Wema Ashindwa Kupokea Kadi CHADEMA

Post Image

Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani na Mjumbe wa Halmashauri Kuu CHADEMA, Frederick Sumaye amefunguka na kusema msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ameshindwa kupokea kadi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutokana na kuchelewa mahakamani. Frederick Sumaye amesema kuwa leo ilikuwa imepangwa Wema Sepetu pamoja na wenzake kukabidhiwa kadi za Chama na msanii huyo […]

Read More..