Nay wa Mitego: Nilishinda Njaa Siku Nne Huk...
UKISIKIA staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki (Nay wa Mitego) amechia ngoma mpya ni lazima utaitafuta ili usikie kilichoibwa na rapa huyo hata kama huna mapenzi na muziki. Bosi huyo wa lebo ya Free Nation ametengeneza mazingira ya kusikilizwa na mashabiki wake tofauti na wasanii wote. Mapema wiki hii rapa huyo anayetamba na ngoma yake […]
Read More..