Chuchu Hans: Naanza Kumwandaa Jaden Kuwa St...
STAA wa Filamu za Bongo, Chuchu Hans, amesema kuwa atafanya kazi kwa bidii kuhakikisha anamwandaa mtoto wake wa kiume kuwa staa wa baadaye. Msanii huyo pamoja na Vicent Kigosi ‘Ray’ walifanikiwa kupata mtoto wa kiume mapema mwaka huu, ambaye amepewa jina la Jaden. Akizungumza na MTANZANIA jana, Chuchu alisema Jaden si wa kwanza, hivyo ili […]
Read More..