-->

Daily Archives: September 20, 2017

Kajala, Wolper Kimewaka Mbaya

Post Image

Kinachoendelea hivi sasa kati ya mastaa wawili wakubwa wa filamu, Kajala Masanja na Jacqueline Wolper tunaweza kusema kimewaka mbaya baada ya mazungumzo kwa njia ya video kati ya muigizaji huyo na aliyekuwa bwana wa mwenzake kuwekwa mtandaoni na kuibua makubwa. Kajala alikuwa akizungumza kwa njia hiyo ya kisasa na msanii Rajab Abdulhan ‘Harmonize’, akionekana akila […]

Read More..

Ommy Dimpoz Kuwashangaza Mashabiki Wake

Post Image

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema anajipanga kufanya kitu kitakachowashangaza mashabiki na wadau wa muziki nchini. Akizungumza na MTANZANIA jana, Ommy Dimpoz alisema hawezi kuzungumza sana kitu alichokiandaa kukifanya hivyo mashabiki wasubiri. “Ninajipanga kuwashangaza mashabiki zangu, wajiandae kusikia kile nitakachokifanya, nimekuwa nikisafiri mara kwa mara wakati huu ambao nipo kimya, […]

Read More..

Kukwama biashara ya Wema, sababu yaanikwa

Post Image

Meneja wa msanii gumzo bongo Wema Sepetu, amefunguka kuhusu tetesi za bidhaa ya lipstick ya msanii huyo ‘Kiss by Wema’ kuzuiwa kuingia sokoni kutokana na ubora, na kusema kwamba taarifa hizo hazina ukweli. Akizungumza na mwandishi wa habari wa East Africa Television meneja huyo aliyejulikana kwa jina la Happy Shame, amesema mzigo huo haupo sokoni […]

Read More..

Irene Uwoya Afungukia Mpenzi Wake Kuwa na M...

Post Image

Msanii wa kike wa filamu za bongo ambaye pia aliwahi kuolewa na mcheza mpira kutoka Rwanda, mlimbwende Irene uwoya, amesema mpenzi wake wa sasa ana ngeu nyingi mwilini za kuchanwa visu. Akipiga stori na Big Chawa kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Irene amesema watu kama hao ndio anaowataka yeye kwani inaonyesha uanaume […]

Read More..