Lady Jaydee Kumwaga Mipesa
Mwanamuziki mkongwe Lady Jaydee ameamua kumwaga fedha kwa mashabiki kupitia mitandao ya kijamii kwa kuanzisha shindano ambapo washindi watatu watakao weza kujibu kwa ufasaha maswali matatu atayatoa kwenye mitandao hiyo watalamba jumla ya milioni 2. Lady Jaydee amesema katika mashindano hayo mshindi wa kwanza atajipatia milioni moja huku mshindi wa pili akipata laki saba na […]
Read More..